Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hebu tulieni kwanza enzi zimebadilka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama D buanaHayo yote alfanyiwa na nani??? Kwa ushahidi upi??? Halafu anachofanya Sasaivi kinamaidia nini?
Mwambie Tundu muungwana akivuliwa nguo huchutama..... kama hajitambui ajue yuko uchi mwachoni pa watanzania na dunia.
Yaani Tundu akili zake kama jina lake mfyuuuu
CCM ya hayati baada ya kumtupa kinana Nape iliingiwa na ushetani mkubwa ikaamua kuwakumbatia wasiojulikana zaidi kuliko ubinadamu.Walisha zoea manguvu, hoja kujibu kwao ni shida,
Sasa tunatumai Rais mteule mama Samia mwingi wa Busara hekima atarejesha umoja wa kitaita na kuondokana na wale wasiojulikanaHebu tulieni kwanza enzi zimebadilka
Kibaya zaidi wapo watu huko CCM bado wanaona ni haki Tundu lisu kupigwa risasi hawajui kuwa mungu hapendi roho mbaya na wenye roho mbaya wote watakufa kabla ya Tundu lisu, mungu hapendi roho mbaya itawale Tanzania ndiyo maana kaamua kumleta Mh mama yetu Samia aje kurejesha umoja wa kitaifa na Amani ya kudumu.Mlisha mshindwa,Pambaneni wenyewe.Risasi 31 mkamshindwa.Unawezaje andika kitu kama hiki ?
Kikwete sasa ni kaimu mwenyekiti wa CCM kwa mda na ndiye ataandaa mfumo bora wa kutibu majeraha ya wasiojulikana na kurejesha umoja wa kitaifaCcm mmejaa watu wasiweza kupambanua mambo. Badala ya kujibu hoja za Lisu mnakimbilia kusema mtamdhuru.
JK alishawambia hoja hujibiwa kwa hoja siyo kwa kuzipiga rungu.
Bora JK achukue uenyekiti labda atarudisha weledi kwenye chama
Hiyo imeonyesha upumbavu wenu mataga kuwa mlitaka kufanya vile si Kwa faida ya nchi.kama kwa faida ya nchi pigeni kelele za kumuongezea na mama piaChadema kweli kituko! Ina maana mkimuongezea mama Samia miaka 20 Tena chadema hamna mpango wa kutawala nchi hii hadi 2045?
Au wote mnehamia CCM ?
Farijika ila haiondoi ukweli wa kuuwa kina saa naneHeshima anayopata Magu toka kwa wananchi inafariji.....
Kwakuwa hakuna anayeweza kupanga nani atangulie naona hoja yako haina makalio[emoji3][emoji3]
Kabisa mkuu nchi wameiharibu sana mwangosi kapigwa bomu mapumbavu yanashangilia mambo ya ajabu sanaAchana na hao ng'ombe mkuu.
Wao wakishakula majani kazi yao ni kunya tu hawana lingine.
Wametuharibia nchi sana hawa washamba
Tafadhali usiseme ccm ya kikwet kwa sababu inatonesha vidonda. Unasahau ufisadi wote ule, mikataba ya hovyo ya kinachenge, escrow, richmond, epa na mamikataba ya bandari za bagaomoyo, madini nk?CCM ya Hayati haikuwa na uwezo wa kujibu hoja wao walitumia wasiojulikana tu,ni tofauti na CCM ya kikwete mkapa ambao walijitahiti kujibu hoja pasipo kutumia risasi na nguvu zisizo na maana
Lissu akikanyaga Tanzania wazalendo watampiga risasi tena.
Mlisema hivo hivo na kina Pasco ila wananchi walitoa majibu.... Mind you alirudi kipindi cha mazishi ya Mkapa!!Na kwa jinsi asivyokuwa na akili timamu anaweza kuamua kuja kweli!
Usaliti upi kwa Lisu? Hakuna usaliti Hatari kama kupora mali za watu kufunga biashara za watu kufunga Account zao, kupora ushindi kwenye chaguzi zote, huo ndiyo usaliti kwani CCM hawakuwa wamezoea uonevu wa kiwango hichomsaliti wa nchi adhabu yake ni kifo. Hii ni kanuni ya asili ilitumiwa hata na mitume wa Mungu.
Huyu siyo mwenzetuAcha amtuhumu sasa mana alivyokua na uwezo wa kukanusha hakuutumia badala yake alitumia mtutu wa bunduki kumnyamazisha