Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,585
- 15,468
Hii ni ndoto aisee!Bali mnaenda kufanya nini?!
Tume Huru ipo wapi
Kushika dola ndio nini?
Mmejipanga kweli?
Upinzani kuweni serious msifanye mambo kwa mazoea
Vyama vya upinzani 20 hamuelewani mtawezaje kushinda?
My thought....
Kwanza hawa jamaa watapiga kampeni kwa shida shida sana.