kimaro trederez
Member
- Jan 4, 2023
- 30
- 20
Mi nazani waweke azarani huo mkataba na sisi tuuchambue tuone unakasorogani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba Bunge wapitishe huu mkataba na Nasubiria Kwa hamu na gamu waliamshwe Nitakuwa paleee nasikilizia..Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe ameitaka Serikali kuondoa Mkataba huo kwenye majadiliano Bungeni kwasababu unakwenda kuiingiza Nchi kwenye migogoro usio na faida.
Pia, amewataka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Bandari, Plasduce Mikeli Mbossa kujitafakari kama wana hadi ya kuendelea kubaki kwenye ofisi za Umma kutokana na kuiingiza Nchi kwenye Mkataba huo.
Aidha, amesema ifike wakati sasa badala ya kutoa Kinga kwa Viongozi, wengine waanze kushtakiwa kwa makosa wanayofanya kwa kutumia Mamlaka yao vibaya na kuiingiza Nchi katika mikataba ya ovyo.
Wamewachukulia Watanzania wajinga kabisa kila kukicha mikataba ya hovyo hovyo..
Akithibutu ndio mwisho wake, ajenge hoja kwa muktadha wa kujenga sio kueneza chuki za kikabila.ukitaka kujua watanganyika wana dukuduku, mbowe afanye hivyo halafu uone idadi ya watu watakaokuwa nyuma yake, hapo ndipo utajua kumbe tanganyika bado inaishi mioyoni mwa watu.
Daah mkuu mbona umenivamia kwani mimi nilienda Dubai na wakina Msukuma au unataka nichambue nini ili uelewe...sihitaji kujisifia akili wakati Taifa linatapeliwa na wenye akili wapo Kimya tuu...Wewe mwenyewe akili ya kuuchambua mkataba Na udhaifu wake hujui kazi kufuata upepo tuu
Hizo nguvu nenda ukalimie maharage na mahindi 🚮Naunga mkono hoja kwa nguvu zote, hivi hawa wazenji wana tuchukuliaje 🤔🤔
Mmezoea kunyonga syo...damu ya mtu ni nzito kuliko maji, ipo siku mtatamka yoteInabidi tuanze kunyongana sasa, bila kunyonga watu hatutafika popote
Mkiingia mitaani tutawapa kipigo cha mbwa koko. Credit: Afande MurotoMwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe ameitaka Serikali kuondoa Mkataba huo kwenye majadiliano Bungeni kwasababu unakwenda kuiingiza Nchi kwenye migogoro usio na faida.
Pia, amewataka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Bandari, Plasduce Mikeli Mbossa kujitafakari kama wana hadi ya kuendelea kubaki kwenye ofisi za Umma kutokana na kuiingiza Nchi kwenye Mkataba huo.
Aidha, amesema ifike wakati sasa badala ya kutoa Kinga kwa Viongozi, wengine waanze kushtakiwa kwa makosa wanayofanya kwa kutumia Mamlaka yao vibaya na kuiingiza Nchi katika mikataba ya ovyo.
Watu wa aina yako hawawezi kujitetea kwa lolote. Ukikuta hata mshedede umetinga kwako waweza kusema malizia bwana niendelee na shughuli zingine. Hata ukipiganiwa huthamini.Hizo nguvu nenda ukalimie maharage na mahindi [emoji706]
Nyie chadema mnapenda sana kuzungumzia Mambo ya ushoga...vp viongozi wenu walio enda ujerumani wamerudi?Watu wa aina yako hawawezi kujitetea kwa lolote. Ukikuta hata mshedede umetinga kwako waweza kusema malizia bwana niendelee na shughuli zingine. Hata ukipiganiwa huthamini.
Usinipangie cha kufanyaHizo nguvu nenda ukalimie maharage na mahindi 🚮
Hamkawii kuja kulalamika na bei ya unga wa ugali nyie...maana huwa mnajaziba kwa Mambo ambayo hayapo...kamusi yenu ni mbowe🚮🚮Usinipangie cha kufanya
Hahaaaa wanaowaunga mkono nyie lazima wanakasoro...mkuu hebu tulia dakika mbili ujichunguze upo normal kweli huna tatizo la kisaikolojiaNiko pamoja na mwamba
Kaandamane wewe, mi sitaandamana mana sifaidiki na kitu.
Nitaandamana siku mtoto au wadogo au wazazi wangu wakiuliwa, nitaandamana mwenyewe.
Nitaandamana pale tutapovamiwa kivita.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2650285
Karibu akhui tupige kazi zinusuru Bandari zetu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msoga nishaamua wekeni msuli tushindane[emoji28]
Wazenj wamekufanyehe ?Naunga mkono hoja kwa nguvu zote, hivi hawa wazenji wana tuchukuliaje 🤔🤔