BUBERWA D.
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 2,293
- 1,170
Subiri waumini wake waje. Ila huu ndiyo ukweli umewaambia.Bali mnaenda kufanya nini?!
Tume Huru ipo wapi
Kushika dola ndio nini?
Mmejipanga kweli?
Upinzani kuweni serious msifanye mambo kwa mazoea
Vyama vya upinzani 20 hamuelewani mtawezaje kushinda?
My thought....