Kila kitu kinautaratibu - yaani katiba inabadirishwa ghafla kisa Lissu kaamua kugombea??Hili swala la kuondoa ukomo, wa uongozi, Lisu alilifafanua vzr tu, wakati chama bado kichanga! Chama hakina watu, wanajitokeza wachache, then unawapa kigezo cha ukomo, ilikuwa simple logic tu, sasa hv chama kimekuwa, ukomo lazima urudishwe, sasa Mbowe kujifanya hamnazo kwamba haelewi hiki kitu, ni utapeli, aacha spinning, kutaka kuwaaminisha watu kuwa Lisu hakutaka ukomo wa uongozi, kwa vile ni mrafi wa madaraka! So stupid
Tatizo ni Mbowe kuramba sukari.Mwenyekiti ndiye hurekebisha katiba? Chama ni wanachama… kwanini Lissu hakuwahi peleka hiyo hoja ili iungwe mkono au laa?
Lissu ana agenda zake na muda ni hakimu wa yote tupo hapa siku moja tutasimuliana jinsi gani samia anamtumia Msigwa kuivuruga CHADEMA!
Inashangaza kweli.Kila kitu kinautaratibu - yaani katiba inabadirishwa ghafla kisa Lissu kaamua kugombea??
Na mwaka huu, CHADEMA YA MBOWE itakutesa sana!Chadema na Dr Shoo mnafanana sana Kikatiba [emoji23][emoji23]
Ccm wanasema wamejipanga huko, mwaka huu wa/mtaisoma.Mwenyekiti ndiye hurekebisha katiba? Chama ni wanachama… kwanini Lissu hakuwahi peleka hiyo hoja ili iungwe mkono au laa?
Lissu ana agenda zake na muda ni hakimu wa yote tupo hapa siku moja tutasimuliana jinsi gani samia anamtumia Msigwa kuivuruga CHADEMA!
Si kweli msipakazie kila jambo Mbowe. CDM waliondoa ukomo kwa sababu walizoziona za msingi kwa wakati huo na kwa kuwa waliona bado Mbowe anafaa.Mwenyekiti Mbowe nae atatia aibu kwa hili la ukomo wa uongozi CDM, sbb hoja ya kufuta ukomo wa uongozi ililetwa na Mwenyekiti ndio ikafutwa, sasa aache kutaja hilo la ukomo sbb litamrudia
Inachekesha mkuu. Hawapo serious na waongo waongo sanaMwanasheria mkuu ndio anarekebisha katiba?
Chadema ni Wahuni sana 😂😂😂
Hapana mkuu,chadema kimedumaaChadema bado hakijakomaa
Si kweli msipakazie kila jambo Mbowe. CDM waliondoa ukomo kwa sababu walizoziona za msingi kwa wakati huo na kwa kuwa waliona bado Mbowe anaf
Nafikiri sasa tubaki hapo kwenye CDM waliondoa ukomo wa madaraka na si Mbowe peke yake. Ikisemwa Mbowe ni Dikteta wanakosea kwa kuwa mazingira hayo waliyatengeneza wenyewe. Dokta Slaa miezi kadhaa iliyopita aliwahi taja sababu za kuondoa nashindwa kuweka link hapa ila iko YouTube.Waliondoa ili wazitumie kuichanganya CCM,baadae waje na falsafa nyingine yenye kukifanya Chama cha Mapinduzi kujihoji juu ya form Moja ya Urais.
Kwa hivyooMbowe ameyasema hayo wakati akihojiwa na Salim Kikeke katika kipindi cha Kasri kinachorushwa na CrownFM
Mbowe amesema kwamba Lissu anashiriki vikao vyote vya chama lakini hajawahi kuwasilisha hoja katika vikao ya kuomba wajadili kuondoa ukomo wa uongozi
Mbowe mwenyewe haoni vizuri...Mbowe ameyasema hayo wakati akihojiwa na Salim Kikeke katika kipindi cha Kasri kinachorushwa na CrownFM
Mbowe amesema kwamba Lissu anashiriki vikao vyote vya chama lakini hajawahi kuwasilisha hoja katika vikao ya kuomba wajadili kuondoa ukomo wa uongozi
hahahaha!Tulisema sana miaka ile tulionekana wasalititi.
Lissu ameshiriki kuliweka jini kwenye chupa na sasa anahangaika kulitoa.