Na kushupaza shingoMoja ya sababu kubwa ya kushindwa kukamilika kwa mchakato wa katiba mpya ni wingi wa wabunge walio kuwemo. Muda mwingi ilitumika kulumbana, kweli mapanya wengi hawachimbi shimo likaenda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kushupaza shingoMoja ya sababu kubwa ya kushindwa kukamilika kwa mchakato wa katiba mpya ni wingi wa wabunge walio kuwemo. Muda mwingi ilitumika kulumbana, kweli mapanya wengi hawachimbi shimo likaenda.
Hauwajui vizuri hawa aiseee yaani hawa ninkama watani zangu wakurya bila kula vibao hawaoni kama kuna mapenzi.
Huyo JPM yuko wapi sasa, nyie mponzeni na mama ila mjue kuwa Mungu sio binadamu, kama mama hakujifunza kwa JPM basi atajifunza in hardway kama JPM anavyojifunza in hardway uko aliko.Yaani Mbowe anamtisha Rais wa nchi? Huyu mama awe makini, kipindi cha JPM hizi kauli kama za Mbowe hakuna aliethubutu kuongea, na Ikitokea umeongea lazima uchakae
Mtu mwenyewe anaogopa hadi kivuli chake anakimbilia ughaibuni huko, watulie sasa.Mbowe ni kiongozi mkubwa sana ila anafeli sehemu ndogo sana mara kwa mara
Kiongozi mkuu hatakiwi kutoa kauli kwa kukurupuka
Kwa mfano, anavyosema "...viongozi wa chadema wajiandae kufanya mikutano ya hadhara..." tafsiri yake ni nini?
Viongozi wake ni wakupokea order tu na kutekeleza bila kuwa na majadiliano?
Ikitokea viongozi kadhaa wakaja na hoja yenye mashiko (mfano kuepuka mikusanyiko kwa sababu ya corona) na hivyo kufifisha "agizo" lake haoni Kama inampunguzia credit yeye Kama top leader?
Halafu Mbowe alitakiwa asome upepo, kuja na matamko Kama haya watu wenye kudadisi sana watakuja na conclusion kuwa kumbe na yeye ni muoga Kama waoga wengine maana enzi za Magufuri hakutoa hivi vitisho, kwanini alishindwa wakati katiba inawaruhusu?
Hata hivyo, asome upepo vizuri wa wananchi maana ni "Kama" wanamuelewa elewa Rais huyu hivyo wanaweza kujikuta wanaandamana viongozi wao tu na boda hoda mtaani
Haya sasa. Tulisema mama asicheke na nyani atakula mabua. Wanachotaka sasa jeshi la polisi liwape kipigo kwa kuweka mikutano yao kisha waseme wameuliwa kutekwa na kuteswa.
Demokrasia ni pamoja na kuheshimu na kutii bila shuruti Mamlaka iliyopo Madarakani!!Mbona watu wa CCM hampendi demokrasia?
Kwani Baregu, Karugendo wako wapi?Huyo JPM yuko wapi sasa, nyie mponzeni na mama ila mjue kuwa Mungu sio binadamu, kama mama hakujifunza kwa JPM basi atajifunza in hardway kama JPM anavyojifunza in hardway uko aliko.
Toeni ela basi ya mchakatoNaunga mkono hoja,
This time hatutakubali.
Katiba mpya ni ya lazima.
Ndesamburo nae yupo wapi? Maana inaonekana unajua sana wafu walipoHuyo JPM yuko wapi sasa, nyie mponzeni na mama ila mjue kuwa Mungu sio binadamu, kama mama hakujifunza kwa JPM basi atajifunza in hardway kama JPM anavyojifunza in hardway uko aliko.
Na. Wewe ni hovyo takatakaHuyu mama na magufuli wote ni hovyo kabisa
Tunalipa kodi.Toeni ela basi ya mchakato
Au mnataka hizo ela zitoke wapi
Hata wwe Mzee wa Corona pia hutaki social distance,unataka Mikutano ya kisiasa kisa Katiba!? Vp hamuogopi Corona tena!?Mama anajua pia kuwa akizingua anazinguliwa.
Kwanini isiwe tusizinguane?
Maoni na mawazo ya mama si msahafu na hii ni kwa mwingine yeyote.
Kwani Baregu, Karugendo wako wapi?
Nao walimpinga mbowe?
Wewe kwa kuwa bendera fuata upepo mbowe ndiyo hutakufa??
Mkuu wewe ni miongoni mwa members ambao kwa kweli wakini-quote huwa nawaheshimu sana. Heshima yangu kwako ipo juu sana mkuu.
Unajua kinachopelekea haya mambo yatokee.
Hivi Mheshimiwa Mbowe kama kiongozi mkubwa tu, anaongeaje maneno aliyoyaongea kumjibu Rais wa nchi??? Ndio kweli tukae kimya tu????
Mtu mwenyewe anaogopa hadi kivuli chake anakimbilia ughaibuni huko, watulie sasa.
Wanaojifanya wacha Mungu huwa hawafi?Hao uliowataja walikuwa wanajifanya wacha Mungu na wazalendo, huku wakiongozwa na kiburi cha madaraka?
Hauwajui vizuri hawa aiseee yaani hawa ni kama watani zangu wakurya bila kula vibao hawaoni kama kuna mapenzi.