Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Hujafa hujaumbika na wewe ipo Siku yatakufikaMbowe ni mkorofi alitaka nchi isitawalike kwa kuleta vurugu na maandamano. Wacha atulie huko
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujafa hujaumbika na wewe ipo Siku yatakufikaMbowe ni mkorofi alitaka nchi isitawalike kwa kuleta vurugu na maandamano. Wacha atulie huko
Nimlishuka kidogo kuona jamaa mmoja aliyekuwa anazunguka na lissu kwenye kampeni akiomba dua za ajabu kuwa ndio msemaji wa familia ya gaidi hamza kwenye mazishi yakeHii kesi ni kesi ambayo wanataka kujadili mambo madogo tu ambayo hayana umuhimu wowote kwa taifa.
Ikumbukwe alikuwepo Magufuli ambaye alikuwa mpole sana kwa raia wanyonge lakini mkali sana kwa mafisadi, mkali sana kwa wapinzani. Tumeona mambo ya ovyo yaliyokuwa yanawafika wapinzani, heart-rending videos za kuzuia maandamano ya wapinzani.
Wapinzani wakazuiwa kufanya mikutano, halafu Corona ikachukua mahala makatazo ya rais yalipoishia. Kwa hiyo wapinzani wakawa compromised katika Uchaguzi iliopita.
Halafu wazungu mabalozi wanahudhuria mahakamani out of sympathy, kwa ubinadamu tu, siyo kwa vile wanataka kumweka Mbowe Ikulu. Lakini serikali ikiwaona ina panic. Kwanza hao watu wanakuwa debased kwenda pale. Ukimwachia huru Mbowe utakuwa umeonyesha heshima kwa hao Big Brother. Ni mawazo yako tu wewe kwamba you are a sovereign country. Those people would beg to differ. Na bado hao watu hawawezi kwenda mahakamani kwa sababu yoyote isipokuwa wana shaka kuna atawatajataja pale
Huwezi kumfanya kitu Mbowe kwa sababu hao wameshaiteka nyara mahakama,so to speak. Mbowe asipoachiwa huru somebody will get hurt.
Haya mambo kutaka kuadhibu makosa yaliyofanyika katika awamu iliyopita,hayana maana. Nani alimzuia Magufuli kumdhibiti Mbowe muda wote alipokuwa madarakani? Au kumthibiti Harbinder Singh au Rugemarila ? Lakini hao watu wako jela mpaka leo.
Waachiwe huru. Rais ana uwezo kusamehe watu. Katiba ndio inavyosema. Awasamehe hao watu. Naomba kutoa hoja.
Kumbe hamkumkata kwa makosa ya kisheria.Mbowe ni mkorofi alitaka nchi isitawalike kwa kuleta vurugu na maandamano. Wacha atulie huko
Vurugu gani/zipi?Mbowe ni mkorofi alitaka nchi isitawalike kwa kuleta vurugu na maandamano. Wacha atulie huko
Audio/Video?Mbowe almtukana sana Hayati magufuli nikasema he will pay karma inamfuata
Ndugu hivi wajaribu kumdaganya nani? Hivi wadhani nani halijui swala hilo na njama zilizomo?Acheni mahakama ifanye kazi yake,usilolijua ni sawa na usiku wa giza
jf imebeba hadi matakatakaMuulize mama yako ,mkeo na Dada yako watakuelezea najua nini kwenye maungo yao
Pole ndugu, ndio umezidi kuthibitisha kuwa hauna unachojua zaidi ya chuki za kishabiki.Muulize mama yako ,mkeo na Dada yako watakuelezea najua nini kwenye maungo yao
Mliwahi kumfunga nani kwa sheria?Hii kesi ni kesi ambayo wanataka kujadili mambo madogo tu ambayo hayana umuhimu wowote kwa taifa.
Ikumbukwe alikuwepo Magufuli ambaye alikuwa mpole sana kwa raia wanyonge lakini mkali sana kwa mafisadi, mkali sana kwa wapinzani. Tumeona mambo ya ovyo yaliyokuwa yanawafika wapinzani, heart-rending videos za kuzuia maandamano ya wapinzani.
