mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Wanaohudhuria mikutano yake wamepata chanjo? Na mikutano ijayo ya chadema wahudhurie familia ya Mbowe tu!Familia ya mbowe imepata chanjo, hao wengine nao wamepata chanjo? mpuuzi mkubwa wewe
Mbona na wewe mwanasiasa unatuambia ya kwako? Mbowe hana .mpango na wewe na wenzio. zungumzia ya chama dola na mama wa kupewa muda atengeze church.i ulioporomoka.Ndugu zangu,
Mbowe amewataka wananchi kutohudhuria msiba na mazishi ya Kaka yake ili kuepuka maambukizi ya ugonjwa wa covid-19.Amesema msiba huo utakuwa "private" kwa familia tu.
Kwa upande mwingine Mbowe anatoka kuendesha mikutano ya kisiasa. Hapa ni funzo kwa wafuasi wa CHADEMA ambao wanakuwa wepesi kuhamasika kufanya ukorofi. Wanahamashishwa kupuyanga mabarabarani, mkipigwa na kuchakaa mwamba atakuwa anawaangalia kwa mbali akichekea tumboni
Mwanasiasa akikwambia kumekucha toka nje uhakikisha. Amkeni mabavicha!
Kama umepagawa hivi kuanzia paragraph ya pili [emoji1787][emoji1787]
Hebu leo kuwa muwazi hapa utueleze huenda utapata relief kwenye nafsi yako,
Hivi ulivyokua Bavicha na kina Ben saaanane na Mtela mla ugoro nk, ni kitu gani Mbowe alichokutenda mpaka umeshindwa kumsamehe mpaka leo kimekukaba kwenye shingo huli hulali unamuwaza Mbowe tu kuliko hata unavyowawaza kina baba wa watoto wako ?
Sijui kaka una uwezo hata wa kujielewa? Unachanganya mambo mengi yasiyo na kichwa wala miguu!!
Mbowe anataka katiba ifuatwe sio lazima akusanye watu
Mbowe anashida na kukusanya watu ila tamko la serikali kuzuia mikusanyiko liseme wazi sababu ni corona na wazuie pote
Daladala
Panton
Makanisani
Misikitini
Sokoni
Baa
Tuone kama wataweza au ni usanini ?
Maccm ni mbwa kabisa
Mbona na wewe mwanasiasa unatuambia ya kwako? Mbowe hana .mpango na wewe na wenzio. zungumzia ya chama dola na mama wa kupewa muda atengeze church.i ulioporomoka.
Hapo tayari kigololi kimekushukaNdugu zangu,
Mbowe amewataka wananchi kutohudhuria msiba na mazishi ya Kaka yake ili kuepuka maambukizi ya ugonjwa wa covid-19.Amesema msiba huo utakuwa "private" kwa familia tu.
Kwa upande mwingine Mbowe anatoka kuendesha mikutano ya kisiasa. Hapa ni funzo kwa wafuasi wa CHADEMA ambao wanakuwa wepesi kuhamasika kufanya ukorofi. Wanahamashishwa kupuyanga mabarabarani, mkipigwa na kuchakaa mwamba atakuwa anawaangalia kwa mbali akichekea tumboni
Mwanasiasa akikwambia kumekucha toka nje uhakikisha. Amkeni mabavicha!
Hapo tayari kigololi kimekushuka
Kama imepata chanjo mbona kaka yake kafa kwa korona?Familia ya mbowe imepata chanjo, hao wengine nao wamepata chanjo? mpuuzi mkubwa wewe
ππππππππFamilia ya mbowe imepata chanjo, hao wengine nao wamepata chanjo? mpuuzi mkubwa wewe
Kaachika na Mbowe labda huwezi jua. Dunia ina mengiMkuu Wakudadavua nafikiri una kitu fulani binafsi na Mbowe. Ama unamhusudu mno ijapokuwa aliwahi kukuumiza kihisia, ama la sivyo una mpenda kwa kificho cha "sitaki nataka" ili uweze kusikilizia mapigo. Maana, mhh! Si bure.
Ukwaju wake huupati maana unautafuta kwa udi na uvumba.Ndugu zangu,
Mbowe amewataka wananchi kutohudhuria msiba na mazishi ya Kaka yake ili kuepuka maambukizi ya ugonjwa wa covid-19.Amesema msiba huo utakuwa "private" kwa familia tu.
Kwa upande mwingine Mbowe anatoka kuendesha mikutano ya kisiasa. Hapa ni funzo kwa wafuasi wa CHADEMA ambao wanakuwa wepesi kuhamasika kufanya ukorofi. Wanahamashishwa kupuyanga mabarabarani, mkipigwa na kuchakaa mwamba atakuwa anawaangalia kwa mbali akichekea tumboni
Mwanasiasa akikwambia kumekucha toka nje uhakikisha. Amkeni mabavicha!
Huyu ndiye akiwa Waziri mdogo? Alitoka Chadema?Mkuu Wakudadavua nafikiri una kitu fulani binafsi na Mbowe. Ama unamhusudu mno ijapokuwa aliwahi kukuumiza kihisia, ama la sivyo una mpenda kwa kificho cha "sitaki nataka" ili uweze kusikilizia mapigo. Maana, mhh! Si bure.
Mrenda na chai haviendi mkuuNdugu zangu,
Mbowe amewataka wananchi kutohudhuria msiba na mazishi ya Kaka yake ili kuepuka maambukizi ya ugonjwa wa covid-19.Amesema msiba huo utakuwa "private" kwa familia tu.
Kwa upande mwingine Mbowe anatoka kuendesha mikutano ya kisiasa. Hapa ni funzo kwa wafuasi wa CHADEMA ambao wanakuwa wepesi kuhamasika kufanya ukorofi. Wanahamashishwa kupuyanga mabarabarani, mkipigwa na kuchakaa mwamba atakuwa anawaangalia kwa mbali akichekea tumboni
Mwanasiasa akikwambia kumekucha toka nje uhakikisha. Amkeni mabavicha!
Kwa hiyo waendelee watu kuambikizwa sababu ya kusanyiko la katiba?Vipi ile kusanyiko la.katiba walokiwa na chanjo wote?
Punguza kunywa mataputapu ndugu, ndio maana mwili na akili vimechoka hivyo haraka tofauti na umri wako.Kwa upande mwingine Mbowe anatoka kuendesha mikutano ya kisiasa. Hapa ni funzo kwa wafuasi wa CHADEMA ambao wanakuwa wepesi kuhamasika kufanya ukorofi. Wanahamashishwa kupuyanga mabarabarani, mkipigwa na kuchakaa mwamba atakuwa anawaangalia kwa mbali akichekea tumboni