Kama bandari Haina ufanisi ni jukumu la kiongozi kuhakikisha Efficiency inapatikana.
Nyoka akiingia ndani ya nyumba HATUUZI nyumba, HATUCHOMI nyumba, tunamtoa nyoka!!!!
Sa100 must go!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama bandari Haina ufanisi ni jukumu la kiongozi kuhakikisha Efficiency inapatikana.
Nyoka akiingia ndani ya nyumba HATUUZI nyumba, HATUCHOMI nyumba, tunamtoa nyoka!!!!
Sa100 must go!!!
Tutawaambia nini wajukuu zetu watapotuuliza mlikuwa wapi haya yakitokea!!!!kunywa kinywaji chochote mi nalipa umenikosha moyo
Bado unarudia rudia hii picha!?View attachment 2650309
Karibu Akhui tupige kazi.
Ndio.Bado unarudia rudia hii picha!?
Je Raisi akiwa Mzanzibari?Mabadiliko ya Katiba hayakwepeki. Huu utaratibu wa makamu wa Rais kushika madaraka ya Urais kwa miaka 5 kasoro, sinadhani kuna nchi nyingine dunia wanautumia!
Maana ni mfumo wa hovyo mpaka basi. Siku 90 zilikuwa zinatosha sana.
Nimeona pahala wanasema hata KIA ipo chini ya mwarabuKubinafsisha bandari ni sawa na kubinafsisha Airport, nikitendo Cha harari kwa maoniyangu.
Si mwarabu Yule...Mbona mama mwenye chawa wake ni mwarabu pure kabisa, basi tuseme pia uarabu ni laana.
Kwao Ni huko huko mrima!Hiki kimama kirudi kwao! Kinachofanya ni kutuuza tuuu! Mbuga za wanyama, mwarabu, mashamba ya watu, wamenyang'anywa, wamasai wanatangatanga kama ndege wakiwa, na sasa bandari zetu zote, zimeuzwa kwa mwarabu, na za Zanzibar hazijaguswa, wakati muungano ni jambo la kitaifa! Imebaki Sasa sote tusilimishwe! Huyu mama ana chuki binafsi na nchi yetu! Arudi kwao atuache na nchi yetu! Si haki hata kidogo!
Kwa hatua tuliyofikia Nyerere na Karume watatusaheme tu, Tanzania haina tena faida bora turudi Tanganyika tu.Utanzania tabu Sana
Labda turudi kwenye utanganyika tutakuwa na akili
Mama imelidhihaki taifa kwa kulirudisha nyuma ya mwaka 1961 tulivyokuwa watomwa wa haya machokoraa meupe.Tumuunge mkono Mbowe na Chadema kwa ujumla wake!
Huu mkataba unapaswa kuwa daraja la kuiondoa CCM na Bunge lake!
Hii inafaa kuwa ticket ya Samia kurudia Zanzibar!
Uhuni ufike mwisho sasa!
#kataawahuni