Hilo la "tabia za kikatili" ni hisia ambazo hazijanishawisi; kusimamia sheria kunahitaji matumizi ya mabavu nandiyo nature ya utendaji wa serikali. Sasa ukivunja sheria halafu serikali ikakupiga rungu usiseme huo ni ukatili, ndivyo serikali inavyofanya kazi.
Moja ya sababu kubwa ya kushindwa kukamilika kwa mchakato wa katiba mpya ni wingi wa wabunge walio kuwemo. Muda mwingi ilitumika kulumbana, kweli mapanya wengi hawachimbi shimo likaenda.
Hauna akili sababu ya kutetea maslahi mapana ya tumboDemokrasia ni siasa inayolenga kuleta machafuko,ushoga,ndoa za jinsia moja duniani
Yes, lakini siyo leo wala kesho.Uwezo upo. Hakuna kitu kibaya duniani kama kuongoza/kutawala "kondoo". Siku wakijua kuwa hawana cha kupoteza,inakuwa kama Eswatini.
Kwahiyo wao shida yao ni waende tu ikulu??Fikra zake kwamba Mama atakubali kuingilia muhimili wa Bunge na kuwaondoa wakina Halima Mdee na kitendo kuchelewa kupewa jibu la kukaribishwa ikulu limewafanya CHADEMA wapaniki.
Mikwara ya kipumbavuuuu!Mwenyekiti wa kudumu wa CHADEMA amemuonya Rais Samia kuwa asikubali kuliruhusu bunge lililopo sasa hivi lianze mchakato wa katiba mpya.
Mbowe amesema Rais akiruhusu hilo wao kama chama cha upinzani nchini hawatakubali kamwe.
"Kwanza tuna amani mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa ni haki ya kikatiba kisheria na ni wajibu wetu, ombi la mama Samia kwamba tusubiri, tumpe muda hatuko tayari kumpa muda."Freeman Mbowe
====
wenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, amemwomba Rais Samia Suluhu Hassan, aunde Tume ya Katiba, itakayoshirikisha makundi yote kwa ajili ya kufufua mchakato wa katiba mpya “na hatutakubali Bunge hili lililopo, litutengenezee katiba mpya.”
Ombi la Mama Samia kwamba tumpe muda hatupo tayari kumpa muda na natoa agizo kwa Viongozi Nchi nzima wajiandae kwa mikutano ya hadhara siku ambayo tutaitangaza.
Tunapendekeza kuwe na Bunge la Katiba na lisiwe Bunge hili linaloendelea sasa wala wasituambie Bunge hili la sasa ndio liunde Katiba, ichukuliwe rasimu ya Warioba na Katiba na kisha iundwe rasimu ya Katiba mpya, sio gharama na tukiamua tutapata Katiba mpya mwaka huu.
Katiba ni mali ya Wananchi na sio mali ya Viongozi, miongoni mwa mambo ambayo Rasimu ya Katiba ya Warioba ilibainisha ni kupunguza majukumu ya Rais,Warioba alipendekeza tuwe na Tume Huru ya Uchaguzi, Tuwe na Mgombea Huru.
Mwache ajaribu kina cha mto kwa mguu, atakipata anachokitafuta!Alikimbia nchi huyu ahahahahaha eti sasa anamvimbia mama ahahahhahah
Kwani waliokuwa wakimpinga MAKONDA kipindi anapambana na mashoga sio nyinyi? na mkadai anadhulumu haki ya kuishi?Hauna akili sababu ya kutetea maslahi mapana ya tumbo
CCM hakuna mashoga?
Umemnanga sana mkuu huyo jamaaKwani waliokuwa wakimpinga MAKONDA kipindi anapambana na mashoga sio nyinyi? na mkadai anadhulumu haki ya kuishi?
ILE NDIO DEMOKRASIA mkuu, na ndio maana mnang'ang'ania katiba mpya mkidhani mtapenyeza huo ushetwani
Hakuna binadamu asie na pande mbili, dharau zikizidi utaona vilio vyakemama siyo dikteta kama jpm
Mama ndio mwenye kutoa ruhusa kuwa mchakato wa katiba uendelee au usiendelee hakuna mtu mwengine, sasa amechukua nchi ndio kwanza siku 100 zimefika, anataka kupewa mda wewe unasema hutaki, maana yake unataka mama hatumie nguvu, basi jiandae kwa maumivuNini maana ya demokrasia?
Hawa jamaa imewapata hasara vichwani mwaoUmemnanga sana mkuu huyo jamaa
Jiwe amemaliza mwendo lakini maumivu aliomuachia Mbowe alitangaza hadharan, kama ile dozi hajamkolea sasa aendelee na Katiba mpya wakati Rais amesema apewe mda, mtakuja humu kulialia kama kukuIla jiwe ndio kachakaa zaidi huko motoni alipo.
Kafa Yesu atakuwa JPM ahahaha, Mama asicheke na kima, kama hawaelewi kwa lugha ya upole,basi tumia lugha ya kichapo maana hiyo ni rahisi kuelewekaHuyo JPM yuko wapi sasa, nyie mponzeni na mama ila mjue kuwa Mungu sio binadamu, kama mama hakujifunza kwa JPM basi atajifunza in hardway kama JPM anavyojifunza in hardway uko aliko.
Hawa wakiachwa wanaongea ujinga ndio maana JPM aliwabana masikio na midomo, sasa anataka mama aache kujenga nchi aangaike na KatibaEti namuonya rais...
Wtf...
Hawa wakiachwa wanaongea ujinga ndio maana JPM aliwabana masikio na midomo, sasa anataka mama aache kujenga nchi aangaike na KatibaEti namuonya rais...
Wtf...
Mdomo hauna breakMwache ajaribu kina cha mto kwa mguu, atakipata anachokitafuta!
😀 😀 Mama alipoanza kucheka nao wakamsifia wee ili aingie kwenye kumi na nane zao. Sasa akizubaa maji yatazidi unga, kwa kaliba ya watu kama faru John & co inatakiwa mtu tough kudeal nao perpendicular yani kwato kwa kwako kama shujaa wa Afrika alivyofanya walikuwa na adabu zote.Kwa kauli hii ya Mbowe mama hana option zaidi ya kuwa dikteta.....
otherwise watampelekesha sana hawa....
mama inaonekana ni mpenda haki na utu
lkn naona wanamforce awe dikteta.....
wanasema hakuna mchawi mbaya kama mwanamke....