Mbowe: Hatutompa muda Rais na hatukubali. Viongozi wa CHADEMA watakiwa kujiandaa kuanza mikutano nchi nzima

Mbowe: Hatutompa muda Rais na hatukubali. Viongozi wa CHADEMA watakiwa kujiandaa kuanza mikutano nchi nzima

Mbowe anatuharibia chama chetu, anapaswa ajiuzulu mapema,
sijaelewa kwa nn kajipanga kung'atuka mwaka 2023?
hivi haoni aibu kukimbiwa na kina mdee, bulaya, matiku, mashinji n.k.
ni wakati sasa wa yeye kujiuzulu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukae chini kama taifa tuone ni wapi tunakwama katika swala zima la maendeleo ya taifa na wananchi kwa ujumla.

Suala la katiba ni sehemu tu ya mambo tunayokwama kama taifa, lakini kwanini linapigiwa kelele mnoo? Hapa msemo wa hoja hujibiwa kwa hoja ni vyema kutumika.

Lakini pia tujiulize, je? Umaskini tulionao kama taifa unachangiwa na uwepo wa katiba ya sasa?, Habari gani juu ya ufisadi na Rushwa je? Ni katiba iliyopo sasa inachangia?

Je? Ukosefu wa maji safi na salama kwa watu wa vijijini, ukopeshwaji wa elimu kwa wanafunzi wa vyuo vikuu, ukosefu wa teknolojia yetu binafsi kama taifa, ubaguzi katika ajira, ukosefu wa ajira yenyewe, uwepo wa mikataba mibovu inayo Leta hasara kwa Taifa JE YANASABABISHWA NA UWEPO WA KATIBA YA SASA?

Kama jibu ni ndiyo basi tumpe muda kiongozi wetu mkuu kama alivyosema atafakari na kutupa majibu.

Lakini pia tukumbuke ya kwamba hata tutakapo fanikiwa katika hili ni serikali iliyopo itakayo ratibu mchakato mzima! Je utamwamini umwitaye mchawi kukusongea ugali na kukuandalia mezani?
( THINK BEYOND THE STATEMENT)

Je mabadiliko haya kwanini yanataswira ya usiasa ndani yake, kama ni hitaji la taifa basi Wananchi wangesimama wao wenyewe kupiga kelele juu ya swala hili kwanini sio hivyo?

Mwisho, UKISHINDWA KUMTAMBUA ADUI UTASHAMBULIA WASIO NA HATIA ( HII NDIO TASWIRA YA AFRIKA)

NAIPENDA TANZANIA, NITAILINDA TANZANIA, NITAITUMIKIA TANZANIA, NA SII NCHI NYINGINE MUNGU NISAIDIE.
 
Baada ya Rais kusema kuwa anataka apewe muda ili ajenge uchumi kwanza na mambo ya katiba na mikutano ya hadahara itafata baadae.

Mh Mbowe leo amesema wazi kuwa hawatompa muda Rais samia na hawatakubali bali watafanya mikutano ya hadhara na watadai katiba kwa njia yeyote ile inayofaa na ikiwezekna wataingia barabarani kuidai katiba... na kwa sasa swala la katiba ni lazima watake wasitake ni lazima katiba ipatikane.

“Ombi la Rais Sami kwamba tumpe muda kuhusu suala la katiba, hatupo tayari kumpa muda na natoa agizo kwa Viongozi Nchi nzima wajiandae kwa mikutano ya hadhara siku ambayo tutaitangaza".

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.

"Tutaidai Katiba mpya asubuhi, mchana hadi usiku. Kama wanataka tukae mezani, turidhie. Kama wasiporidhia, tutakutana barabarani. Hatutaridhia kushiriki Uchaguzi wowote bila kuwa na Katiba mpya au Tume Huru ya Uchaguzi.

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.

My take:
Chaedema na Mbowe wameamua kumjaribu Mama? Wataweza kweli?
kumjaribu mama au kikwete? mbona ashajaribiwa kitambo haya marudio tu.
 
