Tetesi: Mbowe Hotels na Tanzania Daima kupunguza wafanyakazi na mishahara kushushwa

Tetesi: Mbowe Hotels na Tanzania Daima kupunguza wafanyakazi na mishahara kushushwa

Uonyeshe hapa huo uhalisia wenyewe!
Lusinde alisema sikuizi wanachangishana pesa kuendesha kesi zinazo wakabili... tofauti na zamani kipindi cha wapiga dili... huo ndio uhalisia wa pesa kuadimika... ukiipata weka mbali na wenye madeni watakupiga ndole...
 
Lusinde alisema sikuizi wanachangishana pesa kuendesha kesi zinazo wakabili... tofauti na zamani kipindi cha wapiga dili... huo ndio uhalisia wa pesa kuadimika... ukiipata weka mbali na wenye madeni watakupiga ndole...
Lusinde ni nani? Umeweka akili yako kwa watu wa aina hii? serious?
 
Baada ya kuona habari ya kupunguza mishahara Kwa wafanyakazi wa serikali kwa 30% ....

Ndio unakuja na propaganda hizi hapo ......

Kwahiyo na serikali ni kweli kuwa inadaiwa pesa na imefirisika haiwezi lipa mishahara Kama zamani?......

Tuanze kwanza na serikali inayokosanya 1.3 trion kushindwa kulipa wafanyakazi na kupunguza mishahara kwa 30%.

Huku kwenye sector binafsi ni sawa inawezekana maana hata bakhiresa alipunguza wafanyakazi kipindi cha nyuma........
Uongo wako hapo kwenye red ukitimia najitoa Jf
 
Wanatekeleza agizo la mkuu ambae ameamuru kiwango cha mishara kilicho kikubwa kushushwa, sasa unashangaa nini mbona hukushangaa wakati JPM anapunguza mishahara ya wakurugenzi wa mashika?! Acha unafiki wewe jiongeze.
 
Hata kauli za Mbowe zinaonesha ana Msongo sana wa Mawzo:

Serikali imefilisika haina fedha - KUB MBOWE.


Serikali imehonga wabunge wa CCM milioni 10ili wapitishe Muswada wa habari - Asubuhi ( KUB MBOWE )

Wenye akili tunajiuliza huyu Mbowe vipi kama serikali imefilisika hele za kuhonga wametoa wapi ?
Hela ya kuonga watoa kwenye michango ya tetemeko.................
 
Heheheee! wasomi wa tz tunasafari ndefu sana kumsaidia rais kutufikisha nchi ya viwanda...Yaani always about people, always...daah
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Taarifa nilizopata hivi punde ni kwamba, Mmiliki wa Mbowe Hotels na gazeti la Tanzania Daima, Freeman Mbowe anaisoma Namba. Kwamba, hali ya kifedha ya Mbowe kwa sasa ni dhoofu kutokana na sababu mbalimbali.

Mosi, biashara zake nyingi alikuwa anafanya kijanja ujanja. Alikuwa halipi kodi wala pango ya majengo. Kwa sasa anajiona yupo kwenye wakati mgumu hasa kipindi hiki ambacho Rais Magufuli anaweka msisitizo wa kufuata taratibu katika kufanya biashara na kulipa kodi. Inadaiwa kuwq Mbowe anadaiwq mabilioni ya kodi na TRA na mamlaka nyingine hali inayomuweka kwenye hatari ya kufilisiwa.

Pili, madeni kwenye taasisi za fedha. Taarifa zilizopo ni kwamba, Mbowe ni mmoja wa wanasiasa waliotajwq na Rais Magufuli kukopa kiasi kikubwa cha fedha kwenye mabenki na mashirika ya kijamii kama NSSF. Kwamba, Mbowe anadaiwa mabilioni kwenye benki za CRDB, Twiga Bancorp a TIB. Aidha, Mbowe pia anadaiwa kiasi kikubwa cha fedha NSSF na PSPF.

