Mbowe mbioni kung'olewa CHADEMA

Hilo sukuma gang hawalioni
 
Leo siku ya Kiswahili, unaandika KUJIHUZURU

Leo siku ya kimataifa ya kiswahili, unaandika KUJIHUZURU kweli?
Nimeishia hapo nimeona its nonsense.
Unategemea mrundi atajua kiswahili kweli?
 
Chadema ni mali ya CCM kwa kificho, anayefahamu ni Mbowe na wengine ambao sio hata wanasiasa.
CDM ni compromise agent kati ya watu fulani vs CCM na serikali.

Wengine ni kokoro tu linavutwa.
 
Chadema ni mali ya CCM kwa kificho, anayefahamu ni Mbowe na wengine ambao sio hata wanasiasa.
CDM ni compromise agent kati ya watu fulani vs CCM na serikali.

Wengine ni kokoro tu linavutwa.
Uko sahihi.
 
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu,kwa hiyo kiongozi wa ngazi ile kusema uongo tena ndani ya msikiti unadhn ni sahihi????
 
Akiendelea kubaki ataondoka kwa aibu kama Profesa au chama kinaweza kumfia. Aachie ngazi. Kila siku tunasema lakini mnaona kama tunawaletea nongwa. Mwenyekiti kuhudumu isizidi vipindi viwili
 
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu,kwa hiyo kiongozi wa ngazi ile kusema uongo tena ndani ya msikiti unadhn ni sahihi????
We ndio mjinga kwa hiyo kama wewe ndio ungekuwa PM ungesemaje ? Ungesema raisi amezidiwa yupo ICU? Hi nchi ina viraza wengi sana
 
Wajulishe hawa Magulizetion kuwa Mbowe alishasema 2023 anaachia ngazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…