Uchaguzi 2020 Mbowe: Hatuendi kwenye uchaguzi kuomba kuwa Chama Kikuu cha Upinzani, tunatafuta dola


Anataka kusema ACT Wazalendo wanaenda kutafuta wawakilishi katika Baraza la Mapinduzi na si urais wa Zanzibar? Anatakiwa kukumbuka kuwa chama chake kinahitaji kushirikiana na vyama vingine ili kiweze kushika dola. Kwenye hili, Zitto amemzidi.

Amandla...
 
Hiyo tume mnayoitaka ni tofauti na iliyowapa ushindi wapinzani majimboni?
 
Ila hii ni ngumu maanake unaenda kucheza na timu ambayo mchezaji wake moja ni refa na wengine wawili ni washika vibendera na kocha wao ndio Kamisaa halafu unatarajia mshinde, labda Yesu ndio awe striker wenu.
 
Watanzania mtatawaliwa kimabavu kwa miaka mingi ijayo.
Acha KUJITIA HOFU na kuwatia HAMANIKO la nafsi wenzako...mbona hayo hayapo Kaka.....
Km unataka CCM ipitishe katiba itakayokuwa Ina watetea mashoga na walawiti wa LGBT basi kweli nakuunga Mkono,hilo halitawezekana....
 
Hata rais wa malawi na chama chake hawakuamini Kama wangeondolewa madarakani..lkn kwa sasa ndo wanajutia kuwa nje...mwaka huu hamtaamini na masikio yenu cku hiyo mnatangaziwa kuwa mshndi ni mhe.Lissu
 
Chadema ni kuku aliyekatwa kichwa uchaguzi wa 2020. Wanapiga sarakasi huku wamevaa kanzu. Poleni
 
Hahahahah ......watu wana vituko sana ....wekeni hoja za kudhani mtapata dola
 
Mkuu mazingira ya sasa yanajieleza wazi kabisa,upinzani kushika dola kwa sasa ni sawa na kupiga tiktaka ukiwa umevaa kanzu.haiwezrkani.
Na technology yote iliyopo sasa bado hutaki kuamini kwamba inawezekana sana ukapiga tiktak huku umevaa kanzu?

Mbona ni kama bado unaishi gizani mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…