Uchaguzi 2020 Mbowe itampa wakati mgumu sana kumnadi Lissu

Kama wamemzoea mngemtuma mvuta bange wenu Ole Sabaya na wavuta bange wenzake kwenda kuharibu ziara yake ya kutafuta wadhanini Arusha na Hai??? Nyie jamaa hadi shetani naisi anawashangaa
 
Kama amechacha kwa nini mnawehuka humu kila saa kuanzisha thread zinazomuhusu???? Kawashika pabaya na bado nawaambia!!! Lazima mtembee uchi nyie lumumba hadi ifike october
Tunaujulisha umma ili usije ukafanya makosa, hatuki na raisi ambaye anaremotiwa na mabeberu. Hujui ana chip yule?
 
Ni wachache sana waonao hili mkuu, wengi ni washabiki hawajui lolote, ila wachache tumeliona hili

Mbowe ni nani? Sisi tunamtaka Lisu na hatutaki mtu yoyote awe na furaha. Kwa taarifa yako Lisu hahitaji kunadiwa na yoyote maana anakubalika. Hiyo ramli chonganishi mpelekeeni jiwe, maana ndio mkimpelekea anawapa hela ya kununua waunga juhudi.
 
Kama wamemzoea mngemtuma mvuta bange wenu Ole Sabaya na wavuta bange wenzake kwenda kuharibu ziara yake ya kutafuta wadhanini Arusha na Hai??? Nyie jamaa hadi shetani naisi anawashangaa
Unauhakika na unachokiongea? Waliomfanyia makelele Magu kule mbeya walitumwa? Hivi we unajua Tl anakubalika na kila MTU?
 
Kama analazimisha siasa kwa nini mlimpiga risasi???
 
Tunaujulisha umma ili usije ukafanya makosa, hatuki na raisi ambaye anaremotiwa na mabeberu. Hujui ana chip yule?

Umeanzisha uzi ili uongee huu utoto?
 
Unauhakika na unachokiongea? Waliomfanyia makelele Magu kule mbeya walitumwa? Hivi we unajua Tl anakubalika na kila MTU?
Walimfanyia kelele Magu Mbeya lini???

Uko Tanzania kweli ???Au wewe ni mmoja wa wale wahuni mlioenda kufanya fujo kwa Lissu huku mkisema mnamlinda Dc Sabaya???
 
Ndugu yangu, ana human microchip yule kam hujui, tatizo vijana wa ufipa wavivu sana kuchunguza vitu, mnabakia ushabiki tu
Hujui kuwa magufuli ana pacemaker aliyowekewa na wajerumani??
 
Hivi wewe unamjua Magu, usijitoe ufahamu, Magu is one of the best president of our life time ever! Dunia nzima wanamjua wewe usilete utani kabisa. Amelipa heshima kubwa saba taifa letu

Taifa letu limepewa heshima na Nyerere tu
Alafu acha ushabiki basi, unakuwa shabiki Mpaka unapitiliza haha
 
Mbowe ni nani? Sisi tunamtaka Lisu na hatutaki mtu yoyote awe na furaha. Kwa taarifa yako Lisu hahitaji kunadiwa na yoyote maana anakubalika. Hiyo ramli chonganishi mpelekeeni jiwe, maana ndio mkimpelekea anawapa hela ya kununua waunga juhudi.
Muulize kilichompata mwanza ndo utajua nyie vijana mtabakia kubwabwanja tu. Hapo ndugu yangu tl anategemea kura za huruma ya wananchi Period. Ndo maana Nyerere alisema kazi ya kujenga nchi ni ngumu. Tutapa watetezi wa mabepari humuhumu, unasemaje raisi wako na makinikia?
 
Mtetezi wa mabeberu kivipi??? Embu fafanua ueleweke ????

Alafu ukiwa unafafanua tuambie kampuni inayojenga uwanja wa ndege Chato ni ya nani??? Na ujenzi wa ule uwanja unatumia gharama gani na zilipitia utaratibu upi kuidhinishwa???
 
Taifa letu limepewa heshima na Nyerere tu
Alafu acha ushabiki basi, unakuwa shabiki Mpaka unapitiliza haha
Hivi wewe uko tz? Yawezekana hata hujui tuko kwenye uchumi wa kati, ndo unaamini tz watu wankufa na kuzikwa usiku sababu ya korona, jitafakari
 
Kipindi hichi kuna kundi moja la siasa watakuja kuhadithia kitakachowatokea yan hawatoamin kabisa kile ambacho kitamkuta mgombea wao kwenye sanduku la kura ni suala LA muda tu
 
Unataka kusema nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…