Mbowe hawezi kushinda hii kesi. Rais Samia amsamehe bure

Hivi nyie mnao mchochea huyu Rais mwanamama Mzanzibari anayewaongoza Watanganyika, mnamtakia nini lakini??

Je, mnataka naye AFE kabla ya wakati wake kama ilivyokuwa kwa John Pombe Mahufuli siyo...?

Huyu mtasingizia nini eti? Kwamba alifungiwa moyo bandia ya plastic siyo...?

Je, hamjui kuwa dhambi inaua? Kwanini mnamsukuma kutenda dhambia...?

Je, hamjui kuwa HAKI humwunua mtu na taifa?

Kama mnataka afe kabla ya wakati, endeeleni kumpa ushauri wenu huu mbaya na kufisha halafu mta pambana na gadhabu za ALIYE JUU amhukumuye kila mtu kwa haki...!!
 

Unataka ASAMEHEWE kwa kosa gani?

Issue hapa ni KESI KUFUTWA NA WALIONDAA mashtaka haya ya uongo wao ndiyo wafungwe gerezani maisha...!!

Inawezekana wewe ni KINGAI au MAHITA na mnatafuta mahali pa kutokea baada ya kuwa mmefanya ujinga wenu, au siyo..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…