Nenda Twitter kama una accessAmeropoka akasemaje,mbona huweki mambo hadharani ili tumchambue unabaki kusema tu kuropoka ropoka, kwani jamani kasemaje?????? Si mseme tu labda ndio anachapa kazi tena nimezungumza naye leo kwenye simu.Oooop
Sina.Sema amesemaje.Au unaogopa kusema.Uko huru tujadiliane humu.Nenda Twitter kama una access
Yani mpaka unaeeza ukae ujiulize huyu jamaa aligongwa risasi ya ubongo au ya mguu.Afadhali umenena, kuna siku nilikuta katweet mambo ya ajabu kuhusu Mh. Rais nikadhani ni account feki.
Hadhi yake na anayoandika hayaendani kabisa.
Alipaswa kuandika ideas na sio kumgeuza chigogwo role model wake.
Huwa simkubali lkn siku hizi anazidi kuwa mweupe sana. Mwambieni atulie aandike vitu ambavyo hata wajukuu wa taifa hili wakisoma waseme huyu ni mtu aliyewahi kuwepo nchini nap kuleta tija
Kama mwanaharakati sawa ila Kama presidential candidate aibu aisee
Huyu mwenzetu kafika tayari.Tujitahidi tumwahi kabla hajaondoka.
Yani mpaka unaeeza ukae ujiulize huyu jamaa aligongwa risasi ya ubongo au ya mguu.
au ubongo wa wakili msomi upo miguuni kulikodungwa risasi.
Mimi naona jinsi anavyotusumbua kwa kuweka mambo hadharani kabla yetu ni mjuaji.Na habari zake zinakanushwa kwa uongo.Baada ya muda mfupi aliyoyasema yanaonekana wazi.Sasa hapa mropokaji ni yupi.CHADEMA hawatampa nafasi hiyo tena huyu mropokaji.
Mbowe anaakili hawezi kumruhusuhuyu tena, na mbakasasa uanachamawake upomashakani.
Chama hakiwezi kuwa na mtu mwenye kujifanya mjuaji kama huyo ambae watanzania wanazidi kumdharau kadiri siku zinavyokwenda.
Duh, mkuu hauwaonei huruma?Wafiwa bwana!
Uchunguzi anza kufanya wewe mwenyewe yani serial killer aje akuchabange marisasi 30 alafu yote ya miguuni tu huyo atakuwa ni mlinzi wa kk security sio mtu alietumwa kuua...ccm mngeruhusu UCHUNGUZI ufanyike, na waliohusika kuchukuliwa hatua, haya yote yasingetokea.
Nilishajadili kule inatoshaSina.Sema amesemaje.Au unaogopa kusema.Uko huru tujadiliane humu.
Hapo kajichanganya.Njia ya mwongo fupi kama mkia wa mbuzi.Sijaelewa, Msio na chma then nyie ni wanaCHADEMA??
mlimchokoza wenyewe acha awatandike tu.si mnamuita mabaga fresh hiyo fresh mtaipata tuPopote ulipo mwenyekiti wa chama.
Tunakufikishia salamu hizi sisi Watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.
Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.
Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.
Mwambie hata kama ana uchungu na kisasi kwa yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi yake hastahili kufanya anayoyafanya labda kama hana mpango wakugombea.
Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?
Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lissu behave like gentalman.
Alisemaje kwani, julaibibi tangu lini umejiunga Chadema,sio kweli unadanganya mbona juzi ulivaa zile za kijani au uko pote pote.Hivi walikupokea kweli.yaaan alivokuwa anaropoka kwenye ugonjwa mpaka uchungu wa uzaz unatushika.yelewiiii yan kutibua nyongo .najitoa chadaeme
Kule wapi,mbona umeyaleta huku na ulishayajadili kule.Nilishajadili kule inatosha
Ninaandika ninafuta....Mungu amhurumie!Jamaa ameamua kupambana na marehemu kupunguza maumivu.
Lisu aende CUF kwa sababu Chadema siyo wajinga!We Fala Una akili ya kulamba makalio ya polepole hapo Lumumba