Wapinzani wakazuiwa kufanya mikutano, halafu Corona ikachukua mahala makatazo ya rais yalipoishia. Kwa hiyo wapinzani wakawa compromised katika Uchaguzi iliopita.
Halafu wazungu mabalozi wanahudhuria mahakamani out of sympathy, kwa ubinadamu tu, siyo kwa vile wanataka kumweka Mbowe Ikulu. Lakini serikali ikiwaona ina panic. Kwanza hao watu wanakuwa debased kwenda pale. Ukimwachia huru Mbowe utakuwa umeonyesha heshima kwa hao Big Brother. Ni mawazo yako tu wewe kwamba you are a sovereign country. Those people would beg to differ. Na bado hao watu hawawezi kwenda mahakamani kwa sababu yoyote isipokuwa wana shaka kuna atawatajataja pale
Huwezi kumfanya kitu Mbowe kwa sababu hao wameshaiteka nyara mahakama,so to speak. Mbowe asipoachiwa huru somebody will get hurt.
Haya mambo kutaka kuadhibu makosa yaliyofanyika katika awamu iliyopita,hayana maana. Nani alimzuia Magufuli kumdhibiti Mbowe muda wote alipokuwa madarakani? Au kumthibiti Harbinder Singh au Rugemarila ? Lakini hao watu wako jela mpaka leo.
Waachiwe huru. Rais ana uwezo kusamehe watu. Katiba ndio inavyosema. Awasamehe hao watu. Naomba kutoa hoja.
Thubutu.. kwa vile akili zake amemkabidhi mwenyekiti wake atembee nazo, basi usitegemee jamaa awe na akili ya akiba kujibu hoja yang. Kabaki anaruka ruka kama kuku aliekatwa kichwa na mganga.Akiweza kupangua hii hoja/majibu yenye akili nijulishe.
Hamza gaidi Na mwanaccmMbowe ni mkorofi alitaka nchi isitawalike kwa kuleta vurugu na maandamano. Wacha atulie huko
Hatari gani? Ni marehemu tu!!Mbowe almtukana sana Hayati magufuli nikasema he will pay karma inamfuata
KESI YA KUBAMBIKIZWA SIO RAHISI KUSHINDAHii kesi ni kesi ambayo wanataka kujadili mambo madogo tu ambayo hayana umuhimu wowote kwa taifa.
Ikumbukwe alikuwepo Magufuli ambaye alikuwa mpole sana kwa raia wanyonge lakini mkali sana kwa mafisadi, mkali sana kwa wapinzani. Tumeona mambo ya ovyo yaliyokuwa yanawafika wapinzani, heart-rending videos za kuzuia maandamano ya wapinzani.
Wapinzani wakazuiwa kufanya mikutano, halafu Corona ikachukua mahala makatazo ya rais yalipoishia. Kwa hiyo wapinzani wakawa compromised katika Uchaguzi iliopita.
Halafu wazungu mabalozi wanahudhuria mahakamani out of sympathy, kwa ubinadamu tu, siyo kwa vile wanataka kumweka Mbowe Ikulu. Lakini serikali ikiwaona ina panic. Kwanza hao watu wanakuwa debased kwenda pale. Ukimwachia huru Mbowe utakuwa umeonyesha heshima kwa hao Big Brother. Ni mawazo yako tu wewe kwamba you are a sovereign country. Those people would beg to differ. Na bado hao watu hawawezi kwenda mahakamani kwa sababu yoyote isipokuwa wana shaka kuna atawatajataja pale
Huwezi kumfanya kitu Mbowe kwa sababu hao wameshaiteka nyara mahakama,so to speak. Mbowe asipoachiwa huru somebody will get hurt.
Haya mambo kutaka kuadhibu makosa yaliyofanyika katika awamu iliyopita,hayana maana. Nani alimzuia Magufuli kumdhibiti Mbowe muda wote alipokuwa madarakani? Au kumthibiti Harbinder Singh au Rugemarila ? Lakini hao watu wako jela mpaka leo.
Waachiwe huru. Rais ana uwezo kusamehe watu. Katiba ndio inavyosema. Awasamehe hao watu. Naomba kutoa hoja.
Amsamehe kwani kafanya kosa gani?