mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,108
- 3,155
Kwani yeye alisema sio poa?Kwangu ni poa tu maana sijifanyi mzalendo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani yeye alisema sio poa?Kwangu ni poa tu maana sijifanyi mzalendo.
Eti namuonya rais...Yaani Mbowe anamtisha Rais wa nchi? Huyu mama awe makini, kipindi cha JPM hizi kauli kama za Mbowe hakuna aliethubutu kuongea, na Ikitokea umeongea lazima uchakae
Hapa sasa Mbowe ndiye anaye dictate, kwa maana hiyo yeye sasa atakuwa dikteta, tatizo mama kasema subirini katiba mpya itakuja, kama kuna kitu cha kulazimisha kwanza itafutwe tume huru ya uchaguzi, Mutungi na timu yake wakae pembeni, tukishapata wawakilishi halali wa wananchi ndiyo katiba mpya ianze hivyo kwa ushauri wapinzani kaeni na mama mmwambiye ushauri wenu katika kuipeleka nchi katika maendeleo.Kwa kauli hii ya Mbowe mama hana option zaidi ya kuwa dikteta.....
otherwise watampelekesha sana hawa....
mama inaonekana ni mpenda haki na utu
lkn naona wanamforce awe dikteta.....
wanasema hakuna mchawi mbaya kama mwanamke....
Inakuuma sana ninavyotumia Amandla?Hili neno amandla unalitumia kizembe sana....
issue ipo hv CCM hawawezi kubali mabadiliko ya katiba.....huo ni uamuzi wa CCM sio mama....
JK mwenyewe analijua hili fika....
siku katiba ikiwekwa sawa fisiemu wanapotea...
usisahau kwamba sheria zinatungwa na watawala....
neno MKATILI ni relative sana kwani linaweza kuchanganya kusimaia sheria za nchi (ambazo ni za kimabavu naturally) na kuonea raia (ambalo ndyo watu hatutaki). kwani Golda Meir alipokuwa anawapiga na kuwaua waarabu, au Margareth Thatcher alipokuwa akiwabana Labour party kisiasa walikuwa MAKATILI?..Rais Samia naye awe makini asijejikuta anakuwa kiongozi MKATILI jambo ambalo halitegemewi kwa wanawake.
Kuimba zile pambio kama za enzi zile unaruhusiwa bora tonge linafika kinywani.Mkuu wewe ni miongoni mwa members ambao kwa kweli wakini-quote huwa nawaheshimu sana. Heshima yangu kwako ipo juu sana mkuu.
Unajua kinachopelekea haya mambo yatokee.
Hivi Mheshimiwa Mbowe kama kiongozi mkubwa tu, anaongeaje maneno aliyoyaongea kumjibu Rais wa nchi??? Ndio kweli tukae kimya tu????
Yake yale ya siku zote. Nyie ni wengi sana msitushinde. My mind is made up, don't confuse me with facts. Sasa tutapate wapi wabunge, ahera?Mwenyekiti wa kudumu wa CHADEMA amemuonya Rais Samia kuwa asikubali kuliruhusu bunge lililopo sasa hivi lianze mchakato wa katiba mpya.
Mbowe amesema Rais akiruhusu hilo wao kama chama cha upinzani nchini hawatakubali kamwe.
"Kwanza tuna amani mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa ni haki ya kikatiba kisheria na ni wajibu wetu, ombi la mama Samia kwamba tusubiri, tumpe muda hatuko tayari kumpa muda."Freeman Mbowe
====
wenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, amemwomba Rais Samia Suluhu Hassan, aunde Tume ya Katiba, itakayoshirikisha makundi yote kwa ajili ya kufufua mchakato wa katiba mpya “na hatutakubali Bunge hili lililopo, litutengenezee katiba mpya.”
Ombi la Mama Samia kwamba tumpe muda hatupo tayari kumpa muda na natoa agizo kwa Viongozi Nchi nzima wajiandae kwa mikutano ya hadhara siku ambayo tutaitangaza.
Tunapendekeza kuwe na Bunge la Katiba na lisiwe Bunge hili linaloendelea sasa wala wasituambie Bunge hili la sasa ndio liunde Katiba, ichukuliwe rasimu ya Warioba na Katiba na kisha iundwe rasimu ya Katiba mpya, sio gharama na tukiamua tutapata Katiba mpya mwaka huu.
Katiba ni mali ya Wananchi na sio mali ya Viongozi, miongoni mwa mambo ambayo Rasimu ya Katiba ya Warioba ilibainisha ni kupunguza majukumu ya Rais,Warioba alipendekeza tuwe na Tume Huru ya Uchaguzi, Tuwe na Mgombea Huru.
Katuba ndiyo nini?Mboe ndiyo Nani?Mwenye akili yenye ufaham ndoo atakuelewa lakini wengne humu ambao akili yao ya kilevi wanaendeshwa na mihemuko bila kutumia mantiki.Wanafikiri katuba mpya ni ya Mboe au Chadema.
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Na ni lazima hasa. Alichotufanyia marehemu kwa kutumia katiba yetu hii mbovu, ni funzo kwa kila mwenye akili.Naunga mkono hoja,
This time hatutakubali.
Katiba mpya ni ya lazima.
KabisaHawa jamaa wameshaanza sarakasi zao Mama itakubidi ukorome kidogo la sivyo watakutawala.
Kwani yeye alisema sio poa?
Akiamua kuwa dikteta kwa sababu watu wanadai haki, na awe. Hatuna cha kupoteza, zaidi ya kongwa zetu za kuonewa na kunyanyaswa.Kwa kauli hii ya Mbowe mama hana option zaidi ya kuwa dikteta.....
otherwise watampelekesha sana hawa....
mama inaonekana ni mpenda haki na utu
lkn naona wanamforce awe dikteta.....
wanasema hakuna mchawi mbaya kama mwanamke....
Uwezo upo. Hakuna kitu kibaya duniani kama kuongoza/kutawala "kondoo". Siku wakijua kuwa hawana cha kupoteza,inakuwa kama Eswatini.Hatutakubali hatutakubali, mara Never Never !
Utafikiri tunao huo uwezo wa kufanya chochote kitu[emoji1787]
neno MKATILI ni relative sana kwani linaweza kuchanganya kusimaia sheria za nchi (ambazo ni za kimabavu naturally) na kuonea raia (ambalo ndyo watu hatutaki). kwani Golda Meir alipokuwa anawapiga na kuwaua waarabu, au Margareth Thatcher alipokuwa akiwabana Labour party kisiasa walikuwa MAKATILI?
Sasa ndio muache ukaidi wakati dunia inapambana na Uviko 19 nyie mpo busy kuhamasisha maandamano.Akiamua kuwa dikteta kwa sababu watu wanadai haki, na awe. Hatuna cha kupoteza, zaidi ya kongwa zetu za kuonewa na kunyanyaswa.
Marehemu alikuwa dikteta, aliwapoteza baadhi uetu, aliwaua, aliwabbikia kesi, aliwateka, lakini hakutumaliza wote. Hata huyu, japo hatutarajii awe hivyo, akiamua kuwaonea watu wanaodai haki, hatawamaliza. Marehemu hakuwamaliza, naye akawafuata aliowatanguliza.
Duniani ni kituo wakati tukiwa safarini. Tenda wema, itumikie haki, usitumikie chama wala magenge ya waonezi.