Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Aliyesema ataua upinzani yupo wapi
Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola! Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla
Preamble!. "Ukiona mwenzako ananyolewa!" na "Ukiona kwa mwenzako kuna ungua!, kwako kunateketea!" Wale wote wenye matumaini na mategemeo kuwa kuna siku upinzani wa nchi hii, utakuja kushika dola!, hawa ni wishful thinkers na day dreamers, wanao ota ndoto za mchana, wasahau kabisa!. Lengo la...