Pre GE2025 Mbowe: Mtu wa kwanza kuwajibishwa kwenye matukio ya utekaji ni Rais Samia. CHADEMA kuanza kampeni ya 'Samia Must Go'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbona unaweweseka mwenyewe
nakuelekeza siasa, unadai naweweseka 🤣

hao wanao badilikabadilika kama kinyonga, wanatetemeka sio? Maana inaonekana moja haikai, mbili haikai 🤣

halafu baadae wanaweza kuyaahirisha pia maandamano hayo, maana hawajui nini wafanye au wanafanya 🤣
 
unaposeama must go. Ni nin maaan yakr? ina maana wewe unachochea mapinduz. hatuwez jua pengine muna silaha mumeficha. so ni uhaini. must go. pluralic yake ni lazima. kwa nin unasema lazima ? ina maana una nia ovu unayoilqzimisha. wenye akili watatulia majumban mwao
 
Hawajielewi
Nilitegemea waje na samia must go ili tuwapelekee moto kuanzia na FFU mpaka kesi ya uhaini
 
For sure,
hivi nani anaweza kuwaamini tena watu hao wa Samia must go,

eti ghafla usiku wa manane leo, wanakuja na lugha ya maandamano ya amani.

nadhani hawafahamu nini hasa wanatetea hawa jamaa..

Yaani jana ulikua jambazi,
Leo unakua Nabii na unaombea watu?🤣
 
Hawajielewi
Nilitegemea waje na samia must go ili tuwapelekee moto kuanzia na FFU mpaka kesi ya uhaini
mambo mengine ya ajabu sana,
na ndio maana nawaeleza kwamba pale Chadema kuna ombwe la Uongozi wa juu wa Chama...

Yaani jana umetangaza maandamano haramu ya fujo ya Samia must go, umekatazwa na umepigwa marufuku,

halafu eti leo usiku wa manane, wewe huyo huyo wa fujo, utangaze maandamano ya Amani, halafu uruhusiwe?

Umebadilika lini mpaka kua mtu wa amani hivyo kutoka mtu wa fujo?🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…