Mbowe mbioni kung'olewa CHADEMA

Mbowe mbioni kung'olewa CHADEMA

WAPUMBAVU NINYI
Gazeti la Tanganyika toleo la leo limekuja na mkakati mzima unaosukwa kumng'oa Mbowe Chadema kupitia kumlazimisha kujiuzuru uenyekiti mwenyewe mithili ya waziri mkuu wa Uingereza bwana Boris Jonhson anavyolazimishwa kujiuzuru.

Wasuka njama hizo wanasema Chadema chini ya mwenyekiti Mbowe haiendi mbele imedumaa kwa kupoteza wanachama wengi na wabunge tangu ilipoachwa na Dk Slaa mwaka 2015, hivyo wanataka kumng'oa Mbowe ili wapate mwenyekiti mpya mwenye fikra mpya na nguvu mpya kwa kukifufua na kurejesha imani ya chama kwa watanzania walio wengi.View attachment 2283487
 
Akiendelea kubaki ataondoka kwa aibu kama Profesa au chama kinaweza kumfia. Aachie ngazi. Kila siku tunasema lakini mnaona kama tunawaletea nongwa. Mwenyekiti kuhudumu isizidi vipindi viwili
Wewe unayo maana yako nyingine.
Kama ulikuwa unahimiza aondoke wakati akipambana kukilinda chama, ina maana wewe hukukitakia mema chama hicho.
 
Ni kiraza tu kama wewe ndio unaweza ukadhani alifanya kosa lakini kwa watu wanaojua protocol za uongozi PM alikuwa sahihi kwa 100%

Hata viongozi wa chama ngazi ya matawi wana siri zao ambazo wanachama hawapaswi kujua hadi utakapo fika muda sahihi sembuse ikuru ya nchi we jamaa kiraza sana
Mwendazake na uhuni wote alifeli.
 
Wewe unayo maana yako nyingine.
Kama ulikuwa unahimiza aondoke wakati akipambana kukilinda chama, ina maana wewe hukukitakia mema chama hicho.
Wenye sifa ya kuwa wenyeviti wako wengi siyo lazima awe yeye.
 
Umuhimu wa Mbowe kuiongoza CHADEMA umefikia mahali kuwa siyo wa lazima.
Apewe heshima yake kuu ya kuhimiri na kusimama imara wakati chama kilipopitia katika majaribu makubwa sana enzi za Magufuli, na hata wakati wa Kikwete., enzi za kina Zitto.

Uongozi wa Mbowe, wakati huu kwenye siasa za kupuliza za Samia, ni 'liability', kubwa. Inatakiwa apatikane kiongozi anayeelewa hizi mbinu mpya za kukidhoofisha CHADEMA na kupoteza mweekeo wake.
Nadhani hilo hata Mbowe mwenyewe kesha ligundua na kuahidi kuachia madaraka 2023 kwa wengine na kwa mpangilio bora kabisa bila jazba za kiccm. Na chuma bora kitakachochukua baada ya yeye hakika CCM watatamani Mbowe arudi.
 
Nadhani hilo hata Mbowe mwenyewe kesha ligundua na kuahidi kuachia madaraka 2023 kwa wengine na kwa mpangilio bora kabisa bila jazba za kiccm. Na chuma bora kitakachochukua baada ya yeye hakika CCM watatamani Mbowe arudi.
Mh
 
Gazeti la Tanganyika toleo la leo limekuja na mkakati mzima unaosukwa kumng'oa Mbowe Chadema kupitia kumlazimisha kujiuzuru uenyekiti mwenyewe mithili ya waziri mkuu wa Uingereza bwana Boris Jonhson anavyolazimishwa kujiuzuru.

Wasuka njama hizo wanasema Chadema chini ya mwenyekiti Mbowe haiendi mbele imedumaa kwa kupoteza wanachama wengi na wabunge tangu ilipoachwa na Dk Slaa mwaka 2015, hivyo wanataka kumng'oa Mbowe ili wapate mwenyekiti mpya mwenye fikra mpya na nguvu mpya kwa kukifufua na kurejesha imani ya chama kwa watanzania walio wengi.View attachment 2283487
Mtasubiri sana maana tutamuacha siku mkinyamaza. Lakini mkiendelea na propaganda hizi tutamchagua tena na tena.
Magufuli alitumia kila njia akashindwa, badala yake akaachia yeye uenyekiti wa chama kile marehemu.
 
Mtasubiri sana maana tutamuacha siku mkinyamaza. Lakini mkiendelea na propaganda hizi tutamchagua tena na tena.
Magufuli alitumia kila njia akashindwa, badala yake akaachia yeye uenyekiti wa chama kile marehemu.
Wewe joyce mukya lazima umchague tu
 
Back
Top Bottom