GAIDI. Mnayataka wenyewe. Mama KAKAA kimya akitafakati jinsi ya kuendesha nchi. Mnaanza kujifanya amnazo...
 
Naona wewe ni mshamba wa siasa. Rais Samia ni mwanasiasa pia. Siasa ni mashinikizo kwa kutumia hoja. Kwani kamtukana au anahatarisha Usalama wa Rais au amempindu?

Uache ushamba
Haya kiko wapi sasa, Mbowe yuko wapi ?

Muda mwingine punguzeni ujuaji, kwa zile kauli zake ilitosha kabisa kutoa ishara mbaya juu ya mstakabali wake.
 
Kiko wapi Sasa😂.
Huwezi kufikia lengo hata siku moja kama tabia yako ni ya kuweka ahadi bila kujiwekea ahadi hiyo utaitimiza katika muda gani.

Waongo wote duniani ndivyo hivyo walivyo, hawezi kamwe hata siku moja kukupa ahadi ya uhakika atakayoitimiza kwenye muda maalum.

Na tabia hizi ndizo zinazosababisha mambo yetu kama nchi yawe ni ya hovyo hovyo, kwa sababu hatujiwekei kipimo na muda wa kutimiza

Huu uswahili swahili huu ni tatizo kubwa kwa maendeleo ya nchi yetu.

Mtu mzima, tena rais, anaongoka mbela za watu, halafu 'chawa' wanaanza kuweka 'spinning' zao.

Huku ni kuwadharau wananchi wa nchi hii. Mnawaona kama majuha.
 
Baada ya Rais kusema kuwa anataka apewe muda ili ajenge uchumi kwanza na mambo ya katiba na mikutano ya hadahara itafata baadae.

Mh Mbowe leo amesema wazi kuwa hawatompa muda Rais samia na hawatakubali bali watafanya mikutano ya hadhara na watadai katiba kwa njia yeyote ile inayofaa na ikiwezekna wataingia barabarani kuidai katiba... na kwa sasa swala la katiba ni lazima watake wasitake ni lazima katiba ipatikane.

“Ombi la Rais Sami kwamba tumpe muda kuhusu suala la katiba, hatupo tayari kumpa muda na natoa agizo kwa Viongozi Nchi nzima wajiandae kwa mikutano ya hadhara siku ambayo tutaitangaza".

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.

"Tutaidai Katiba mpya asubuhi, mchana hadi usiku. Kama wanataka tukae mezani, turidhie. Kama wasiporidhia, tutakutana barabarani. Hatutaridhia kushiriki Uchaguzi wowote bila kuwa na Katiba mpya au Tume Huru ya Uchaguzi.

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.

My take:
Chaedema na Mbowe wameamua kumjaribu Mama? Wataweza kweli?
Kwanini washindwe

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Akiamuru wana usalama wafanye kazi yao kikamilifu hamna choko atakaeleta fyoko! Wote wataloana mapema tu na kukimbilia al jazeera na bbc kulia lia kwamba wameonewa ila adabu hawana!
Aiseeeh mkuu uliona mbali sana.
 
Mbowe anatuharibia chama chetu, anapaswa ajiuzulu mapema,
Flash back...

