hopaje
JF-Expert Member
- Jan 11, 2013
- 1,726
- 1,218
Awamu ya roho mbaya....itapita na mbowe ataludi uraiani na kazi zitaendelea
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyinyi watetezi wa CCM mtaacha lini propaganda za kijinga jinga? Mnapaswa mtambue kuwa watanzania wana Akili nyingi kuliko nyie vilaza wachache.Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais
Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,
kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,
ngoja Tuangalie mwitikio wa JPM
Source niko masijala ya sehem muhimu - husika
BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Awamu ya roho mbaya....itapita na mbowe ataludi uraiani na kazi zitaendelea
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini yeye afanyiwe hivyo
Inashangaza kwa kiongozi kuomba hayo.. wanachi wengine wa kawaida si watachukua mfano wake kuvunja sheria makusudi.. wakiamini wataandika barua kama yeye na kufanyiwa hayo..
Raisi alishasema huwa aingilii yaliyopo mahakamani.. yeye anataka nae avunje sheria?
Atulie na kudili na makosa yake.. usuugu na ugwangwe wake asali Mola amsimamie kwa kumtendea miujiza.
Nadhani azoee tu, kuna watu wangapi wapo mahabusu kwa kukeuka taratibu za mahakama? Aendelee kusota ili liwe fundisho la kutenganisha uadilifu na uongo
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais
Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,
kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,
ngoja Tuangalie mwitikio wa JPM
Source niko masijala ya sehem muhimu - husika
BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Mmeshaanza propaganda zenu za maandalizi kama wakati wa Sugu ili mahakama ikifanya uamuzi mseme ni kwa hisani ya Jiwe. Pambaf waheedKupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais
Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,
kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,
ngoja Tuangalie mwitikio wa JPM
Source niko masijala ya sehem muhimu - husika
BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Barua ya siiri, lakini wewe umeelewa kilichoandikwa kwenye barua ya siri!!Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais
Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,
kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,
ngoja Tuangalie mwitikio wa JPM
Source niko masijala ya sehem muhimu - husika
BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Mahakamaccm hazifanyi kazi kwa mujibu wa sheria pindi wakiwa na kesi za mwana chadema yeyote bali hufanya kazi kwa mujibu wa Amri toka juu na zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM tu, mahakamaccm haipo huru tena.Hapana wala si rais aloagia akae ndani sema mbowe mawazo yake anadhani rais ndo mwenye uwezo wa kumaliza suala hili kumbe siyo
atakuwa anamkomoa nani kama sikujikomoa mwenyewe anaesota rumande ni yeye
Acha ufala wewe hakuna cha Barua toka kwa Mbowe wala nini, Tumbua kuwa mbowe kaamua kuvumilia Uonevu na ukandamizaji demokrasia unaofanywa na Naibu Rais ndugu Daud Arbaty Bashite na mtukufu malaika toka chato mpaka mwisho wake, huwezi kuandika barua wala kuomba chochote kaamua kukomaa mpaka mwisho.
Kama no siri wewe umeipataje wacha ushamba wa kisiasa.Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais
Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,
kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,
ngoja Tuangalie mwitikio wa JPM
Source niko masijala ya sehem muhimu - husika
BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
inawahusu nini wa hapa
Anataka JPM aingilie uhuru wa MAHAKAMA?Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais
Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,
kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,
ngoja Tuangalie mwitikio wa JPM
Source niko masijala ya sehem muhimu - husika
BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Hujui utaratibu wew tulia upige zumari hapo unaona kuna kesi au unafikir bila kuelewa sheria.yeye wala ishu si kunyongwa ishu ni kufungwa kabisa maana anaona kesi hii imemkalia visivyo
Kuruka dhamana au " kumuuwa Akwilina"??yeye wala ishu si kunyongwa ishu ni kufungwa kabisa maana anaona kesi hii imemkalia visivyo