Mbowe: Bunge likipitisha Mkataba wa DP World, tutaamsha Nchi nzima

Mbowe: Bunge likipitisha Mkataba wa DP World, tutaamsha Nchi nzima

Mimi nawashangaa watanzania wanaopiga kelele eti kutetea masilahi ya taifa, hivi kuna anayejua maslahi ya taifa kuliko serikali? Ufisadi Meremeta, kagoda, deep greem, Tangold, Kiwila na IPTL zote walipiga kelele nini kilibadilika?View attachment 2649805





“Bandari yetu ipo Salama kutoweka kikomo cha uhinafsishaji haimaanishi ni muda mrefu” Spika wa BUNGE
Wewe ndo wale wale, hupaswi kuongea hapa!
 
Ingia mvunguni mwa kitanda kabisa ujifiche! Jinga wee! Nchi inauzwa wewe bado unaongea ujinga ujinga tu!
Kaandamane wewe, mi sitaandamana mana sifaidiki na kitu.
Nitaandamana siku mtoto au wadogo au wazazi wangu wakiuliwa, nitaandamana mwenyewe.

Nitaandamana pale tutapovamiwa kivita.
 
Tuwe wakweli sisi Wabantu hatujiwezi kwa lolote labda ngono na pombe, hii Dubai wakati tunachukua uhuru Nchi ya Tanganyika ilikuwa na uchumi na maendeleo kuliko DUBAI na OMANI tumlaumu Mungu aliyetuumba na IQ hafifu.

Falme za Kiarabu walikuwa maskini wa Jangwani miaka 1960.
Hili la bandari mnasema hatuwezi chochote, lakini siku za nyuma hapa mlikua mnasifia kila kitu iinaenda vizuri, Hadi tunavunja rekodi
 
Naiona Tanzania ikielekea kwenye mgogoro mkubwa kama Ukraine ilivyooanza....

Viongozi acheni kiburi na kuamini kuwa maamuzi yenu ni sahihi sana kuliko mnaowaongoza, hii nchi ni mali ya wananchi wote waliowawekeni madarakani...

Wote hatuwezi kuwa viongozi, lakini haina maana kuwa sisi wananchi hatujui baya na zuri, Tumieni hekima na busara kuepusha machafuko.

Namaste 🙏
 
Mimi nawashangaa watanzania wanaopiga kelele eti kutetea masilahi ya taifa, hivi kuna anayejua maslahi ya taifa kuliko serikali? Ufisadi Meremeta, kagoda, deep greem, Tangold, Kiwila na IPTL zote walipiga kelele nini kilibadilika?View attachment 2649805





“Bandari yetu ipo Salama kutoweka kikomo cha uhinafsishaji haimaanishi ni muda mrefu” Spika wa BUNGE
Huyu akizeeka atakuwa mchawi
 
Ni kweli kabisa, viongozi waliopo wanatakiwa kufungwa miaka mingi sana gerezani.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe ameitaka Serikali kuondoa Mkataba huo kwenye majadiliano Bungeni kwasababu unakwenda kuiingiza Nchi kwenye migogoro usio na faida.

Pia, amewataka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Bandari, Plasduce Mikeli Mbossa kujitafakari kama wana hadi ya kuendelea kubaki kwenye ofisi za Umma kutokana na kuiingiza Nchi kwenye Mkataba huo.

Aidha, amesema ifike wakati sasa badala ya kutoa Kinga kwa Viongozi, wengine waanze kushtakiwa kwa makosa wanayofanya kwa kutumia Mamlaka yao vibaya na kuiingiza Nchi katika mikataba ya ovyo.
huyu mbowe ana maslahi yake hapo bandari hana lolote jambazi tuu.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe ameitaka Serikali kuondoa Mkataba huo kwenye majadiliano Bungeni kwasababu unakwenda kuiingiza Nchi kwenye migogoro usio na faida.

Pia, amewataka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Bandari, Plasduce Mikeli Mbossa kujitafakari kama wana hadi ya kuendelea kubaki kwenye ofisi za Umma kutokana na kuiingiza Nchi kwenye Mkataba huo.

Aidha, amesema ifike wakati sasa badala ya kutoa Kinga kwa Viongozi, wengine waanze kushtakiwa kwa makosa wanayofanya kwa kutumia Mamlaka yao vibaya na kuiingiza Nchi katika mikataba ya ovyo.
Sa100 must go!!!!

Aondolewe Kinga ashtakiwe Kwa kuvunja Katiba ya nchi.
 
Watanzania hatuwezi kuandamana Kwa vitu vya kipumbavu kama hivi, mama ziba masikio baadae watakuelewa tu.
 
Back
Top Bottom