Mbowe huu ndio wakati kuachia ngazi CHADEMA, wewe mwenyewe unaona unavyopuuzwa kwa siasa za kuganga njaa

Mbowe huu ndio wakati kuachia ngazi CHADEMA, wewe mwenyewe unaona unavyopuuzwa kwa siasa za kuganga njaa

Akina mama wanaweza na ni waaminifu chadema akabidhiwe halima mdee anafaa Sana.
 
Watu wameshakujua kuwa wewe ni mtu wa kuwinda pesa tu .

Haijalishi kuwa Mzee mtei kuwa ni mzee wako na kuwa ni muasisi basi ndio ung'ag'ane kana kwamba Chadema ni private property.

Chadema ni mali ya umma. Umekuwa mwenyekiti miaka 20+ lakini huna maendeleo na chama chetu.

Chadema ni mali ya umma . Hata kama ulipambana kuipaisha. Huko ni kujitolea. Kwa sasa hufai maana unapenda sana kulamba asali.
Hapa lazima utukanwe sana kwa huu ukweli wa wazi kabisa,vijana wameajiliwa mitandaoni kupambana na yeyote yule atakaejalibu kuzungumzia ukweli dhidi ya udhaifu wa huyo mwenyekiti wa maisha
 
Mbowe ni Mfanya biashara.
Hakuna biashara yenye faida kubwa kama Ruzuku.
Juzi kapiga ruzuku ya Tsh Bilioni Tatu.

Kamwita Lema aliyekuja na kuwatukana Bodaboda kuwa ni kazi ya laana.
Kamwita Lissu anaye wafagilia Mashoga.

Wanaponda Ruzuku, kwanye Elikopta waliyo ifufua.

Ruzuku ikiisha utaona Lissu anaenda Ubergiji.
Lema anaenda Canada.

Mbowe ni Mfanya Biashara.
Sisi wahenga tunajua.
Kwa mara ya kwanza ndo jf imepata mhenga mpumbavu sana
 
Mtakapokuja kushituka mshatajirisha watu na nyie mshafilisika

Ivi kweli kabisaaa ww una imani na chadomo kua kitachukua dola?

Ndoto za Ali nacha hizi

Ali nacha alikua anauza vikombe akafika sehemu akapumzika akawaza mengi ya utajiri kwa kupitia kuuza vikombe vyake hatimae yupo usingizini anakuja kushtuka akavipiga vikombe teke vikavunjika vyote na mawazo ya utajiri wake yakaishia hapo
Akina Alinacha ni wale ambao hawaamini mpaka Leo kua CHADEMA IPO na magufuli alikufa.hamtaki katiba mpya,Wala tume huru ya uchaguzi,tunachukuaje nchi??Mungu fundi
 
Akina Alinacha ni wale ambao hawaamini mpaka Leo kua CHADEMA IPO na magufuli alikufa.hamtaki katiba mpya,Wala tume huru ya uchaguzi,tunachukuaje nchi??Mungu fundi
Na magufuli atakuteseni mpk mtakufa na nyinyi
 
Mitano tena kwa Mbowe ,haiwezekani Chadema iweke mwenyekiti mwingine mamluki ,Mbowe atosha kuivusha Chadema ,Subiri kwanza amalize mapambano ndiyo akabidhi kwa mtu mwingine ,kwa siasa hizi za sasa za kuunga juhudi Mbowe anafaa kuendelea kuwa mwenyekiti.
Unatumia mabutocks kuwaza
 
Watu wameshakujua kuwa wewe ni mtu wa kuwinda pesa tu .

Haijalishi kuwa Mzee mtei kuwa ni mzee wako na kuwa ni muasisi basi ndio ung'ag'ane kana kwamba Chadema ni private property.

Chadema ni mali ya umma. Umekuwa mwenyekiti miaka 20+ lakini huna maendeleo na chama chetu.

Chadema ni mali ya umma . Hata kama ulipambana kuipaisha. Huko ni kujitolea. Kwa sasa hufai maana unapenda sana kulamba asali.
Huyu jamaa kwenye hela hana aibu.

