Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Sawa MkuuWapi umetishwa? Mimi Sina chama FYI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa MkuuWapi umetishwa? Mimi Sina chama FYI
kumjaribu mama au kikwete? mbona ashajaribiwa kitambo haya marudio tu.Baada ya Rais kusema kuwa anataka apewe muda ili ajenge uchumi kwanza na mambo ya katiba na mikutano ya hadahara itafata baadae.
Mh Mbowe leo amesema wazi kuwa hawatompa muda Rais samia na hawatakubali bali watafanya mikutano ya hadhara na watadai katiba kwa njia yeyote ile inayofaa na ikiwezekna wataingia barabarani kuidai katiba... na kwa sasa swala la katiba ni lazima watake wasitake ni lazima katiba ipatikane.
“Ombi la Rais Sami kwamba tumpe muda kuhusu suala la katiba, hatupo tayari kumpa muda na natoa agizo kwa Viongozi Nchi nzima wajiandae kwa mikutano ya hadhara siku ambayo tutaitangaza".
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.
"Tutaidai Katiba mpya asubuhi, mchana hadi usiku. Kama wanataka tukae mezani, turidhie. Kama wasiporidhia, tutakutana barabarani. Hatutaridhia kushiriki Uchaguzi wowote bila kuwa na Katiba mpya au Tume Huru ya Uchaguzi.
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.
My take:
Chaedema na Mbowe wameamua kumjaribu Mama? Wataweza kweli?
yuko wapi sasaJpm ndio kiboko yao. Aliwanyoosha mpaka wakakimbilia jengo la EU kusemelea...
Haya kiko wapi sasa, Mbowe yuko wapi ?Naona wewe ni mshamba wa siasa. Rais Samia ni mwanasiasa pia. Siasa ni mashinikizo kwa kutumia hoja. Kwani kamtukana au anahatarisha Usalama wa Rais au amempindu?
Uache ushamba
jiwe yuko wapiHaya kiko wapi sasa, Mbowe yuko wapi ?
Muda mwingine punguzeni ujuaji, kwa zile kauli zake ilitosha kabisa kutoa ishara mbaya juu ya mstakabali wake.
Huwezi kufikia lengo hata siku moja kama tabia yako ni ya kuweka ahadi bila kujiwekea ahadi hiyo utaitimiza katika muda gani.
Waongo wote duniani ndivyo hivyo walivyo, hawezi kamwe hata siku moja kukupa ahadi ya uhakika atakayoitimiza kwenye muda maalum.
Na tabia hizi ndizo zinazosababisha mambo yetu kama nchi yawe ni ya hovyo hovyo, kwa sababu hatujiwekei kipimo na muda wa kutimiza
Huu uswahili swahili huu ni tatizo kubwa kwa maendeleo ya nchi yetu.
Mtu mzima, tena rais, anaongoka mbela za watu, halafu 'chawa' wanaanza kuweka 'spinning' zao.
Huku ni kuwadharau wananchi wa nchi hii. Mnawaona kama majuha.
Kwamba uke mkutano ulifanya CCM walale na viatu sio?😂Mkutano mmoja wa ndani MACCM LEO YAMELALA NA VIATU😅😅
Kwanini washindweBaada ya Rais kusema kuwa anataka apewe muda ili ajenge uchumi kwanza na mambo ya katiba na mikutano ya hadahara itafata baadae.
Mh Mbowe leo amesema wazi kuwa hawatompa muda Rais samia na hawatakubali bali watafanya mikutano ya hadhara na watadai katiba kwa njia yeyote ile inayofaa na ikiwezekna wataingia barabarani kuidai katiba... na kwa sasa swala la katiba ni lazima watake wasitake ni lazima katiba ipatikane.
“Ombi la Rais Sami kwamba tumpe muda kuhusu suala la katiba, hatupo tayari kumpa muda na natoa agizo kwa Viongozi Nchi nzima wajiandae kwa mikutano ya hadhara siku ambayo tutaitangaza".
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.
"Tutaidai Katiba mpya asubuhi, mchana hadi usiku. Kama wanataka tukae mezani, turidhie. Kama wasiporidhia, tutakutana barabarani. Hatutaridhia kushiriki Uchaguzi wowote bila kuwa na Katiba mpya au Tume Huru ya Uchaguzi.
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.
My take:
Chaedema na Mbowe wameamua kumjaribu Mama? Wataweza kweli?
Muda gnNaona tumezoea maisha ya kibabe babe hivyo tunamlazimisha Samia awe mbabe. So sad! Yule aliyepita amesema hakuahidi, hana agenda hiyo na asipangiwe juu ya hilo huyu amesema apewe muda yet tunaona tabu kumpa huo muda? Chadema mnaturudisha wapi jamani?
Aiseeeh mkuu uliona mbali sana.Akiamuru wana usalama wafanye kazi yao kikamilifu hamna choko atakaeleta fyoko! Wote wataloana mapema tu na kukimbilia al jazeera na bbc kulia lia kwamba wameonewa ila adabu hawana!