Tatu, kushindwa kwa kesi dhidi ya NHC. Ni ukweli usiopingika kuwa kushindwa kwa kesi hiyo kumemuongezea ugumu wa kufanya Biashara Freeman Mbowe hasa kutokana na kutakiwa kulipa fidia ya gharama za kuendesha kesi hiyo.

kutokana na hali hiyo taarifa zilizopo ni kwamba Mbowe anapanga kupunguza wafanyakazi kwenye makampuni yake yote. Pia taarifa zilizopo ni kwamba mishahara ya watumishi watakaobaki itapunguzwa ili kupunguza gharama za uendeshaji. Hata hivyo, inaelezwa kuwa hatua hizo ni za dharura

Hatari tupu.
Umeshasema ni Tetesi, kwahiyo mimi nasema hivi. Si kweli. Period!!
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Taarifa nilizopata hivi punde ni kwamba, Mmiliki wa Mbowe Hotels na gazeti la Tanzania Daima, Freeman Mbowe anaisoma Namba. Kwamba, hali ya kifedha ya Mbowe kwa sasa ni dhoofu kutokana na sababu mbalimbali.

Mosi, biashara zake nyingi alikuwa anafanya kijanja ujanja. Alikuwa halipi kodi wala pango ya majengo. Kwa sasa anajiona yupo kwenye wakati mgumu hasa kipindi hiki ambacho Rais Magufuli anaweka msisitizo wa kufuata taratibu katika kufanya biashara na kulipa kodi. Inadaiwa kuwq Mbowe anadaiwq mabilioni ya kodi na TRA na mamlaka nyingine hali inayomuweka kwenye hatari ya kufilisiwa.

Pili, madeni kwenye taasisi za fedha. Taarifa zilizopo ni kwamba, Mbowe ni mmoja wa wanasiasa waliotajwq na Rais Magufuli kukopa kiasi kikubwa cha fedha kwenye mabenki na mashirika ya kijamii kama NSSF. Kwamba, Mbowe anadaiwa mabilioni kwenye benki za CRDB, Twiga Bancorp a TIB. Aidha, Mbowe pia anadaiwa kiasi kikubwa cha fedha NSSF na PSPF.

Tatu, kushindwa kwa kesi dhidi ya NHC. Ni ukweli usiopingika kuwa kushindwa kwa kesi hiyo kumemuongezea ugumu wa kufanya Biashara Freeman Mbowe hasa kutokana na kutakiwa kulipa fidia ya gharama za kuendesha kesi hiyo.

kutokana na hali hiyo taarifa zilizopo ni kwamba Mbowe anapanga kupunguza wafanyakazi kwenye makampuni yake yote. Pia taarifa zilizopo ni kwamba mishahara ya watumishi watakaobaki itapunguzwa ili kupunguza gharama za uendeshaji. Hata hivyo, inaelezwa kuwa hatua hizo ni za dharura

Hatari tupu.
Source please!!!!!!!!
 
Hivi mtu anaajiri watu wote billa kujali itikadi ana kodi za serikali na Mtanzania mzawa mwenzenu, mnafurahia afirisike, ili iweje,?! Mtanzania mwenzenu amethubutu kufanya biashara zaidi ya miaka 20, na kutoa ajira mnafurahia arudi chini?
kuwa na itikadi tofauti sio uadui. Nchi hii inakwenda wapi kwa styre hii.?
 
Tunamsubiri kijiweni tunywe nae kahawa na kashata na sigara tumgongee. Mzimu wa Dr. Slaa unamuandama sasa bado na ile gari ya KUB anyang'anywe.
Thubutuuu ndio unavojidanganya utamngoja mtaai hutamuona huyo anaisoma namba tofauti na sisi wa kawaida mtaani.. Huyo hapktezi kitu bado ana mapesa mjomba
 
Back
Top Bottom