Mbowe na genge lako, mnamtisha Amiri Jeshi Mkuu akitumia madaraka yake muanze tena kulalamika?

Mbowe na genge lako, mnamtisha Amiri Jeshi Mkuu akitumia madaraka yake muanze tena kulalamika?

Punde si punde wataingia mabarabarani na wataanza vurugu za ajabu.

Wataanzisha mikutano isiyo na kibari kisa tu wamebip na kuona we dhaifu.

Yale tuliyoshuhudia awamu ya nne yanakwenda kurudi. Mabomu kulipuka kwenye mikutano, maandamano yanasumbua wananchi kufanya shughuli za maendeleo.

Hiki sio chama chenye nia nzuri na taifa letu, watanzania wanawaza maendeleo. Wao wanawaza maandamano.

My take; Hayati JPM aliona mbali Mbowe na genge lake hawafai hata kidogo.
Kwa mama hawataweza,yujo si shrewd
 
Kwamba mtaanza kutumia Polisi, au sio? Acheni uoga wa kishamba, fanyeni siasa acheni kujificha kwenye nguvu ya Polisi, maana naona mwenzako naye anaanzisha uzi akisema amiri Jeshi Mkuu sijui nini...
Hoja ipi mnayotaka majibu ni kuwa maza anajenga uchumi kwanza! Unataka hoja zipi na maskini hawana hela sahizi
 
Kwani rais anatakiwa afanye kwa utashi wake au katiba na matakwa ya wananchi wake? Tatizo wewe unaangalia mambo kwa jicho la uislamu
Uislam umeingiaje hapo? Kasema subirini hata wiki HAIJAISHA mnaanza vibweka, Kwanza lichama lenyewe.lilikwisha potezana badala ya kumshukuru Samia muanze kukijenga upya mnataka vurugu
 
Acha ujinga wewe! Mfumo wa vyama vingi una miaka 30 sasa. Kama maccm mnajua umuhimu wa Katiba mpya unadhani ni kwanini miongo mitatu sasa haijapatikana!? Tia akili kichwani wewe! Kwani huyo mama katoa wapi mamlaka kwamba Watanzania tunataka uchumi uwe mzuri ndiyo tuzungumzie Katiba? Acha kuonyesha ujuha wako hadharani.

Wafuasi wa Mbowe mnafurahisha sana kwani raisi kakataa kuwa katiba siyo muhimu? Yaani Mbowe anavyowapelekesha nyie mnataka rais naye afuate upuuzi wake? Mbowe katoa wapi mamlaka ya kuwa msemaji wa Watanzania?
 
Katiba hii ina mapungufu.

Katiba mpya ni muhimu sana haswa pale kunapokuwa na wananchi wenye guts za kumwajibisha yeyote anayeivunja.

Kama katiba ya sasa ikivunjwa hatuna wananchi wenye guts za kumwajibisha anayeivunja kuna uwezekano tatizo la msingi lisiwe ni katiba.
Mkuu hata Mimi naitaka Sana hiyo katiba lakini mtu hajamaliza hata siku Mia watu wakaanza kuhamasishana na kulazimisha mambo, yaani nikama wanatumia.

Mfumo dume Kwa mama Samia wanatumia.neno 'ASIPO, ASIPO' nini maana yake? Hilo siliafiki ana mengi ya kurekebisha likiwemo la katiba lakini Kwa mipangilio sio kulazimisha watakavyo wao
 
Lakini uchumi wa kina Mbowe umeimarika.
Uchumi gani kwa huyu malyenge?
Kala hela nyingi tu zangu miaka ya 90.
Hicho chama cha Mtei huyu mkwewe kapewa tu apeleke posho, Mtei anakula ndafu tu huko kijijini.
Sasa posho Magu alipiga chini yotee,kawanyima ubunge.
Saa hii wanapiga kelele, swaumu akicheka nao inakula kwake.
 
Wanaukumbi
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu asiyetambua umuhimu wa Katiba Mpya; tunapishana sehemu ndogo sana ‘timing’ na vipaumbele vya kitaifa kwa sasa viwe ni 1.Katiba Mpya au kupambana na 2.Janga la Corona na 3.Kuinua Uchumi na hali za wananchi masikini?...
Nimesikitishwa sana na upuuzi wa CHADEMA. Nawasihi warejee maelekezo ya Profesa Shivji kuwa Katiba haipatikani kwa kukurupuka.
 
Wewe punguani kweli nani alikuambia mimi ni CCM? Mimi ni raia mwema sina chama nakubaliana na Rais Samia, unataka fact gani kwa mtu anayempagia rais jinsi ya kufanya majukumu yake.
Kwa akili za ki soda kama hz ngoja nikusamehe bure tu
 
Wangeanza na Katiba Ya chama chao Kwanza....! We M/kiti Kang'ang'ana Kwenye Kiti Ka Ruba.
Tawire mkuu, akiona wanataka kulianzisha anakuja na kisingizio Fulani watu wanasahau katiba yao, hawamjui huyu mtoto wa mjini
 
Nakushauri Mbowe zile pesa mlizorudishiwa na mahakama jengeni ofisi kwanza ondokeni Ufipa mlilpopanga vyumba viwili hamna mtanzania anaweza kuwaamini wewe na kundi lako.
Mleta mada kusema kweli unajiabisha kwa upuuzi ulioandika!
Hebu soma tena ili uone ulivyo na akili za kitoto!
Unajua umuhimu wa katiba? lakini sidhani kwa akili hizo za kijinga kama unaweza kujua!
Nakushauri sali sana kuomba hekima na busara ktk maisha yako kwani bila hivyo uzee wako utakuwa wa kijinga na kuna kila dalili za kuitwa BABU JINGA.
 
Wewe punguani kweli nani alikuambia mimi ni CCM? Mimi ni raia mwema sina chama nakubaliana na Rais Samia, unataka fact gani kwa mtu anayempagia rais jinsi ya kufanya majukumu yake.
Aalaaa, kumbe rais huwa hapangiwi eti ee? Umekuja kwenye pointi mwenyewe, ndio maana tunataka katiba mpya ili tumpangie majukumu. Haiwezekani uje utuombe kura nchi nzima then tukupe, ukishakaa kwenye kiti sisi tuliokupa kukaa hapo tusikuhoji chochote wala kukupangia chochote. Misukule ya MATAGA huwa sijui mkoje
 
Hivi Bavicha mna akili kweli nyie yaani Mbowe anaongea pumba kwa maslahi yake akili za nyumbu mnafuata tu.
Tuambie kwanza ilikuwa wapi miaka 5 ya Magufuli? Au wewe ndo Habinda Seth, Fisadi namba moja umeachiwa huru na Samia?
 
Back
Top Bottom