Mbowe na genge lako, mnamtisha Amiri Jeshi Mkuu akitumia madaraka yake muanze tena kulalamika?

Mbowe na genge lako, mnamtisha Amiri Jeshi Mkuu akitumia madaraka yake muanze tena kulalamika?

Ukitaka kujua ukali wa sisiemu , anza kuleta chokochoko za kudai katiba mpya, hiki ndio anachojaribu kukifanya Mbowe🤣👇
20210629_234046.jpg
 
Ritz

Acha porojo. Toa majibu yanayoeleweka, mbona wana CCM mnakuwa hv jamani?
Majibu kaishatoa Rais kasema hivi...

“Mnasema nimeanza vizuri naomba nipeni muda nisimamishe Nchi kiuchumi, tuite Wawekezaji uchumi upande, halafu tutazungumzia mengine, tutazungumzia Katiba Mpya, mikutano ya hadhara n.k, kwa sasa mikutano ipo ya ndani na Wabunge kwenye Majimbo yao pia wanafanya”——Rais Samia

Mimi siyo CCM ni raia wa kawaida kabisa mnyonge naipenda nchi yangu hivi kwa nini kila mtu akipingana na fikra za Mbowe mnasema ni CCM.

Mbowe, kafanikiwa sana kuwashikia akili.
 
Ningewajua wa maana hayo yote mngeyafanya mwaka mmoja uliopita lakini mlitulia kama MNA maji mdomo
Kwahiyo lile genge la wahuni lililoendesha ukatili ndio ulilololiona la maana sio.
 
Hivi Samia hamuulizi hata JK kilichomtokea?

Kwamba aliwapa uhuru wa kufanya kila kitu hadi juice za ikulu walikunywa ila wakienda majukwani wanamwita dhaifu?
Wanao kwamisha taifaa kusonga mbele ndio nyie hasaa. Tena uache porojo unajua.
 
Aalaaa, kumbe rais huwa hapangiwi eti ee? Umekuja kwenye pointi mwenyewe, ndio maana tunataka katiba mpya ili tumpangie majukumu. Haiwezekani uje utuombe kura nchi nzima then tukupe, ukishakaa kwenye kiti sisi tuliokupa kukaa hapo tusikuhoji chochote wala kukupangia chochote. Misukule ya MATAGA huwa sijui mkoje
Huko Chadema, Machaga mnampangia lipi Mbowe ?
 
Sasa amekuja mama anaongea nanyi kwa upole
Amekutoweni magerezani
Amefuta makesi yenu
Amewarejeshea mahelaa yenu
Na kwa upole amewambia msubir kuhusu kwa KATIBA mpya
Mumeanza kutoa vitisho hamna hata busara yaani
Uhai wa Mwendazake sasa hivi mngekua mpo pahala salama na viuno vimetenguka

Mpeni Muda mama aweke mambo sawa hatoondoka bila kukuekeeni KATIBA Mpya

# Tunasimama pamoja na MAMA
 
Tuambie kwanza ilikuwa wapi miaka 5 ya Magufuli? Au wewe ndo Habinda Seth, Fisadi namba moja umeachiwa huru na Samia?
Unaongea wewe unajijibu mwenyewe, na wewe ni mfuasi wa Mbowe utaingia barabarani kudai katiba ya Mbowe?
 
Tunataka katiba Mpya , maneno mazur ya wapi
 
Kwenu "mama" akivunja sheria safi tu, ilimradi inavunjwa na "mama", mizigo ya aina yenu inatubidi tuiburuze hivyo hivyo mpaka tufike nayo.
 
“Mnasema nimeanza vizuri naomba nipeni muda nisimamishe Nchi kiuchumi, tuite Wawekezaji uchumi upande, halafu tutazungumzia mengine, tutazungumzia Katiba Mpya, mikutano ya hadhara n.k, kwa sasa mikutano ipo ya ndani na Wabunge kwenye Majimbo yao pia wanafanya”——Rais Samia

Hamtaki mnalazimisha afuate anachosema Mbowe, kwa akili za kawaida rais afuate amri ya Mbowe kweli badala afuate wanachotaka watanzania.
 
U
Sasa amekuja mama anaongea nanyi kwa upole
Amekutoweni magerezani
Amefuta makesi yenu
Amewarejeshea mahelaa yenu
Na kwa upole amewambia msubir kuhusu kwa KATIBA mpya
Mumeanza kutoa vitisho hamna hata busara yaani
Uhai wa Mwendazake sasa hivi mngekua mpo pahala salama na viuno vimetenguka

Mpeni Muda mama aweke mambo sawa hatoondoka bila kukuekeeni KATIBA Mpya

# Tunasimama pamoja na MAMA
Upo usemi kuwa usimwamini yeyote,ila peke yako,kwanza hiyo mpya inaogopwa na zaidi inasemekana kufanya kosa sii kosa ila kulirudia,tukirudia makosa tuliyotoka kujifunza hivi karibuni Nii imani yangu kuwa hata baada ya Maisha ya duniani nastahili hukumu kwa kulirudia kosa,msiwe miongoni mwa mtakao rudia kosa.
 
Tofauti ipo sababu mie sijawahi jadili mada kwa mrengo wa kidini. Ila hao niliowataja na FaizaFoxy wameibuka kutoka shimoni. Na watakua mwendo wa kutetea kila kitu kwa defence ya dini.

Unaona ni sawa kweli?
Una tatizo la kutokujiamini,wewe fanya yako na wao waache wachangie wao kama wao,unataka kuwapangia?
 
Sasa amekuja mama anaongea nanyi kwa upole
Amekutoweni magerezani
Amefuta makesi yenu
Amewarejeshea mahelaa yenu
Na kwa upole amewambia msubir kuhusu kwa KATIBA mpya
Mumeanza kutoa vitisho hamna hata busara yaani
Uhai wa Mwendazake sasa hivi mngekua mpo pahala salama na viuno vimetenguka

Mpeni Muda mama aweke mambo sawa hatoondoka bila kukuekeeni KATIBA Mpya

# Tunasimama pamoja na MAMA
Dah! Umeandika kama Shaka Hamdu Shaka vile akiwa anazungumza! huku akiwa amelegeza yale macho yake. 🙄
 
Uongozi sio hisani, watu wa taifa hili wanalipa kodi kuwalisha na kuwavisha viongozi, uwajibikaji kwa watu hao ni lazima na muhimu.
 
Dah! Umeandika kama Shaka Hamdu Shaka vile akiwa anazungumza! huku akiwa amelegeza yale macho yake. [emoji849]
Huenda nikawa ndio Shaka mwenye any way achana na macho yangu au ya shaga nenda kwenye points zangu Mtanganyika
 
Hivi Bavicha mna akili kweli nyie yaani Mbowe anaongea pumba kwa maslahi yake akili za nyumbu mnafuata tu.
Toa hoja kama mtu mwenye akili yimamu. Hili ni jukwaa la walio na afya njema ya akili.
 
Back
Top Bottom