Mbowe: Kamati ya Amani ilikaa kimya wakati watu wetu wanauawa na kuteswa

Mbowe: Kamati ya Amani ilikaa kimya wakati watu wetu wanauawa na kuteswa

Walikua kamati ya kumtetea mwenda kuzimu mwenda kuzim hayopo tena na hiyo kamati hatuitaki sisi aman tunayo kamati ya wanafiki hatuitaki aliekua anawalipa hayupo HATUWATAKI wanafiki nyie
 
Ile siku waliyotangaza kwamba amekwenda zake kuungana na babu zake, nilijawa na furaha isiyoelezeka na hadi sasa nina furaha na amani. Halafu mtu ambaye ni biriani ya funza kwasasa anawezaje kunicharaza?

Pamoja na u-mwamba na pomps zote alizokuwa nazo leo hana uwezo wa kuwapangusa funza wanaomong'onyoa lile bichwa lake (lililokuwa na kona kona kama limao), ndo aweze kunicharaza miye?

Aendelee tu kupambana na hali yake mwanaizaya mkubwa yule.[emoji16][emoji109][emoji91]
Unaona sasa anavyokuchalaza?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na bado atawachalaza sana tu
 
Hongera kwa viongozi wa dini waliokataa bahasha Ili kuisaliti imani yao Shehe Ponda, Askofu Mwamakula,Bagonza, Niwemugizi,Shoo.
HAKIKA WANASTAHILI,Ila kuna Sikh magu alikiri kwa Askofu Shoo indirect kwa kumnunulia viatu make wa Shoo wakati anafungua kiwanda cha ngozi moshi.
 
Hili coment yako inaonesha ni jinsi gani anavyokuchalaza huku akiwa kafa!

Yani bavicha mmeshindwa kabisa kuendelea na maisha yenu hata baada ya Magu kufariki? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siyo kila anayekosoa ujinga na UFISADI wa Mwendazake ni CHADEMA au Bavicha. Hapo ndipo watu wenye akili ndogo mnapopotea.

Magufuli alikuwa binadamu wa kawaida, mwenye akili ya kawaida lakini akajifanya yeye ana akili nyingi na eti ana maono kuliko Watanzania wote. Bahati mbaya aliiishi kwa UWONGO ambao bado misukule yake inamuabudu
 
Mbowe lipa kwanza mishahara, hata wewe ulikaa kimya huku ukijua Sabaya ana karakana ya kutesa watu.View attachment 1820749
Brother Elitwege! Comment kwa busara na acha uchama? Kwa hiyo Mbowe alikaa kimya kwa sababu alikuwa mnufaika wa hiyo karakana? Nonsense. Hujui kwamba kuna watu waliuawa! Walipotea! Waliumizwa! Walifilisiwa! Wslifungwa kwa uonevu! Walinyanganywa mali zao!!!? Hiyo kamati ya kiroho mbona haikusema lolote zaidi ya kuwa upande wa mwendazeke!! Leo bado wanaendelea kulinda haki zisizokuwepo za mwendazake?? Hii tume ipo kwa ridhaa ya nani? Inawajibika kwa nani? Zipi ni hadidu rejea za kamati hii!!? Utopolo mtupu. Waende nae Mwendazake, wakaendelee kulamba miguu yake mbele ya malaika aliodai kwenda kuwaongoza.
 
Mwendazake alikuwa na Matatizo ya akili, badala ya kuwaondolea watu wake kero mbalimbali, yeye alikuwa bize na kuwaadhibu CHADEMA
Hivi mwendazake alifanywa nini na Chadema kiasi cha kuwa na ile Chuki ya Ibilisi dhidi ya Chama hiki, viongozi na wafuasi wake? Ila Chadema ni kama Mtakatifu fulani hivi, ukimuumiza unakufa mwenyewe
 
Mungu wangu amefanya kile Watanzania wengi wakiomba kuwa Magufuli hatufai afe, na akafa
Ukoo wako hawawezi kuwawatz wote!

Badala ya uombe akuondolee umasikini kwenye ukoo wako wewe uko busy kusema mtu kafa kwa ajili ya maombi yako?
 
Siyo kila anayekosoa ujinga na UFISADI wa Mwendazake ni CHADEMA au Bavicha. Hapo ndipo watu wenye akili ndogo mnapopotea.

Magufuli alikuwa binadamu wa kawaida, mwenye akili ya kawaida lakini akajifanya yeye ana akili nyingi na eti ana maono kuliko Watanzania wote. Bahati mbaya aliiishi kwa UWONGO ambao bado misukule yake inamuabudu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya mapovu inaonesha anakutesa sana!

Eti fisadi! Mbona mafisadi mengine mko nayo hapo chadema na huyakemei?

Usiwe sukule
 
Sasa mimi, wew na mwendakuzimu nani anateseka kama siyo nyie wawili
Mkuu, marehemu anakutesa sana wewe na wenzio yani bado anawachalaza mboko! Mkisikia tu jina lake mnaacha kila kitu kuja kushambulia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Na atawabamiza sana.
 
Huyu malasusa ni mhuni wa kupindukia!
Ni msaliti kama alivyokuwa Yuda Iskarioti
hata wenzake ndani ya KKKT aliwasaliti.
Ni mtu wa kuogopa na kutengwa kama Covid 19
 
Back
Top Bottom