Shhhh!
Tuna ya msingi zaidi kwa sasa. Kama hujui Mh. Mbowe ni sehemu ya yamuhimu hayo:
Ni wazi kuwa kwa makamanda wengi suala la chanjo ni muhimu lililokuja likiwa limechelewa mno. Inafahamika kuwa Chanjo hii imetufikia kutokea kwa tulioaminishwa kuwa ndiyo walio wachawi wetu wakuu yaani mabeberu. Ni barakoa, PPEs, sanitizers nk? Vyote vikinasibishwa na upigaji wa mchawi beberu...
Usiichukulie cdm kwenye maana finyu kama unavyoidhania. Hata hivyo sikukatazi kuendelea kujidanganya:
1. Katiba mpya ni kipaumbele lakini si kuliko Corona.
2. Mbowe ni kipaumbele lakini si kuliko mustakabala wa watu wake kuhusu Corona.
Hata Mabosi wenu wanajua ngoma ndiyo kwanza bado asubuhi. Kumbe wapambe mnadhani imeisha?
Hata hivyo, au tufanye imekwisha basi, na cdm haipo tena.
Umefurahi eeh 😂😂😂😂?
Jumbe Brown wafunde nduguzo hawa wenye kudhani vita ni lele mama.