Mbowe: Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA

Akufukuzaye hakwambii toka! Au hamjui?
 
Wewe usimuheshimu kwanza sio lazima.

Nyinyi watu sijui akili zenu zikoje. Nilionya humu kwamba mama ameamua kuwa na staha na busara, kuweni na staha na busara.

Mkijifanya mandezi mtaletewa undezi.
 
Katiba ndio msingi na muelekeo wa taifa sasa ukisema tusubiri yaani. Maisha tuyaweke tena mkononi mwa mtu mmoja .HAPANA . Huu ndio mustakabali wetu n.a. vizazi vijavyo .
 
Mama amekwishasema yeye yoyoooo people power na ulevi wa Konyagi na mwenyekiti milele wasubiri.Big up mama na mkimtest hapigi na mikanda kama Baba atawafinya na kuwamwagia radhi mpate laana.
Itafika wakati mama atasema fvck these guys, kumbe ndio wako hizi....to hell with them, i will do it my fvcking way....
 
..Mama ameteleza.

..Eti anarekebisha uchumi!

..Na kutengeneza ajira!!

..hizo ni kazi ENDELEVU, hufanyi miezi miwili mitatu halafu ukapumzika.
Ndugu,

Kwani movement hizi zinazotaka kuanzishwa ni kwa ajili ya nini haswa?? Kwa mfano hii movement wanayoifanya chadema na watu wao wa Twitter ni kwa ajili ya nini???
Tujadiliane
 
These people are not being realistic
 
CDM acheni utoto, huu ni utoto....jaribu kuishi kwa busara hii nchi sio ya kwenu kila mkilia msikilizwe mbona kwa yule jamaa wengine walikimbia mpaka nchi mlikuwa hamdeki hivi...

CDM acheni kudeka, hizi kelele mbona hamkupigia yule jamaa?.....nyie wenyewe ndio mlikuwa mnapiga kelele mara hivi mara vile nakutuaminisha mambo yamevurugika kila mahala....leo mama anajaribu kuweka mambo sawa mnakuja na kila aina ya hitaji...kila jambo na wakati wake tumpe muda mama walau hata 3yrs.....

Tusipende saaana kupelekeshwa na kelele za wanasiasa wanaoangalia maslahi binafsi kuliko kuangalia uelekeo na ustawi wa Taifa...Mama ana miezi mitatu madarakani nyie mnataka afanye kila kitu mnachotaka nyie utafikiri nyie ndio washauri wa siasa, uchumi nk wa hii nchi..CDM acheni utoto kama ni siasa haziko hivyo hata kidogo..

Kuna wakati kumbe undava na mabavu yanahitajika sana kwa wajinga wajinga ili mambo mengine yaende katika nchi...CDM wenyewe mlituambia mwendazake alikuwa crisis na kuacha makovu mengi, sasa hayo makovu tunazibaje? kwa kuruhusu mikutano ya siasa, kwa kuanza mchakato wa katiba mpya.? tuache kudeka aisee hatujui wala kujulikana tunataka nini...
 
Sasa Kaka, Kwanini hawakuachiwa kipindi Cha Magufuli au kipindi Cha JK na wanasheria walikuwepo? Hili suala mama samia anapaswa kupongezwa. Bado hamuoni Kama kafanya jambo jema. Ni Kama vile hamna shukrani kwake
Demi,

Niliwahi kusema hapa tena siku si nyingi kwamba hawa watu hawana shukran.

Wajinye, wewe uende kuwachambisha basi pia hawatokushkuru.

Na wajiangalie sana.
 
Hawa watu wana agenda yao ya siri. Sio maendeleo tu ya Tanzania.

Hatuelewi sijui wafanyiwe nini hawa
 
Acha UNAFIKI wewe!!! Mama ana staha ipi? Hukumsikia kutumia neno KUDEMKA ni staha hiyo? Wewe UONYE humu kama nani!? 😳😳😳
ACHA KUJIKWEZA zuzu wewe!!! kawatishe wengine siyo mimi.
Wewe usimuheshimu kwanza sio lazima.

Nyinyi watu sijui akili zenu zikoje. Nilionya humu kwamba mama ameamua kuwa na staha na busara, kuweni na staha na busara.

Mkijifanya mandezi mtaletewa undezi.
 
yaani uchaguzi umeisha 2020, wewe leo unataka ufanye mikutano ya siasa ya hadhara kila siku mitaani mpaka 2025....nini maana ya kuwepo kampeni kwenye uchaguzi?..

Hakuna jambo baya kama kuiweka nchi kwenye tension kila siku na watu kuacha kazi za msingi za kukuza uchumi matokeo yake kuwa busy kudeal na mikutano siasa...

Kama issue ni mikutano na ujenzi wa vyama, mikutano ya ndani na majimboni inatosha na sio active politics za mitaani na mabarabarani kila kukicha na kuleta ugumu kwenye shughuli nyingine za maendeleo na uchumi..
 
Mimi mwana CCM, lakini ni ujinga kuwa na mitazamo kama hiyo. Hatuhitaji haki kupatikana kwa HURUMA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…