Kachuja kwelikweli lakini yumo tu. Aibu sana
 
Bora umemwambia ukweli, ile ni Mali ya Mbowe na Baba Mkwe wake. Kama haumtaki Mbowe, ni wewe ndie unatakiwa kuondoka, yeye yuko kwenye chama chake - alichokabidhiwa na Baba Mkwe wake.
Vyama vya siasa vikisajiliwa vinakuwa mali ya umma
 
Hakiri yangu inaniambia kwamba hata mbowe mwenyewe ana tamani kuachia ngazi isipokuwa anahifia atakaye mfuata atafichua mengi maovu aliyo ya tenda
Kwa dhamana ya cheo chake
 
Bora umemwambia ukweli, ile ni Mali ya Mbowe na Baba Mkwe wake. Kama haumtaki Mbowe, ni wewe ndie unatakiwa kuondoka, yeye yuko kwenye chama chake - alichokabidhiwa na Baba Mkwe wake.
Anajitoa ufahamu ukweli anaujua!
 
Watu wameshakujua kuwa wewe ni mtu wa kuwinda pesa tu .

Haijalishi kuwa Mzee mtei kuwa ni mzee wako na kuwa ni muasisi basi ndio ung'ag'ane kana kwamba Chadema ni private property.

Chadema ni mali ya umma. Umekuwa mwenyekiti miaka 20+ lakini huna maendeleo na chama chetu.

Chadema ni mali ya umma . Hata kama ulipambana kuipaisha. Huko ni kujitolea. Kwa sasa hufai maana unapenda sana kulamba asali.
Huu ni udikteta mwenyekiti amekaa miaka 20+ alafu eti Chama cha Demokrasia huwa nacheka sana
Chadema kuna wapumbavu wasiojijua 🤣🤣🤣
 
Watu wameshakujua kuwa wewe ni mtu wa kuwinda pesa tu .

Haijalishi kuwa Mzee mtei kuwa ni mzee wako na kuwa ni muasisi basi ndio ung'ag'ane kana kwamba Chadema ni private property.

Chadema ni mali ya umma. Umekuwa mwenyekiti miaka 20+ lakini huna maendeleo na chama chetu.

Chadema ni mali ya umma . Hata kama ulipambana kuipaisha. Huko ni kujitolea. Kwa sasa hufai maana unapenda sana kulamba asali.
Kumpafu zako!
 
Mitano tena kwa Mbowe ,haiwezekani Chadema iweke mwenyekiti mwingine mamluki ,Mbowe atosha kuivusha Chadema ,Subiri kwanza amalize mapambano ndiyo akabidhi kwa mtu mwingine ,kwa siasa hizi za sasa za kuunga juhudi Mbowe anafaa kuendelea kuwa mwenyekiti.
Hata akitoka mbowe lazima apitikane mrithi ambae hatoki mbali na ukoo wa kina mbowe coz chama ni cha familia
Chama cha Demokrasia mwenyekiti ana miaka 20+ hayo mapambano kayaanza leo toka enzi za mkapa bado anapambana tu.🤣🤣🤣
Ruzuku anapata kila mwaka lakini hakuna hata ofisi ya chama alafu tuje tuipe chadema nchi hata ofisi ya chama kujenga hamuwezi

Ukitaka kumuona Mbowe bandidu yule gaidi zungumzia uenyekiti wake kwamba ufanyike uchaguzi anakumaliza au akishindwa basi anakutoa kundini
Mfano zitto kabwe
Tundu lissu
Chacha Wangwe.
Hao walijaribu kutaka ufanyike uchaguzi jibu unalo alichowafanya.
 
Akina Alinacha ni wale ambao hawaamini mpaka Leo kua CHADEMA IPO na magufuli alikufa.hamtaki katiba mpya,Wala tume huru ya uchaguzi,tunachukuaje nchi??Mungu fundi
Hiyo katiba mpya anzeni nyinyi kwanza kuwa yaani Chama cha Demokrasia hakina Demokrasia
Charity begins at home
 
C
Watu wameshakujua kuwa wewe ni mtu wa kuwinda pesa tu .

Haijalishi kuwa Mzee mtei kuwa ni mzee wako na kuwa ni muasisi basi ndio ung'ag'ane kana kwamba Chadema ni private property.

Chadema ni mali ya umma. Umekuwa mwenyekiti miaka 20+ lakini huna maendeleo na chama chetu.

Chadema ni mali ya umma . Hata kama ulipambana kuipaisha. Huko ni kujitolea. Kwa sasa hufai maana unapenda sana kulamba asali.
Chadema tunamhitaji Mbowe sasa kuliko wakati mwingine wowote!
 
Back
Top Bottom