Mbowe: Hayati Rais Magufuli alikuwa na kipaji cha uthubutu wa hali ya juu, hakuwa mvivu hata kidogo

Mbowe: Hayati Rais Magufuli alikuwa na kipaji cha uthubutu wa hali ya juu, hakuwa mvivu hata kidogo

Mbowe hataki lawama maana hata wanachama wake ni kati ya hao wamachinga na wawekezaji wazawa ameamua kuongea ya kweli kabla ya msimu wa kurudi kwa wananchi
 
Huyo ni nyumbu yeye anaimbishwa kutoka twita,


Hivi haya mambo ya kuongea mambo ya kusikika yasiyo na uthibitisho si ndio unaitwa umbea?
Na hao waongeaji ndio wanaitwaje Elitwege?
 
JPM hakuwahi kuwa chaguo la Mungu...... Haiwezekani mtu wa Mungu atumie ushirikina. Ambacho nakubali kwa JPM alikua na uthubutu and NIA njema lwa taifa tatizo lilikuja kwenye utekelezaji na ukatili wake basi.

Angefaa uwaziri wa ujenzi tu angeacha legacy kubwa zaidi.
Unampinga mbowe?
 
Uchapakazi ule wa MAGUFULI hakupaswa kua RAISI.

Alitakiwa awe PM, ili achape Sana KAZI Ila awe na mtu juu yake wa kumcontrol.

Kosa tulilofanya Ni kumkabidhi RUNGU kabisa.

Aisee,
sitosahau maishani Alituburuza kisawasawa.
Bila shaka ulikuwa mpiga dili mzuri kabla ya JPM, baada mzee kuingia alipangua dili zote kanjanja ukabaki kupiga miayo tu [emoji2][emoji2]
 
JPM hakuwahi kuwa chaguo la Mungu...... Haiwezekani mtu wa Mungu atumie ushirikina. Ambacho nakubali kwa JPM alikua na uthubutu and NIA njema lwa taifa tatizo lilikuja kwenye utekelezaji na ukatili wake basi.

Angefaa uwaziri wa ujenzi tu angeacha legacy kubwa zaidi.

Hadi Mungu mwenyewe karidhika kwamba amemaliza kazi aliyomtuma akamchukua halafu wewe unasema hakuwahi kuwa chaguo la Mungu!!?

Wewe ni nani?? Au unataka kutuambia Mungu ame deligate kazi ya kuumba na kuua kwako🤔🤔
 
Huna akili kabisa unataka mchapakazi awe chini ya mtu ambaye siyo mchapakazi?

Ili mchapakazi akiamua tujenge SGR alafu kiongozi asiyemchapakazi anamwambia hilo haliwezekani achana nalo?
Punguza jazba Bwashee[emoji2]
IMG_20210517_172754.jpg
 
Kama vile nakuona ulivyokua mlinzi wa getini wakati huo mchanga ukibebwa usiku kwa karai🙄🙄🙄
Hebu tuambie wakati anaubeba wewe ulimsaidia karai ngapi?
Watanzania acheni basi umbea chapeni kazi
Kwa nini nimsaidie Mimi kazi kapewa na mumewe DIKTETA?
 
Unampinga mbowe?
Tofautisha mtu anayekosoa Utawala mbovu wa Serikali na mtu wa CHADEMA. Mimi siyo CDM, Mimi ni CCM ninayejutambua na ninayetaka haki itendeke.

Nilimchagua Magufuli kwa kura yangu na wanangu wote pale mwakab 2015. Lakini Magufuli alipoanza UDIKTETA na kunyamazisha vyombo vya habari na Uhuru wa kujieleza na kutofuata Utawala wa Sheria, nikimpinga kuanzia 2016 Januari hadi anazikwa Chato. Na nitaendelea kupinga UJINGA wake ambao watu wanauendeleza.

Ila sasa Mimi niko na Rais SSH kwa kuwa anatupeleka namna inavyostahili
 
UKIWA NA AKILI ZA MATAKONI LAZIMA UWE NA MAWAZO HAYO UNAYOYASEMA
Hakuna tusi jipya utalotukana leo liniume kwa kuwa matusi yapo kuanzia binadamu alipoumbwa.

Ukiona mtu anatukana ujuwe umemzidi hoja
 
Ni kweli hata kukopa kupitiliza nii moja ya uthubutu bla kusahau kuhujumu uchaguzi, kufunga wapinzani jela na mambo mengine ya aina hiyo.
 
Tofautisha mtu anayekosoa Utawala mbovu wa Serikali na mtu wa CHADEMA. Mimi siyo CDM, Mimi ni CCM ninayejutambua na ninayetaka haki itendeke.

Nilimchagua Magufuli kwa kura yangu na wanangu wote pale mwakab 2015. Lakini Magufuli alipoanza UDIKTETA na kunyamazisha vyombo vya habari na Uhuru wa kujieleza na kutofuata Utawala wa Sheria, nikimpinga kuanzia 2016 Januari hadi anazikwa Chato. Na nitaendelea kupinga UJINGA wake ambao watu wanauendeleza.

Ila sasa Mimi niko na Rais SSH kwa kuwa anatupeleka namna inavyostahili
Wasio na akili kwa kiwango chako huwa ni chadema
 
Kuna video inazunguka mitandaoni ikimuonyesha mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akikiri kuwa hayati rais Magufuli alikuwa na kipaji cha uthubutu wa hali ya juu na alifanya maamuzi magumu kwelikweli ambayo kwa kiongozi wa kawaida asingeweza.

Mbowe amesema Magufuli hakuwa mvivu hata kidogo na alichapa kazi kwelikweli usiku na mchana na kuwataka Chadema kama wanataka kufanikiwa lazima waige tabia hiyo.

Kuanzia 11: 07



My take:
Mbowe ameamua kuwavua nguo makamanda? Ama kweli unafiki haulipi hata mwaka haujaisha nafsi zimeanza kuwasuta na kuanza kusema ukweli kuwa upingaji wao kwa Magufuli kumbe ulikuwa unafiki tu.

Hatimaye amechoka kupambana na maiti na kusimanga wasukuma. Unafiki hauna bei
 
Back
Top Bottom