Mbowe na genge lako, mnamtisha Amiri Jeshi Mkuu akitumia madaraka yake muanze tena kulalamika?

Mbowe na genge lako, mnamtisha Amiri Jeshi Mkuu akitumia madaraka yake muanze tena kulalamika?

Eti hatutokubali yaani wao ndiyo wanaona ndiyo wapinzani peke yao, wakati mwingine unaona sawa tul yue muhuni wa Hai alichokuwa anawafanyia.
Hahahahah aliwa fix!!!
 
Uislam umeingiaje hapa? Au Mbowe ndiyo kawatuma kujibu pumba.

Nani kampa mamlaka Mbowe ya kuwasemea watanzania?
Nashangaa 😂😂😂 anafosi watanzania tuonekane tumedai katiba kwa maslahi yao kisiasa watutumie kama mbuzi wa kafara
 
Wananchi wanauliza Mbowe ni Mfalme Chadema? Kila siku kiongozi ni yeye atakayejaribu kugombea anafukuzwa chama alikuwepo wakati wa Mkapa, Kikwete, Magufuli, Samia, halafu anataka katiba daaah
Aanze kurekebisha katiba ya Chadema kwanza😂😂😂
 
Wanachodai ni kitu muhimu ila aina ya uwasirishaji wa maombi yao umekua wa kibabe sana..Mbowe na wenzake wasidhani Ss wa Tz ni wajinga kiasi cha kuatarisha amani yetu kwaajili ya maslahi yao..Wakishakunywa Konyagi utaskia tukutane barabarani then yeye anaenda zake Dubai...atuache kwanza.
Huhuhuhuh waache waanze mama atamaliza na siku zote anaemaliza huitwaga katili 😂
 
Yani chadema na mbowe wanashangaza sana kwa kukosa shukrani.... yani Rais kuwambia wasubiri kwani ni kosa? Ni lazima Mbowe ajue maneno ya kukera na kutoa amri kwa Rais hayafai na yanadhalilisha taasisi ya URAIS.

Mbowe leo hii ameshasahau?
Hii inaashiria kuwa Mwenyekiti King’ang’anizi ana Ubongo wa Panzi kabisa 😂!!! Kasahau bakuli lake lilimponza awamu iliopita
 
Wanaukumbi
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu asiyetambua umuhimu wa Katiba Mpya; tunapishana sehemu ndogo sana ‘timing’ na vipaumbele vya kitaifa kwa sasa viwe ni 1.Katiba Mpya au kupambana na 2.Janga la Corona na 3.Kuinua Uchumi na hali za wananchi masikini?...
Huwezi kutekeleza hiyo namba 2 na 3 Kama namba 1 haipo. Katiba mpya ndiyo Mambo yote.

Umeona watanzania ni mabwege sana. Jitafakari ulichoandoka hapa. Kila mtu huko mitaani anasungumzia katiba mpya. Aliyewapa elimu na kuijua maana ya katiba mpya ni mwendazake. Alitumia hiyo katiba ya viraka ndiyo maana kaivuruga nchi.

Tunasema tunatakiwa katiba mpya kwanza.
 
Rais na serikali yake amechagua "kuinua uchumi na hali za wananchi maskini".

Huo uchumi utauinua kwa kufungua fursa za uwekezaji na mikataba iliyokuwa transparent kwa wananchi.

Katiba ya sasa inamnyima mwananchi uhuru wa kuhoji kilichomo ndani ya mikataba mnayosaini na wawekezaji.

Je, hapo sio kumkamua mwananchi maskini? Kwanini priorite ya kwanza kabisa isiwe katiba mpya itakayoweka wazi na kulinda masrahi ya mwananchi kabla hatujafikiria kuwaita hao wawekezaji?
 
Punde si punde wataingia mabarabarani na wataanza vurugu za ajabu.

Wataanzisha mikutano isiyo na kibali kisa tu wamebip na kuona we dhaifu.

Yale tuliyoshuhudia awamu ya nne yanakwenda kurudi. Mabomu kulipuka kwenye mikutano, maandamano yanasumbua wananchi kufanya shughuli za maendeleo.

Hiki sio chama chenye nia nzuri na taifa letu, Watanzania wanawaza maendeleo. Wao wanawaza maandamano.

My take: Hayati JPM aliona mbali Mbowe na genge lake hawafai hata kidogo.
 
Sikiliza uonevu tulioshuhudia no sababu tosha yakuitaka katiba mpya
 
Punde si punde wataingia mabarabarani na wataanza vurugu za ajabu.

Wataanzisha mikutano isiyo na kibari kisa tu wamebip na kuona we dhaifu.

Yale tuliyoshuhudia awamu ya nne yanakwenda kurudi. Mabomu kulipuka kwenye mikutano, maandamano yanasumbua wananchi kufanya shughuli za maendeleo.

Hiki sio chama chenye nia nzuri na taifa letu, watanzania wanawaza maendeleo. Wao wanawaza maandamano.

My take; Hayati JPM aliona mbali Mbowe na genge lake hawafai hata kidogo.
hakuna chama kinaitwa mbowe na genge lake.
otherwise wangeshafutiws usajili wa vyama vya siasa.
in simpler way unamwambia SSH suluhu awafunge, awapw kesi, wakae magerezani tu.. just like his previous bosses?

unlike JPM,He prefered sculpter & hammer , SSH prefer wind & water..
result arent going to be the same.
 
Hilo la kuingia barabarani halitokaa litokee,just wait and see! Mama kawa fair sana lakini wao wanaanza kuleta dharau..Magu alikua sahihi sana ma.maaee..
 
Hilo la kuingia barabarani halitokaa litokee,just wait and see! Mama kawa fair sana lakini wao wanaanza kuleta dharau..Magu alikua sahihi sana ma.maaee..
Wazoea ubabe katika ubora wao huwaza matumizi ya mabavu kila mara kila wakati,kwao hoja zinawapitia kushoto.
 
Back
Top Bottom