OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
najua na nina uhakika na ninachochangiaUislamu unaingiaje hapo? Hii thd imetaja dini? Kama huna cha kuchangia piga kimya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
najua na nina uhakika na ninachochangiaUislamu unaingiaje hapo? Hii thd imetaja dini? Kama huna cha kuchangia piga kimya.
Mbona Mbowe alikimbilia Dubai kwa waislamu hakuenda kwa waluteri wenzake.najua na nina uhakika na ninachochangia
Unataka kufungia maandazi?Katiba mpya ni muhimu kuliko kitu chochote.
Hv watu wa CCM kwani hatuwezigi kuwajibu hawa jamaa kwa facts?Wanaukumbi
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu asiyetambua umuhimu wa Katiba Mpya; tunapishana sehemu ndogo sana ‘timing’ na vipaumbele vya kitaifa kwa sasa viwe ni 1.Katiba Mpya au kupambana na 2.Janga la Corona na 3.Kuinua Uchumi na hali za wananchi masikini?
Sisi Watanzania tumechagua muhimu 2 na 3.
Mbowe na wafuasi wako mnachekesha sana hivi mnataka rais wetu afuate mnachotaka nyie kwa maslahi yenu?
Rais akitumia madaraka yake kama katiba unavyomtaka mtaanza tena kulia kuwa Tanzania hamna demokrasia.
Nakushauri Mbowe zile pesa mlizorudishiwa na mahakama jengeni ofisi kwanza ondokeni Ufipa mlilpopanga vyumba viwili hamna mtanzania anaweza kuwaamini wewe na kundi lako.
Kwani katiba ya chama Chao kinamhusu Hashim Rungwe Spunda?Wangeanza na Katiba Ya chama chao Kwanza....! We M/kiti Kang'ang'ana Kwenye Kiti Ka Ruba.
RitzWananchi wanauliza Mbowe ni Mfalme Chadema? Kila siku kiongozi ni yeye atakayejaribu kugombea anafukuzwa chama alikuwepo wakati wa Mkapa, Kikwete, Magufuli, Samia, halafu anataka katiba daaah
Ulitaka nani ampe mamlaka?Uislam umeingiaje hapa? Au Mbowe ndiyo kawatuma kujibu pumba.
Nani kampa mamlaka Mbowe ya kuwasemea watanzania?
Acheni kutuharibia chama nyie maslahi... Jibuni hoja kwa hoja acheni matusi ya reja reja.Wewe ni mzalendo? Yaani kabisa walevi wa faru John wamtishe raisi? Haiwezekani
Kwamba mtaanza kutumia Polisi, au sio? Acheni uoga wa kishamba, fanyeni siasa acheni kujificha kwenye nguvu ya Polisi, maana naona mwenzako naye anaanzisha uzi akisema amiri Jeshi Mkuu sijui nini....kwann hamuwezi nyie kwenda ukumbini na kujibu hoja kwa hoja mpaka msaidiwe na Jeshi ama Polisi?Mda sio mrefu ataanza kubweka anaonewa
Sio wewe uliosusa baada ya teuzi za Kayafa kuwa na mfumo Kristo,sasa hivi kwa kuwa yupo wa imani yako umefufuka. Punguzeni Udini wewe, The Big Show, The Boss na Kibibi.Uislam umeingiaje hapa? Au Mbowe ndiyo kawatuma kujibu pumba.
Nani kampa mamlaka Mbowe ya kuwasemea watanzania?
Unawaitaje jamaa zako kenge kisa tofauti za kimtazamo? Halafu unajiita mwana CCM.... kwendraaaaa kule usituharibie chama sisiMama akiendelea kuwachekea hao kenge atajuta.
Tuliza mapepe wewe wananchi gani unaozungumzia? Hawa hawa wanaoendesha boda boda na mama ntilie? Tulia mama alete pesa mfukoni izo mambo zenu za kutafuta fursa sio kwa sasaWananchi Wanataka KATIBA MPYA hatwishwi Mtu hapa
Nice observation ;Sio wewe uliosusa baada ya teuzi za Kayafa kuwa na mfumo Kristo,sasa hivi kwa kuwa yupo wa imani yako umefufuka. Punguzeni Udini wewe, The Big Show, The Boss na Kibibi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo "mwenzao" wewe sio mwenzako?Nice observation ;
Hizi ID zilipotea sana ila kwakua "mwenzao" ameshika kiti wanapeana zamu kumtetea.
Leo hii THE BIG SHOW ni wa kutetea CCM wkt alikua anamkosoa JPM kila kukicha? Bado Mohamed Said atafufuka na thread za Mfumo Kristo!!
Weird
Tofauti ipo sababu mie sijawahi jadili mada kwa mrengo wa kidini. Ila hao niliowataja na FaizaFoxy wameibuka kutoka shimoni. Na watakua mwendo wa kutetea kila kitu kwa defence ya dini.Huyo "mwenzao" wewe sio mwenzako?
Kwa kusema "mwenzao" huoni kua hakuna tofauti yeyote kati yako na hao ulio wataja?
Stupid mamlaka yapi? Jinga kabisaWanaukumbi
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu asiyetambua umuhimu wa Katiba Mpya; tunapishana sehemu ndogo sana ‘timing’ na vipaumbele vya kitaifa kwa sasa viwe ni 1.Katiba Mpya au kupambana na 2.Janga la Corona na 3.Kuinua Uchumi na hali za wananchi masikini?
Sisi Watanzania tumechagua muhimu 2 na 3.
Mbowe na wafuasi wako mnachekesha sana hivi mnataka rais wetu afuate mnachotaka nyie kwa maslahi yenu?
Rais akitumia madaraka yake kama katiba unavyomtaka mtaanza tena kulia kuwa Tanzania hamna demokrasia.
Nakushauri Mbowe zile pesa mlizorudishiwa na mahakama jengeni ofisi kwanza ondokeni Ufipa mlilpopanga vyumba viwili hamna mtanzania anaweza kuwaamini wewe na kundi lako.
Bwana yule alipotoa kauli ile ya “Not to that extent” kilichofuata ilikuwa ni msiba na huzuni ila chanzo walikuwa wapuuzi hawa hawa akina MboweWanaukumbi
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu asiyetambua umuhimu wa Katiba Mpya; tunapishana sehemu ndogo sana ‘timing’ na vipaumbele vya kitaifa kwa sasa viwe ni 1.Katiba Mpya au kupambana na 2.Janga la Corona na 3.Kuinua Uchumi na hali za wananchi masikini?
Sisi Watanzania tumechagua muhimu 2 na 3.
Mbowe na wafuasi wako mnachekesha sana hivi mnataka rais wetu afuate mnachotaka nyie kwa maslahi yenu?
Rais akitumia madaraka yake kama katiba unavyomtaka mtaanza tena kulia kuwa Tanzania hamna demokrasia.
Nakushauri Mbowe zile pesa mlizorudishiwa na mahakama jengeni ofisi kwanza ondokeni Ufipa mlilpopanga vyumba viwili hamna mtanzania anaweza kuwaamini wewe na kundi lako.
Lakini uchumi wa kina Mbowe umeimarika.Uchumi gani Usioimalika toka mwaka 77?.