KIBOKO YA CHADEMA KISHAGAWATUKANA KWAKUKOSA KUANDAMANA ALPOITISHA MAANDAMANO YA KWENYE KEYBOARDhivi kumbe anaitwa kimambi, muda wote huu nikajua anaitwa KIMAVI yaan MANGE KIMAVI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KIBOKO YA CHADEMA KISHAGAWATUKANA KWAKUKOSA KUANDAMANA ALPOITISHA MAANDAMANO YA KWENYE KEYBOARDhivi kumbe anaitwa kimambi, muda wote huu nikajua anaitwa KIMAVI yaan MANGE KIMAVI
Huyo Mange ambaye hata kalio la kutingisha tu hana sasa atawezaje kutingisha nchi?Maandamano ya WANANCHI yanayoratibiwa na chama kikuu cha upinzani Chadema chini ya Mwenyekiti wake Freeman Mbowe.
Yameendelea kuungwa mkono
na wananchi mbalimbali huku
Mwanaharakati tishio Tanzania na Diaspora Mange kimambi akiyaunga mkono.
Kupitia mtandao wa Instagram mange ameweka clip huku akinukuliwa "guys nimeamua nijitokeze kwa njia ya clip maana kuandika inaniwia ngumu.... ni hivi maandamano ya wananchi yaliyotangazwa na chadema waingie barabarani niko tayari kuyaunga mkono na kuhamasisha watanzania wenzangu waliochoshwa na serikali hii ya kipumbavu...."
mange ameendelea kuishutumu serikali Kwa utekaji na utesaji unaondelea nchini baada ya kutekwa na kuuawa kwa Bwana Ali Mohamed Kibao kada wa chadema.
Duru za kisiasa zinasema kujitosa kwa mange kimambi kwenye Maandamano hayo kutatikisa nchi.
hivyo serikali inapaswa ifanyie kazi yale mambo ambayo Mwenyekiti wa chadema taifa Freeman Mbowe aliyo yataja kwenye mkutano wake na wanachadema jijini Dar es salam huku akiipa serikali siku kumi itoe majibu.
Nakuunga mkono Mkuu. Mm ningekuwa mmoja wa viongozi wa CDM nisingeitisha maandamano ambayo, kwa vyovyote, hayatafanikiwa. Watanzania hawajawa tayari kwa kudai haki zao kwa njia ya shinikizo. Kitakachotokea ni watu wachache kutokea barabarani, watachimbwa mkwala na Polisi, wengine watapigwa km wanayama na kukamatwa na wengi wao watakimbia na ndio itakuwa mwisho wa mchezo.Hii ni bongo baba tunajuana,, hizo nchi nyingine hawapo kama huku,, ,huku wengi ji ma keyboard warriors tu,,,,labda hayo maandamano waruhusu wenyewe serikali ila sio ya kufosi
Huwezi kuwa Massawe mwenye damu ya kweli ya akina Massawe halafu ukawa na upuuzi wa kuisapoti CCM.Mnadhani kila Massawe ni Takataka na vimada wa mbowe sio?
Heri nife kuliko kuongozwa na mtu aliepata sifuri Form 6
Ngazi yako ni ya chini mno kuelewa maswala kama haya.Huwezi kutekeleza Mipango nyuma ya Keyboard Mkuu
Tukubaliane hakuna hao majasiri, wewe ikiwemo
Hivi hata kina Nyerere, Kenyatta na wale waliopingana na madikteta wabaya Duniani na kushinda wangefikiria wake zao kugongwa na kutafuta Maisha hali ingekuwa leo kwa maeneo waliyotoa uhai wao kuyapigania? Hivi wale Gen Z Wa Kenya wasingefanya yale waliyofanya kupinga bajeti waliyoiona itawaumiza kwa kuogopa girlfriend zao kugongwa na wengine na kuamua kukaa majumbani kutafuta Maisha kama unavyotaka hali ingekuwaje leo kwao? Kama huoni umuhimu wa Jambo fulani basi waachie wenzio wanaoona umuhimu wake. Bila Shaka ww ni mnufaika wa mfumo uliopo, lazima useme hivyo. Upo upande Salama, ambao kina Msigwa waliuchagua juzi. Ni upande ambao ukiwa huko, Kula yako ni guaranteed. Usalama dhidi ya watekaji ni 100%. Hakuna kukamatwa au kuitwa na Polisi, hakuna kupotezwa. Ht ukiropoka Siri za mauaji au wizi Wa Kura kwa wasiowaunga mkono hakuna shida. Kwa ujumla, ukiwa huko, sheria ipo chini ya miguu yako. Lkn ujue siyo wote watakuwa huko. Hongera sana kwa raha unazopata. Kumbuka upande mwingine unaowatishia kugongewa wake zao kuna vilio. Wanapigwa risasi mchana kweupe km Swala.Endelea kujidanganya ufe maskini mkeo agongwe
Tafuta maisha dogo
Baada ya tangazo hili Kuelekea 2025 - Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu then tunaishauri Chadema wasitishe maandamano.Mbowe pia ametoa rai kwa viongozi wa CHADEMA siku 12 kuanzia sasa kuja Dar kwaajili ya kupeana mikakati muhimu kwa hatua zaidi.
=====
"Lingine, kuanzia siku ya Jumatatu, tar 23/9/2024 mkumbuke nilitangaza tar 21 tunategemea tuone hatua za watu kuwajibika zimeanza. Kama hawatachukuliana hatua wenyewe kwa wenyewe, sisi kuanzia tarehe 23 jiji lote la Dar es Salaam, kila kata kila mtaa.. ndugu zangu tumekuwa tunafanya utani mara nyingi, lakini kwa wakati huu hatuna utani.
"Kuanzia jumatatu sisi tutaingia barabarani kudai tunachoona ni uhai wa watu wetu waliopotenzwa unless serikali imechukua hatua za haraka na za makusudi kuwarejesha, watu kujiuzulu na watu wote kuwajibika kwa mujibu wa tamko letu la leo." - [/I]Amesema Mbowe katika mkutano kwenye ofisi za CHADEMA, Mikocheni leo 11/9/2024
Utaandamana na Nani vijana wapo busy na Aviator