Mbowe: Kamati ya Amani ilikaa kimya wakati watu wetu wanauawa na kuteswa

Mbowe: Kamati ya Amani ilikaa kimya wakati watu wetu wanauawa na kuteswa

Mh.Mbowe anaongea.....

Viongozi wa kiroho wanakataza watu wasilitumie neno MWENDAZAKE. Mimi ninapenda kuwaambia viongozi wangu ukifanyacho hapa duniani ndicho utakachovuna. Viongozi wetu hawa walikaa kimya watu wetu walipouawa, potezwa nk. Walikaa na kunywa mezani pa watesi weyu...
Yupo sawa, kamati inayojiita ya amani, kwanza kwanza waitishe press tena wawaulize serikali

Ben sanane yu wapi
Azory Gwanda yuko wapi
Waliompiga lissu ni wakina nani? KWA kuanzia tutawaamini


Wakitoka apo wakawaulize baraza la kiswahili Kama mwendazake ni tusi ,au la ,sio kukaa kupotosha umma katika kivuli za kamati ya amani, kisa waonekane kumtetea mwendazake, ili serikali ya awam ya sita ianze fikiria kwamba Kuna kamati ya amani , ili wapate mgao.

Ukweli wa mungu Alie hai na Kama aishivyo hakuna kamati na Wala sio kamati ya kitaifa ya amani ,


Ndio tunahitaji kamati ya amani ya kitaifa ila sio ya mlengo huu ,
 
Mh.Mbowe anaongea.....

Viongozi wa kiroho wanakataza watu wasilitumie neno MWENDAZAKE. Mimi ninapenda kuwaambia viongozi wangu ukifanyacho hapa duniani ndicho utakachovuna. Viongozi wetu hawa walikaa kimya watu wetu walipouawa, potezwa nk. Walikaa na kunywa mezani pa watesi weyu......

My Take
Anachomaanisha Mbowe ni kwamba ile kamati ni ya kinafiki.

Naunga mkono hoja. Hawa jamaa ni time saver tu!
 
Siwafichi mazee!Utawala wa jpm umenifanya niyachukia haya ma dini ya kizungu tuliyoletewa!kumbe Miaka yote tulikuwa tunadanganywa kuwa kuna Mungu ndani ya madhehebu haya kumbe ni uchumi tu!!!SASA NASIMAMA MWENYEWE NA YULE ALIEAMUA NIWE MTU NA NIKAWA !!DINI ZOTE TUPA KULE TAKATAKA KABISA!!!
 
Unajua maana ya upinzani,?
Naona sasa hivi mnademka tu mkisema dhalimu wenu kafa na mko vizuri mko huru sasa!

Ndio nikawauliza mnapinga kitu gani siku hizi?
 
Watamuongelea Mkapa kwani aliwachalaza?

Mbona hayo maombi hayajasaidia ccm kuondoka madarakani na Lisu kuwa rais?
Mpigie simu muulize kama Chadema ilishinda au la??atakukwambia ukweli yeye alijua fika kuwa asingeweza kumshinda Lissu kama si kupindua meza kwa kuitumia tume na wale wabeba mabegi wasiojulikana.
 
Mpigie simu muulize kama Chadema ilishinda au la??atakukwambia ukweli yeye alijua fika kuwa asingeweza kumshinda Lissu kama si kupindua meza kwa kuitumia tume na wale wabeba mabegi wasiojulikana.
Lisu huyu huyu anaelelewa kwa amstwrdam?

Kama alikuwa na nguvu hiyo mbona aliposema andamaneni mlijificha uvunguni?
 
Naona sasa hivi mnademka tu mkisema dhalimu wenu kafa na mko vizuri mko huru sasa!

Ndio nikawauliza mnapinga kitu gani siku hizi?

Upinzani ulianza kipindi cha dhalimu, au unadhani upinzani ulianza kwa ajili ya dhalimu? Ama ulipojiunga hapa jukwaani ndio unadhani upinzani ulianza? Narudia tena ww ni bendera fuata upepo, ndio maana huna jipya zaidi ya kurukia kila mada na kutaka kumchomekea dhalimu aonekane alikuwa wa maana.
 
Naona sasa hivi mnademka tu mkisema dhalimu wenu kafa na mko vizuri mko huru sasa!
Ndio nikawauliza mnapinga kitu gani siku hizi?
Usiwe mjinga wewe yatima, si swali la kupinga tu, ni swali la kudai Katiba mpya itakayofunga milango yote kwa mizuka wasio na uwezo wala sifa kuukuwaa hovyo uongozi wa juu wa taifa hili.

Tanzania inahitaji viongozi watakaokuwa kioo cha jamii nzima ya Watanzania na si kakikundi cha mayatima kanakoweka hatma ya nchi mikononi mwa vichaa kama mwendakuzimu.

Natumia neno kichaa si kwa nia mbaya wala matusi bali kwa kunukuu kauli alilolitoa mhusika mwenyewe akielezea sifa za wasaidizi aliowataka...eti wawe vichaa na watende kama yeye.
 
Usiwe mjinga wewe yatima, si swali la kupinga tu, ni swali la kudai Katiba mpya itakayofunga milango yote kwa mizuka wasio na uwezo wala sifa kuukuwaa hovyo uongozi wa juu wa taifa hili...
Sasa kwa mahasira kama haya kwa nini usipeleke kutafuta hela ili ukoo wako unaoliwa na umasikini upate nafuu?

Katiba mpya unafikiri inakujia mezani kama unavyowekewa ugali kwa shemeji alikoolewa dadako?

Katiba mpya unafikiri inakuja baada ya kusaini petition ya kumtoa Diamond BET?

Msiwe misukule.
 
Upinzani ulianza kipindi cha dhalimu, au unadhani upinzani ulianza kwa ajili ya dhalimu? Ama ulipojiunga hapa jukwaani ndio unadhani upinzani ulianza? Narudia tena ww ni bendera fuata upepo, ndio maana huna jipya zaidi ya kurukia kila mada na kutaka kumchomekea dhalimu aonekane alikuwa wa maana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usipanic ndugu!

Endelea kudemka kumshangilia mama baada ya dhalimu wako kufariki
 
Back
Top Bottom