Umemuona mbowe tu,hizo hotel zinazogeuzwa kuwa hostel ni za mbowe?maisha yamekuwa magumu sababu ni mbowe?pesa haionekani mtaani sababu ni mbowe?wanafunzi wananyimwa Mikopo sababu ni mbowe? Wabunge wa CCM wanagawana mil10 sababu ni mbowe? Watumishi hawana nyongeza ya mshahara sababu ni mbowe? Mambo binafsi ya mbowe yamekuwa ndio agenda yenu,wenzako wamepewa mil10 we buku7 inahangaika kuchafua mwenzio.hali ngumu kwa Kila mtanzania hata ww mtoa thread Hali Mbaya ndio maana inahangaika buku7.unakuwa kama umekunywa maji ya co___m iliyotumika*#£;:'*℅[emoji769][emoji768][emoji767]$¥€=¶×π¢