Mbowe, mkanye Lissu

Mbowe, mkanye Lissu

Ameropoka akasemaje,mbona huweki mambo hadharani ili tumchambue unabaki kusema tu kuropoka ropoka, kwani jamani kasemaje?????? Si mseme tu labda ndio anachapa kazi tena nimezungumza naye leo kwenye simu.Oooop
Nenda Twitter kama una access
 
Kwani unafikili ni Lisu anaongea pale,ni wabelgiji ndio wanatumia mdomo wa wakili msomi ila ye mwenyewe hata hajui kitu maskini.
 
Afadhali umenena, kuna siku nilikuta katweet mambo ya ajabu kuhusu Mh. Rais nikadhani ni account feki.

Hadhi yake na anayoandika hayaendani kabisa.

Alipaswa kuandika ideas na sio kumgeuza chigogwo role model wake.

Huwa simkubali lkn siku hizi anazidi kuwa mweupe sana. Mwambieni atulie aandike vitu ambavyo hata wajukuu wa taifa hili wakisoma waseme huyu ni mtu aliyewahi kuwepo nchini nap kuleta tija

Kama mwanaharakati sawa ila Kama presidential candidate aibu aisee
Yani mpaka unaeeza ukae ujiulize huyu jamaa aligongwa risasi ya ubongo au ya mguu.

au ubongo wa wakili msomi upo miguuni kulikodungwa risasi.
 
Huyu mwenzetu kafika tayari.Tujitahidi tumwahi kabla hajaondoka.

..wana matatizo kweli vijana wa mataga / ccm.

..Magufuli kafia Tanzania, lakini analaumiwa mtu aliyeko Ubelgiji.

..What kind of non-sense is that?
 
Yani mpaka unaeeza ukae ujiulize huyu jamaa aligongwa risasi ya ubongo au ya mguu.

au ubongo wa wakili msomi upo miguuni kulikodungwa risasi.

..ccm mngeruhusu UCHUNGUZI ufanyike, na waliohusika kuchukuliwa hatua, haya yote yasingetokea.
 
CHADEMA hawatampa nafasi hiyo tena huyu mropokaji.
Mbowe anaakili hawezi kumruhusuhuyu tena, na mbakasasa uanachamawake upomashakani.

Chama hakiwezi kuwa na mtu mwenye kujifanya mjuaji kama huyo ambae watanzania wanazidi kumdharau kadiri siku zinavyokwenda.
Mimi naona jinsi anavyotusumbua kwa kuweka mambo hadharani kabla yetu ni mjuaji.Na habari zake zinakanushwa kwa uongo.Baada ya muda mfupi aliyoyasema yanaonekana wazi.Sasa hapa mropokaji ni yupi.
 
Acha kutumia wingi katika kuwasilisha fikra zako. "Tume" "tuta" "tuna"
Wewe na nani?
 
..ccm mngeruhusu UCHUNGUZI ufanyike, na waliohusika kuchukuliwa hatua, haya yote yasingetokea.
Uchunguzi anza kufanya wewe mwenyewe yani serial killer aje akuchabange marisasi 30 alafu yote ya miguuni tu huyo atakuwa ni mlinzi wa kk security sio mtu alietumwa kuua.

Ndio maana wenye akili wamempuuzia.
 
Popote ulipo mwenyekiti wa chama.

Tunakufikishia salamu hizi sisi Watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.

Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.

Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.

Mwambie hata kama ana uchungu na kisasi kwa yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi yake hastahili kufanya anayoyafanya labda kama hana mpango wakugombea.

Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?

Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lissu behave like gentalman.
mlimchokoza wenyewe acha awatandike tu.si mnamuita mabaga fresh hiyo fresh mtaipata tu
 
yaaan alivokuwa anaropoka kwenye ugonjwa mpaka uchungu wa uzaz unatushika.yelewiiii yan kutibua nyongo .najitoa chadaeme
Alisemaje kwani, julaibibi tangu lini umejiunga Chadema,sio kweli unadanganya mbona juzi ulivaa zile za kijani au uko pote pote.Hivi walikupokea kweli.
 
Mataga kama mataga!!
Rais Samia kawakataza hizo husda zenu!!
 
Jamaa ameamua kupambana na marehemu kupunguza maumivu.
Ninaandika ninafuta....Mungu amhurumie!
Kwakua Mungu amem vindicate Hayati Dr. Pombe Magufuli....Atakuwa ameumizwa sana ki psychology na watanzania...Hakutegemea kama watanzania wana mpenda kiasi hiki mtu ambaye yeye alimwona kwa jicho la kisasi hadi akaamua kui betray nchi yake na kumsema vibaya kila kona ya dunia....Watanzania wamemvalisha Rais wao nguo nyeupe na kuosha matope yote aliyompaka milele...

He will learn in the hard way kwamba "kisasi ni cha Mungu"

Mungu amempa nafasi ya kuona jinsi alivyotukuzwa na watu wake kinyume na matamanio yake....Kama nitakuwepo hai nitaona jinsi yeye atakavyoondoka...Natamani jata huo u Rais angeupata ili ionekane tofauti yake na ya Hayati Dr. John Joseph Pombe Magufuli...Ndipo watanzania watajua kweli God is Just and he is not respector of persons!
 
Back
Top Bottom