Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nina mashaka kwa bangi wazovuta hawawezi kukuelewa- ila pole yaoMbowe ni kiongozi mkubwa sana ila anafeli sehemu ndogo sana mara kwa mara
Kiongozi mkuu hatakiwi kutoa kauli kwa kukurupuka
Kwa mfano, anavyosema "...viongozi wa chadema wajiandae kufanya mikutano ya hadhara..." tafsiri yake ni nini?
Viongozi wake ni wakupokea order tu na kutekeleza bila kuwa na majadiliano?
Ikitokea viongozi kadhaa wakaja na hoja yenye mashiko (mfano kuepuka mikusanyiko kwa sababu ya corona) na hivyo kufifisha "agizo" lake haoni Kama inampunguzia credit yeye Kama top leader?
Halafu Mbowe alitakiwa asome upepo, kuja na matamko Kama haya watu wenye kudadisi sana watakuja na conclusion kuwa kumbe na yeye ni muoga Kama waoga wengine maana enzi za Magufuri hakutoa hivi vitisho, kwanini alishindwa wakati katiba inawaruhusu?
Hata hivyo, asome upepo vizuri wa wananchi maana ni "Kama" wanamuelewa elewa Rais huyu hivyo wanaweza kujikuta wanaandamana viongozi wao tu na boda hoda mtaani
Huo ndiyo ukweliSafi,Katiba haiwezi kuwekwa kando ili mtu mmoja atengeneze sijui uchumi gani
Wakati wa Magufuli Mbowe alitumia miaka mitano akihudhuria mahakamani.Mbowe ni kiongozi mkubwa sana ila anafeli sehemu ndogo sana mara kwa mara
Kiongozi mkuu hatakiwi kutoa kauli kwa kukurupuka
Kwa mfano, anavyosema "...viongozi wa chadema wajiandae kufanya mikutano ya hadhara..." tafsiri yake ni nini?
Viongozi wake ni wakupokea order tu na kutekeleza bila kuwa na majadiliano?
Ikitokea viongozi kadhaa wakaja na hoja yenye mashiko (mfano kuepuka mikusanyiko kwa sababu ya corona) na hivyo kufifisha "agizo" lake haoni Kama inampunguzia credit yeye Kama top leader?
Halafu Mbowe alitakiwa asome upepo, kuja na matamko Kama haya watu wenye kudadisi sana watakuja na conclusion kuwa kumbe na yeye ni muoga Kama waoga wengine maana enzi za Magufuri hakutoa hivi vitisho, kwanini alishindwa wakati katiba inawaruhusu?
Hata hivyo, asome upepo vizuri wa wananchi maana ni "Kama" wanamuelewa elewa Rais huyu hivyo wanaweza kujikuta wanaandamana viongozi wao tu na boda hoda mtaani
Madam is in a quandary, whether to be in line with constitutional stipulations or not. Stitch in time saves nine.Samia’s ‘tensile strength’ is being tested.
Naye kapigwa pini vilevile, vifaa vya pini kaviachaJPM alikuwa sahihi kuwapiga pin
Ni mtihani kwake!!kwani mabeberu wana imani naye kuwa anairudisha nchi kwenye mstari na wao sasa wameanza kumpa ahadi nyingi za misaada, kama alivyo tumia approach nyingine juu ya covid19, sifa kila kona toka WB, IMF, , sasa hapo kwenye demokrasia ndio mtihani ulipo, kwani wataanza kushinikiza katiba mpya, na mikutano ya hadhara, polisi watatumika kuwadhibiti!!!Kwa kauli hii ya Mbowe mama hana option zaidi ya kuwa dikteta.....
otherwise watampelekesha sana hawa....
mama inaonekana ni mpenda haki na utu
lkn naona wanamforce awe dikteta.....
wanasema hakuna mchawi mbaya kama mwanamke....
Unafikiri ndiyo amemaliza zamu yake na hawezi enda tena huko akitaka tena. Hizi ni dalili za kutaka kwenda huko. Nyie mchezeeni tu Mama hamtajua mda, saa wala namna.Wakati wa Magufuli Mbowe alitumia miaka mitano akihudhuria mahakamani.
Ikiwemo kukaa mahabusu kwa zaidi ya miezi minne wewe hukuliona hilo ?