Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Kama aliweza kumbebesha mkewe mama Janet Lori zima la mchanga usiku kwa karai kisa Dreva kamwaga mahali tofauti na alipoelekeza yeye asubuhi KWELI Mwendazake alikuwa Shujaa.Mbowe: Hayati rais Magufuli alikuwa na kipaji cha uthubutu wa hali juu, hakuwa mvivu hata kidogo.
Msema kweli mpenzi wa Mungu
Shujaa ataendelea kuishi kwa yale mema mengi, makubwa na magumu aliyofanya.
Na sisi Watanzania ushujaa wa namna hiyo hatuutaki, apeleke zake huko jehanam