Uchaguzi 2020 Mbowe ashindwa kutetea Ubunge wake katika Jimbo la Hai

Amenuia Mbowe, Lema, Heche, Sugu, Msigwa, Mdee, Bulaya, Ruge, Peneza, Kishoka wasirudi mjengoni.
Hata Zitto. Harudi. Ndio maana wamezima mitandao wanajua wameiba kura ubunge na urais. Yaani Tanzania inakwenda kuwa nchi ya ajabu ya bunge la ndiyo mzee na watapitisha kuwa Rais wa maisha.
 
Ndo maana wamezima internet. Hakuna mbunge wa upinzani atashinda ubunge. Na Magufuli anakwenda kuwa Rais wa maisha.
meza wembe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ af c mljinasibu mna VPN?
haya kasemmeeni kwa Amsterdam sasa πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hivi kweli hako kajamaa kanafurahi kameshinda. Unajua muda mwingine kuona mtu anasheherekea huu ushenzi unaoendelea lazima awe na kipaji maalumu cha unafiki na ujinga.
 
meza wembe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ af c mljinasibu mna VPN?
haya kasemmeeni kwa Amsterdam sasa πŸ˜‚πŸ˜‚
Wewe cheka tu. Ila utaona jinsi maisha yanakwenda kuwa magumu. Kama upo nje ya nchi jiandae kutuma hela mara tatu ya ulivyokuwa unatuma kwenu.
 
Kama CCM wameweza kupata makaratasi ya kupiga kura wakapiga kura bila NEC kujua watashindwa kuziingza kwenye masanduku ya kura bila mawakala kujua?
Nini maana ya kuwa na mawakala? Kwa nini amekubali matokeo kutangazwa?
 
Nilimsahau huyo ahsante sana kwa kunikumbusha. Jiwe na visasi vyake.
Hata Zitto.Harudi.Ndo maana wamezima mitandao wanajua wameiba kura ubunge na urais. Yaani Tanzania inakwenda kuwa nchi ya ajabu ya bunge la ndiyo mzee na watapitisha kuwa Rais wa maisha.
 
Bunge la kumfanya Magufuli kuwa Rais wa maisha.
Nimewaza mbali mno. Hichi kizazi kitakuja kusema nini dhidi yetu?

Nimewaza kama tu maendeleo yanayonekana yalitokea baada ya watu kupiga kelele hichi hamna hichi kipo ndio vikawepo nawaza sijui.

Nimewaza yule mlima korosho kule ndani ndani huko ndichi huko itakuwaje kuhusu elimu yake, maendeleo na mahitaji yake.


Nitakuwa nje ya mtandao kwa miaka 7 mpaka nitakaporidhia hichi kinachonihukumu ndani ya nafsi yangu.

MUDA NI RAFIKI WA MAMBO YOTE

Bye JF na WanaJF

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Wewe cheka tu. Ila utaona jinsi maisha yanakwenda kuwa magumu. Kama upo nje ya nchi jiandae kutuma hela mara tatu ya ulivyokuwa unatuma kwenu.
Imekuwaje tena mamie? Lile jeshi la Twitter limewasaliti et?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
au kura mlipigia JF badala ya polling station?
 

Miaka mitano ijayo maisha yatakuwa magumu zaidi kuliko 2015 to 2020. Mikanda itafungwa kupita kiasi na umaskini utakithiri kuliko ilivyo sasa.

Hata Zitto.Harudi.Ndo maana wamezima mitandao wanajua wameiba kura ubunge na urais. Yaani Tanzania inakwenda kuwa nchi ya ajabu ya bunge la ndiyo mzee na watapitisha kuwa Rais wa maisha.
 
Kiongozi Mkuu wa upinzani Tanzania ambaye ni holigan. Makosa hata yasirudiwe tena katika taifa hili.

Uhuni wa CDM 2015 hauto waacha salama. Wengine tulisema haya kipindi kile na kwa kudra za Mwenyezi Mungu tunayaona ya kitimia.
 
Mbowe apumzike, hata mimi naona ni bora amepigwa chini... hakupaswa kugombea kama Mnyika.
 
Well said mkuu for sure kilichotokea hata anguko la lema Arusha Ni mwitikio mdogo wa watu kupiga kura.... CCM imepata kura zake za 2015 lakini za CDM zimepungua maana hawakwenda kupiga kura
 
Miaka mitano ijayo maisha yatakuwa magumu zaidi kuliko 2015 to 2020. Mikanda itafungwa kupita kiasi na umaskini utakithiri kuliko ilivyo sasa.
MaCCM yanafikiri yao yatakuwa salama!?? Subiri
 
Reactions: BAK
Tunaenda kutembelea matako sasa.. Tutanyooka vibaya mno.
Yaani itakuwa balaa. Magufuli anaturudisha kuishi enzi za Nyerere hata ambao tulizaliwa Nyerere akiwa kishaondoka madarakani. Too sad kwa Taifa letu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
imekuwaje tena mamie? lile jeshi la Twitter limewasaliti et?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
au kura mlipigia JF badala ya polling station?
Wameiba kura. Mbowe kashindwa kwa kura hewa na watafanya hivyo kote kwenye miamba ya upinzani hata Zitto atashindwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…