Uchaguzi 2020 Mbowe itampa wakati mgumu sana kumnadi Lissu

Wakati mwingine muwe mnajalibu kuficha ujinga wenu, hivi wewe unàmuelewa mbowe kuliko mke wake?! Alafu nikigezo kipi kinacho kufanya umfananisha mh.lissu na kina lowasa na silaha ? Kwa kukusaidiatu, lowasa kashifa ya ufisadi ilichangia kumdondosha, lakini pia kuhusu silaha yule alikuwa na kashifa ya unzinzi hilo pia lilikuwa ni tatizo kwake, ila kuhusu lissu huu ni mziki mwingine usijalibu kushindana na mtu aliye kufa kisha akafufuka yaani lissu tayari kayashinda mauti hivyo yeyote atakaye simama mbele yake kama kikwazo hakika ataikumbuka siku yake ya kuzaliwa
 
Mkiambiwa ukweli mnaleta excuse, we clip ya waitara, Lijuakali hukuziona? Kazi kwako
Mlio wanunua...wangeongea nini sasa kama si kuongea kile mlichokubaliana kwenye mkataba wa manunuzi
 
Ndo udhaifu wa huyu raisi wao, haijui siasa, eti bwawa kubwa matrions ya hela unalifananisha na mtera, sgr na reli ya mjemani? DC kitambi hakukosea mkuu
 
Mlio wanunua...wangeongea nini sasa kama si kuongea kile mlichokubaliana kwenye mkataba wa manunuzi
Ww unaujua upande wa pili wa Mbowe, au unaongea tu, fuatilia hizo shutuma, utajua naongea nn
 
Nyie kutuambia uongo wa kujenga LNG plant LINDI ni ukweli au uongo????
 
Ndo udhaifu wa huyu raisi wao, haijui siasa, eti bwawa kubwa matrions ya hela unalifananisha na mtera, sgr na reli ya mjemani? DC kitambi hakukosea mkuu
Kwa uelewa wako wewe unaangalia gharama za ujenzi wa mwaka huu na unalinganisha na gharama za ujenzi za miaka ile??? Kweli punguani sana wewe
 
Lisu ameshachacha, hata shughuli ijaanza kashachemka mapema. Na bado kazia anayo. Tusubiri mziki uanze ataondoka nchini kwa aibu baada ya uchaguzi, his political career will be over soon.
Lissu si mwanasiasa ila analazimisha siasa matokeo yake kila anapohutubia wananchi badala ya kuongeza kura anapunguza kura na kitu cha kushangaza kwa vijana na wapenzi wa Chadema hawalioni hilo ingawaje baadhi ya viongozi wa juu wa Chadema walishaliona tatizo ila kutokana na shinikizo la wachama wao hawakuwa na jinsi.
 
Kumlinganisha Mh. Lowasa na TL, nikumdhalilisha yule Mzee wa watu. Yule alikuwa na mvuto wa kisiasa hatari. Ndugu yako huyu anaonge utadhani anataka kumpiga mtu, kajaa jaziba mpaka kapitiliza, atakuwa raisi gani wa namna ile?
Unamfananisha Lowassa aliyekuwa hata kusalimia anashindwa na shujaa fundi Lissu mzee wa spana kali hadi mnakimbiana???
 
Jama hawa wana akili za ajibu sana, wavivu sana kuchambua mambo, Lisu atapwaya sana ngoja mitambo ya kijani itakapoanza
Kama mngekuwa mnajua kuwa atapwaya Kwa nini mlimpiga risasi???
 
Kwa uelewa wako wewe unaangalia gharama za ujenzi wa mwaka huu na unalinganisha na gharama za ujenzi za miaka ile??? Kweli punguani sana wewe
We mjinga sana, hata hujui unaongea nini, we unajua mtera inatoa megawatts ngap? Na hilo litatoa ngapi, idiot. Ndo unyumbu huo, jakaya alisema akili za kuambiwa chanaganyana nazako
 
Ww unaujua upande wa pili wa Mbowe, au unaongea tu, fuatilia hizo shutuma, utajua naongea nn
Mm sina muda wa kuchunguza upande wa pili wa watu kwa sababu sio mbea
 
Lisu ameshachacha, hata shughuli ijaanza kashachemka mapema. Na bado kazia anayo. Tusubiri mziki uanze ataondoka nchini kwa aibu baada ya uchaguzi, his political career will be over soon.
Kama amechacha kwa nini mnawehuka humu kila saa kuanzisha thread zinazomuhusu???? Kawashika pabaya na bado nawaambia!!! Lazima mtembee uchi nyie lumumba hadi ifike october
 
Mm sina muda wa kuchunguza upande wa pili wa watu kwa sababu sio mbea
Ndo maana utabaki hivo hivo. Kwenye research huwa kunakipengele cha kufanya literature review, unakijua? Basi kifanyie kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…