Sihangaiki kupoteza muda na mtu ninayefahamu hana mchango wowote wa maana katika anayoandika humu jukwaani kama wewe.Kiko wapi Sasa😂.
Sasa kaharibu kila kitu, hilo hulioni wala kulitambua?GAIDI. Mnayataka wenyewe. Mama KAKAA kimya akitafakati jinsi ya kuendesha nchi. Mnaanza kujifanya amnazo...
Bastard.Sihangaiki kupoteza muda na mtu ninayefahamu hana mchango wowote wa maana katika anayoandika humu jukwaani kama wewe.
Asshole.Bastard.
Flash back...Mbowe anatuharibia chama chetu, anapaswa ajiuzulu mapema,
3:44 amTatizo sio kudai katiba bali ni matendo yake ya kimafia na kigaidi ya kufikia malengo yake ya kisiasa, huyu Mbowe ana uchu na tamaa iliyo pindukia kiasi kwamba yuko tayari hata kuuwa watu wengine ilimradi tu afikie anacho taka, hana utu wala ubinaadamu kabisaa.
3:46 amTatizo sio kudai katiba bali ni matendo yake ya kimafia na kigaidi ya kufikia malengo yake ya kisiasa, huyu Mbowe ana uchu na tamaa iliyo pindukia kiasi kwamba yuko tayari hata kuuwa watu wengine ilimradi tu afikie anacho taka, hana utu wala ubinaadamu kabisaa.
3:47 amTatizo sio kudai katiba bali ni matendo yake ya kimafia na kigaidi ya kufikia malengo yake ya kisiasa, huyu Mbowe ana uchu na tamaa iliyo pindukia kiasi kwamba yuko tayari hata kuuwa watu wengine ilimradi tu afikie anacho taka, hana utu wala ubinaadamu kabisaa.
3:49 amTatizo sio kudai katiba bali ni matendo yake ya kimafia na kigaidi ya kufikia malengo yake ya kisiasa, huyu Mbowe ana uchu na tamaa iliyo pindukia kiasi kwamba yuko tayari hata kuuwa watu wengine ilimradi tu afikie anacho taka, hana utu wala ubinaadamu kabisaa.
5:12 amTatizo sio kudai katiba bali ni matendo yake ya kimafia na kigaidi ya kufikia malengo yake ya kisiasa, huyu Mbowe ana uchu na tamaa iliyo pindukia kiasi kwamba yuko tayari hata kuuwa watu wengine ilimradi tu afikie anacho taka, hana utu wala ubinaadamu kabisaa.
6:08 amMbowe mpaka sasa ananuka, anatoa harufu mbaya sana, ni mtu ambaye ni tishio kwa amani na usalama wa nchi yetu, mbowe na genge lake ni hatari sana, Bowe na genge lake sio wanasiasa bali ni magaidi/mamafia/ wauaji na wahalifu wakubwa.
6:12 amwange muhamisha Guatanamo Bay, siku 2 tu angewataja washirika wote, mtandao wote wa kigaidi ungefahamika. washirikiane na interpol watafahamu washirika wengine.
Huyu mchangiaji ndiye zandrano, wajinga ambao CCM imewatuma na inawatumia humu JF kutetea utawala ambao licha ya kiongozi wake Mkuu kuapa kuwa ataihifadhi, kuilinda na kuitetea Katiba, hana ujasiri wa kuheshimu kiapo chake.Mhalifu ni mhalifu tu, Mbowe ni muhalifu kama walivyo wengine. kuwa kiongozi wa chama haimaanishi kuwa hawezi kutenda makosa ya kijinai wala haizuii Vyombo vya Ulinzi na usalama kumchukulia hatu.
Kwani Jiwe yuko wapi?Kwamba uke mkutano ulifanya CCM walale na viatu sio?😂
Haya kikowapi Sasa,mbona mmeanza kulialia?
😅😅😅wanalipwa wapuuzi hawa hata cha kuandika wanaandikiwaFlash back...
3:42 am
3:44 am
3:46 am
3:47 am
3:49 am
5:12 am
6:08 am
6:12 am
Huyu mchangiaji ndiye zandrano, wajinga ambao CCM imewatuma na inawatumia humu JF kutetea utawala ambao licha ya kiongozi wake Mkuu kuapa kuwa ataihifadhi, kuilinda na kuitetea Katiba, hana ujasiri wa kuheshimu kiapo chake.
Kiongozi ambaye hana ujasiri wa kuheshimu kiapo chake wala kuona umuhimu wa kufanya hivyo si mwaminifu na hatufai, period!
Ingawa sote tunajua kuwa mtaji wa CCM ni ujinga, lakini inapofikia kiwango hiki ni hatari kwa usalama wa taifa. Kama ni ugaidi, huo ni mfano tosha kwa jinsi haya matakataka kama zandrano yanavyotumia ujinga wao kulipeleka taifa kusiko.