Uchaguzi 2020 Mbowe ashindwa kutetea Ubunge wake katika Jimbo la Hai

Yaani kwenye msimu wa Kampeni ulitaka aseme kuwa Lissu hajaifuta CCM?
Bado kinda yule, unajua ukizidisha uongo watu wanachukia. Hapa JF tunataka kupata taarifa za ukweli si ushabiki wa kitoto kama wa akina Erythrocyte na marafiki wake. Hata Yeriko Nyerere nilimsangaa kama si kumshangaa. Dada yangu Sky Eclat namjua hata kwa sura ila alichokuwa anaandika hapa, mungu anajua.

Hivi unaweza kumwacha mtu anayependa maendeleo ya Tanzania kidhati umchague Tundu Lissu mbinafsi na mtukanaji.

Imagine, watu wakaanza kumsifia JK aliyeuza nchi hii! Watanzania hatuna shukrani
 
Wazee wa kimila walishasema kitambo kuwa huyu Mbowe hawatamchagua tena na hata yeye mwenyewe Mbowe alikuwa anajuwa hilo. Aachane na siasa sasa, watanzania hawataki chama cha kihuni kisicho na msimamo zaidi ya kutaka watanzania kuwa mashoga kama baadhi ya viongozi wao.
 
Dah tumekwisha aisee
Wazee wa escrow wa uamsho na wengine wasio na chapa wanaosubiria ushahidi kukamilika,waandike tu wosia maana kutoka jela ni majaliwa.
Tumekwiishaa,ni mwendo wa kushughulikiwa wapinzani,wanaharakati,wakosoaji.
 
But dikteta hana rafiki watulie tu zamu yao ya kulia ikifika
 
But dikteta hana rafiki watulie tu zamu yao ya kulia ikifika
Of course dikteta Mbowe hana rafiki na ndiyo maana wachagga wenzake walimkataa kitambo. Sasa kwa hasira ndiyo ataibomoa Chadema kwa kuiba mali za chama zaidi.
 
Kwa mwenye wasifu wa kijana huyu machachari aliyeweza kupambana na figisu za ndani ya chama cha mapinduzi na hatimaye kuja kumtoa Freeman Mbowe(mkongwe).
Kijana huyu ameweza kufurukuta dhidi ya kina jerry Muro,Mallya na wanaccm wengine wakiwemo madaktari.

Mwenye CV Yake aitupie humu tumtambue.
 
Kama unagongeka hivi
 
Mwaka 2025 Wapinzani msiingie kamwe kwenye uchaguzi kama muundo wa NEC na baadhi ya vifungu vya KATIBA havitabadilishwa. Mtaendelea kupigwa tu

NEC na ZEC hawatowapa Nchi Wapinzani kamwe. Lissu ajiandae tu “kushindwa” vibaya mno
 
" Mngeweza Kumtoa hata roho, bora mmemuachia roho yake " - DenooJ 2020.
 
Yes, wametengeneza pengo la kura feki karibia elfu sitini ili kudanganya watu kashindwa kihalali!
Inawezekana, lakini pia lazima kuwepo ushahidi.

Mfano ni jimbo la Moshi mjini ambako waliojiandikisha ni 130,000 plus, lakini waliopiga kura ni 54,000 plus. Zaidi ya wapiga kura 70,000 hawakupiga kura.

Nilitegemea kama kuna kura feki basi kura zilizopigwa zingekuwa 100,000 plus.

Bado kuna maeneo mengi watu hawakujitokeza kwa wingi kupiga kura, ikiwemo Mbeya mjini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…