Karungikana
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 913
- 844
Wewe ndo wale wale, hupaswi kuongea hapa!Mimi nawashangaa watanzania wanaopiga kelele eti kutetea masilahi ya taifa, hivi kuna anayejua maslahi ya taifa kuliko serikali? Ufisadi Meremeta, kagoda, deep greem, Tangold, Kiwila na IPTL zote walipiga kelele nini kilibadilika?View attachment 2649805
“Bandari yetu ipo Salama kutoweka kikomo cha uhinafsishaji haimaanishi ni muda mrefu” Spika wa BUNGE
Ingia mvunguni mwa kitanda kabisa ujifiche! Jinga wee! Nchi inauzwa wewe bado unaongea ujinga ujinga tu!Mi sitaandamana na hakuna anayejielewa ataandamana
Kaandamane wewe, mi sitaandamana mana sifaidiki na kitu.Ingia mvunguni mwa kitanda kabisa ujifiche! Jinga wee! Nchi inauzwa wewe bado unaongea ujinga ujinga tu!
Hili la bandari mnasema hatuwezi chochote, lakini siku za nyuma hapa mlikua mnasifia kila kitu iinaenda vizuri, Hadi tunavunja rekodiTuwe wakweli sisi Wabantu hatujiwezi kwa lolote labda ngono na pombe, hii Dubai wakati tunachukua uhuru Nchi ya Tanganyika ilikuwa na uchumi na maendeleo kuliko DUBAI na OMANI tumlaumu Mungu aliyetuumba na IQ hafifu.
Falme za Kiarabu walikuwa maskini wa Jangwani miaka 1960.
Mimi tena?? Huu ndo uzuri wa kutumia majina feki aiseeeWewe ndo wale wale, hupaswi kuongea hapa!
Huyu akizeeka atakuwa mchawiMimi nawashangaa watanzania wanaopiga kelele eti kutetea masilahi ya taifa, hivi kuna anayejua maslahi ya taifa kuliko serikali? Ufisadi Meremeta, kagoda, deep greem, Tangold, Kiwila na IPTL zote walipiga kelele nini kilibadilika?View attachment 2649805
“Bandari yetu ipo Salama kutoweka kikomo cha uhinafsishaji haimaanishi ni muda mrefu” Spika wa BUNGE
Ashasema jimbo ligawanyweHuyu akizeeka atakuwa mchawi
Sugu yeye anasemaje? DaahSasa huyu ndiye mwenyekiti ninae mjua
huyu mbowe ana maslahi yake hapo bandari hana lolote jambazi tuu.Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe ameitaka Serikali kuondoa Mkataba huo kwenye majadiliano Bungeni kwasababu unakwenda kuiingiza Nchi kwenye migogoro usio na faida.
Pia, amewataka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Bandari, Plasduce Mikeli Mbossa kujitafakari kama wana hadi ya kuendelea kubaki kwenye ofisi za Umma kutokana na kuiingiza Nchi kwenye Mkataba huo.
Aidha, amesema ifike wakati sasa badala ya kutoa Kinga kwa Viongozi, wengine waanze kushtakiwa kwa makosa wanayofanya kwa kutumia Mamlaka yao vibaya na kuiingiza Nchi katika mikataba ya ovyo.
Sa100 must go!!!!Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe ameitaka Serikali kuondoa Mkataba huo kwenye majadiliano Bungeni kwasababu unakwenda kuiingiza Nchi kwenye migogoro usio na faida.
Pia, amewataka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Bandari, Plasduce Mikeli Mbossa kujitafakari kama wana hadi ya kuendelea kubaki kwenye ofisi za Umma kutokana na kuiingiza Nchi kwenye Mkataba huo.
Aidha, amesema ifike wakati sasa badala ya kutoa Kinga kwa Viongozi, wengine waanze kushtakiwa kwa makosa wanayofanya kwa kutumia Mamlaka yao vibaya na kuiingiza Nchi katika mikataba ya ovyo.