3:42 am
Tatizo sio kudai katiba bali ni matendo yake ya kimafia na kigaidi ya kufikia malengo yake ya kisiasa, huyu Mbowe ana uchu na tamaa iliyo pindukia kiasi kwamba yuko tayari hata kuuwa watu wengine ilimradi tu afikie anacho taka, hana utu wala ubinaadamu kabisaa.
3:44 am
Tatizo sio kudai katiba bali ni matendo yake ya kimafia na kigaidi ya kufikia malengo yake ya kisiasa, huyu Mbowe ana uchu na tamaa iliyo pindukia kiasi kwamba yuko tayari hata kuuwa watu wengine ilimradi tu afikie anacho taka, hana utu wala ubinaadamu kabisaa.
3:46 am
Tatizo sio kudai katiba bali ni matendo yake ya kimafia na kigaidi ya kufikia malengo yake ya kisiasa, huyu Mbowe ana uchu na tamaa iliyo pindukia kiasi kwamba yuko tayari hata kuuwa watu wengine ilimradi tu afikie anacho taka, hana utu wala ubinaadamu kabisaa.
3:47 am
Tatizo sio kudai katiba bali ni matendo yake ya kimafia na kigaidi ya kufikia malengo yake ya kisiasa, huyu Mbowe ana uchu na tamaa iliyo pindukia kiasi kwamba yuko tayari hata kuuwa watu wengine ilimradi tu afikie anacho taka, hana utu wala ubinaadamu kabisaa.
3:49 am
Tatizo sio kudai katiba bali ni matendo yake ya kimafia na kigaidi ya kufikia malengo yake ya kisiasa, huyu Mbowe ana uchu na tamaa iliyo pindukia kiasi kwamba yuko tayari hata kuuwa watu wengine ilimradi tu afikie anacho taka, hana utu wala ubinaadamu kabisaa.
5:12 am
Mbowe mpaka sasa ananuka, anatoa harufu mbaya sana, ni mtu ambaye ni tishio kwa amani na usalama wa nchi yetu, mbowe na genge lake ni hatari sana, Bowe na genge lake sio wanasiasa bali ni magaidi/mamafia/ wauaji na wahalifu wakubwa.
6:08 am
wange muhamisha Guatanamo Bay, siku 2 tu angewataja washirika wote, mtandao wote wa kigaidi ungefahamika. washirikiane na interpol watafahamu washirika wengine.
6:12 am
Mhalifu ni mhalifu tu, Mbowe ni muhalifu kama walivyo wengine. kuwa kiongozi wa chama haimaanishi kuwa hawezi kutenda makosa ya kijinai wala haizuii Vyombo vya Ulinzi na usalama kumchukulia hatu.
Huyu mchangiaji ndiye zandrano, wajinga ambao CCM imewatuma na inawatumia humu JF kutetea utawala ambao licha ya kiongozi wake Mkuu kuapa kuwa ataihifadhi, kuilinda na kuitetea Katiba, hana ujasiri wa kuheshimu kiapo chake.

Kiongozi ambaye hana ujasiri wa kuheshimu kiapo chake wala kuona umuhimu wa kufanya hivyo si mwaminifu na hatufai, period!

Ingawa sote tunajua kuwa mtaji wa CCM ni ujinga, lakini inapofikia kiwango hiki ni hatari kwa usalama wa taifa. Kama ni ugaidi, huo ni mfano tosha kwa jinsi haya matakataka kama zandrano yanavyotumia ujinga wao kulipeleka taifa kusiko.
 
Flash back...

3:42 am

3:44 am


3:46 am

3:47 am

3:49 am

5:12 am

6:08 am

6:12 am


Huyu mchangiaji ndiye zandrano, wajinga ambao CCM imewatuma na inawatumia humu JF kutetea utawala ambao licha ya kiongozi wake Mkuu kuapa kuwa ataihifadhi, kuilinda na kuitetea Katiba, hana ujasiri wa kuheshimu kiapo chake.

Kiongozi ambaye hana ujasiri wa kuheshimu kiapo chake wala kuona umuhimu wa kufanya hivyo si mwaminifu na hatufai, period!

Ingawa sote tunajua kuwa mtaji wa CCM ni ujinga, lakini inapofikia kiwango hiki ni hatari kwa usalama wa taifa. Kama ni ugaidi, huo ni mfano tosha kwa jinsi haya matakataka kama zandrano yanavyotumia ujinga wao kulipeleka taifa kusiko.
😅😅😅wanalipwa wapuuzi hawa hata cha kuandika wanaandikiwa
 
Back
Top Bottom