#COVID19 Mbowe awataka wananchi wasihudhurie msiba wa Kaka yake kuepuka maambukizi ya COVID-19

Familia ya mbowe imepata chanjo, hao wengine nao wamepata chanjo? mpuuzi mkubwa wewe
Wanaohudhuria mikutano yake wamepata chanjo? Na mikutano ijayo ya chadema wahudhurie familia ya Mbowe tu!
 
Mbona na wewe mwanasiasa unatuambia ya kwako? Mbowe hana .mpango na wewe na wenzio. zungumzia ya chama dola na mama wa kupewa muda atengeze church.i ulioporomoka.
 
Jikite kwenye hoja acha kulialia
 
Jikite kwenye hoja acha
 
Jikite kwenye hoja acha kulialia
Mbona na wewe mwanasiasa unatuambia ya kwako? Mbowe hana .mpango na wewe na wenzio. zungumzia ya chama dola na mama wa kupewa muda atengeze church.i ulioporomoka.
 
RIP.
Ila jamaa nae alichimba sana visima vya dada zetu miaka hiyo,sikujua km bado mzima.
 
Hapo tayari kigololi kimekushuka
 
Familia ya mbowe imepata chanjo, hao wengine nao wamepata chanjo? mpuuzi mkubwa wewe
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Nyie wakuu hamuwezi kuongea lolote mpaka mtukane??
 
Mkuu Wakudadavua nafikiri una kitu fulani binafsi na Mbowe. Ama unamhusudu mno ijapokuwa aliwahi kukuumiza kihisia, ama la sivyo una mpenda kwa kificho cha "sitaki nataka" ili uweze kusikilizia mapigo. Maana, mhh! Si bure.
Kaachika na Mbowe labda huwezi jua. Dunia ina mengi
 
Ukwaju wake huupati maana unautafuta kwa udi na uvumba.
Hivi Samia amekusahau? LΓ bda kwenye uDED, endelea kumkandia Mbowe lΓ bda atakusikia lkn kumbuka huyu siyo Jiwe, hataki kukanyaga watu
 
Mkuu Wakudadavua nafikiri una kitu fulani binafsi na Mbowe. Ama unamhusudu mno ijapokuwa aliwahi kukuumiza kihisia, ama la sivyo una mpenda kwa kificho cha "sitaki nataka" ili uweze kusikilizia mapigo. Maana, mhh! Si bure.
Huyu ndiye akiwa Waziri mdogo? Alitoka Chadema?
 
halafu kuna watu wanafanya usaniii wa kuvaa barakoa, unakuta jitu zima lipo kwenye mikusanyiko linapumukia wenzake!!
unakuta mtu anapiga michafya bila hata kuziba pua.
unakuta jitu zima limevaa barakoa ya mtoto inaishia mdomoni.
unakuta jitu zima limevaa barakoa chini ya kidevu.
watqnzania ukosefu wa maarifa utawaangamiza.
vaeni Barakoa acheni upumbavu mtakwisha, mtapuputika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mrenda na chai haviendi mkuu
 
Huyo kaka yake aliye fariki alipata chanjo ya covid mbona kafa kwa covid[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Punguza kunywa mataputapu ndugu, ndio maana mwili na akili vimechoka hivyo haraka tofauti na umri wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…