permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Ndugai ni mpelelezi?
Kwani Ndugai alisemaje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Ndugai alisemaje.
Ingekuwa ni upinzani wangekamatwa kwa maandamano yasiyo na kibaliNyuzi zilizochangamka kuhusu uchaguzi ni za CCM za chadema ziko hoi bi taabani ukiwemo huu wa tamko la Mbowe kulikoni?
Za CCM magufuli tu kurudisha fomu zimefurika umati usiokuwa wa kawaida
Tunaangalia ujumbe siyo kuchangamka.Nyuzi zilizochangamka kuhusu uchaguzi ni za CCM za chadema ziko hoi bi taabani ukiwemo huu wa tamko la Mbowe kulikoni?
Za CCM magufuli tu kurudisha fomu zimefurika umati usiokuwa wa kawaida
Faru John ndo chanzoKule Dodoma , Mbowe aliumia kwa kupigwa au kwa ulevi ?
Faru john ana roho ya kimapepoFaru John ndo chanzo
Kama unaweza kutunza hasira kwa miaka 5 mfulululizo , wewe utakuwa sio binadamu wa kawaida.Mkuu, pole, lakini ndio sehemu ya kujipatia ridhiki pia, Mimi buana silipwi chochote! Na sina mkataba na Chama chochote, Ila kuna Wakati nafanyaga ili kulipiza tu mihasira ya 2015 jinsi Mbowe alinivuruga Mie,
Sina Chama na hakuna Chama cha kunilipa Kwa sababu najitoshereza, ninikila kitu, Ila Mbowe aliuvunja Sana moyo wangu, niliamua kuwa mshabiki wa Magufuli na wenginewe ambao hata Chadema Wapo, Ila sina chama
Asante mkuu wataipata tu mwakani hawa ma-nduli, karibu tena kamanda tuendeleze mapambazo, peopleeeeeeeesss!Hatuendi kwenye uchaguzi kutafuta udiwani na ubunge
Tunaenda kuchukua dola.
Hakika haya ni maneno kutoka kwa kiongozi aliyekomaa kisiasa.
Salaam ziwafikie mataga woote na rafiki yao mzee wa kulialia Mbatia
View attachment 1493498
Mbatia anajipendekeza kwa magu hadi anatia hurumaHatuendi kwenye uchaguzi kutafuta udiwani na ubunge
Tunaenda kuchukua dola.
Hakika haya ni maneno kutoka kwa kiongozi aliyekomaa kisiasa.
Salaam ziwafikie mataga woote na rafiki yao mzee wa kulialia Mbatia
View attachment 1493498
We shall overcomeHatuendi kwenye uchaguzi kutafuta udiwani na ubunge
Tunaenda kuchukua dola.
Hakika haya ni maneno kutoka kwa kiongozi aliyekomaa kisiasa.
Salaam ziwafikie mataga woote na rafiki yao mzee wa kulialia Mbatia
View attachment 1493498
Kwani Spika wako mfungaji alikuambiaje??Kule Dodoma , Mbowe aliumia kwa kupigwa au kwa ulevi ?
HakikaPombe zimemuisha kichwani ? Isije kuwa ni akili za konyagi
Spika au tarumbetaKwani Spika wako mfungaji alikuambiaje??
Unyonge uliyojichimbia ndio unaomsumbua.Mbatia anajipendekeza kwa magu hadi anatia huruma
Pombe zimemuisha kichwani ? Isije kuwa ni akili za konyagi
Unyonge uliyojichimbia ndio unaomsumbua.
Mbatia anajipendekeza kwa magu hadi anatia huruma