Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Kama Mbowe alisumbuliwa tu na DC Sabaya....ataweza kumsumbua mh.Rais na CCM yake ?!!!
Jamaa BOYA SANA HUYU.....
Jamaa BOYA SANA HUYU.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama vile atakavyokuwa sahihi atakavyokuondoa wewe,watoto wako na hata mimiMungu naye akawa sahihi zaidi kwa kumuondoa duniani!
Kamuulize alijihamishia nchi gani huko Asia
Hivi na hao Waulaya na Wamarekani nao wanamawazo finyu kiasi cha kushindwa kutofautisha hoja inayowekwa mezani na mashambulizi ya haiba?Huu ni sawa na mtego. Upinzani ukianza kumshambulia Rais SSH, wataonekana kama wanamdharau au wanamkejeli kwa sababu ya jinsia yake. Hiki ni kitu ambacho nchi za Ulaya, Amerika zitaanza kusita kuwapa support wapinzani maana kwao haki za kina mama ni kitu muhimu. Upinzani ukishaonekana kama wana ubaguzi wa kijinsia kwenye dunia ya leo, wataanza kujipaka matope mbele ya watu wao wa nchi za magharibi.
Umepata like yangu mkuuMbowe ni kiongozi mkubwa sana ila anafeli sehemu ndogo sana mara kwa mara
Kiongozi mkuu hatakiwi kutoa kauli kwa kukurupuka...
Wanaojifanya wacha Mungu huwa hawafi?
Huu ni sawa na mtego. Upinzani ukianza kumshambulia Rais SSH, wataonekana kama wanamdharau au wanamkejeli kwa sababu ya jinsia yake. Hiki ni kitu ambacho nchi za Ulaya, Amerika zitaanza kusita kuwapa support wapinzani maana kwao haki za kina mama ni kitu muhimu. Upinzani ukishaonekana kama wana ubaguzi wa kijinsia kwenye dunia ya leo, wataanza kujipaka matope mbele ya watu wao wa nchi za magharibi.
Hiyo sio ajenda kubwa...mjadala mwambie awe na adabu kijana mdogo pale Hai alimlaza na viatu.Tuambie tu maana wewe unaonekana uko karibu nae sana mpaka unajua kuwa alienda Asia. Unaogopa nini kuitaja nchi uliokuwa nae?
Amandla...
Fanyeni hiyo mikutano haramu mama awachape na kuwapa laana mitoto isiyokuwa na adabu.
Kama vile atakavyokuwa sahihi atakavyokuondoa wewe,watoto wako na hata mimi
Mbowe awe makini asijejikuta akijitangaza kuwa ni kiongozi dhaifu anayedharau wanawake! Kwa nini hakujiima ubavu na saizi yake Dr JPM wakti ule hadi akakaimbia nchi kama leo ana ubavu wa kujipima na Mama SSH?Mwenyekiti wa kudumu wa CHADEMA amemuonya Rais Samia kuwa asikubali kuliruhusu bunge lililopo sasa hivi lianze mchakato wa katiba mpya.
Mbowe amesema Rais akiruhusu hilo wao kama chama cha upinzani nchini hawatakubali kamwe...
Demokrasia ni siasa inayolenga kuleta machafuko,ushoga,ndoa za jinsia moja dunianiNini maana ya demokrasia?
Huu ni sawa na mtego. Upinzani ukianza kumshambulia Rais SSH, wataonekana kama wanamdharau au wanamkejeli kwa sababu ya jinsia yake. Hiki ni kitu ambacho nchi za Ulaya, Amerika zitaanza kusita kuwapa support wapinzani maana kwao haki za kina mama ni kitu muhimu. Upinzani ukishaonekana kama wana ubaguzi wa kijinsia kwenye dunia ya leo, wataanza kujipaka matope mbele ya watu wao wa nchi za magharibi.
Mtwara waliuliwa na nani mkuu?Wafuasi wa chadema ni wapenda chuki,walipandikiza chuki kule Mtwara hadi vurugu za gesi zikatokea hadi watu wakauliwa.
Wakawahadaa wana arusha hadi wakapigwa na kuuwawa....
Mbowe awe makini asijejikuta akijitangaza kuwa ni kiongozi dhaifu anayedharau wanawake! Kwa nini hakujiima ubavu na saizi yake Dr JPM wakti ule hadi akakaimbia nchi kama leo ana ubavu wa kujipima na Mama SSH?
Aendelee kuwachekea na kuwaambia NAWAOMBA SAAAANA....Samia’s ‘tensile strength’ is being tested.