Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punde si punde wataingia mabarabarani na wataanza vurugu za ajabu.
Wataanzisha mikutano isiyo na kibari kisa tu wamebip na kuona we dhaifu.
Yale tuliyoshuhudia awamu ya nne yanakwenda kurudi. Mabomu kulipuka kwenye mikutano, maandamano yanasumbua wananchi kufanya shughuli za maendeleo.
Hiki sio chama chenye nia nzuri na taifa letu, watanzania wanawaza maendeleo. Wao wanawaza maandamano.
My take; Hayati JPM aliona mbali Mbowe na genge lake hawafai hata kidogo.
Kwani enzi zile na enzi mpya mnayoitamani ili wajengea uchumi gani, au ule wa makaratasini, leo stori no tofauti.Wajenge ofisi kwanza..Katiba itawajengea ofisi?
Jifunze kujibu ulichoulizwa punguza uzwazwa.Lakini uchumi wa kina Mbowe umeimarika.
Akili zako ziko tenge kama macho ya MboweJifunze kujibu ulichoulizwa punguza uzwazwa.
Angalia vitu wanavyodai ndio utajua wapo kwa maslahi yao binafsi hiv nikuulize lini umewahi kuona Tundu lisu kajitolea kupambana kisheria kwa maslahi ya umma mfano kujitolea kisheria against mwananchi anayodai ardhi yake kuporwa na mengine kama hayo.Mnvyoongea ni kama vile Mbowe anadai katiba itakaynufaisha familia yake tu.
Kama mnufaika wa mazingira ya sasa ama wa ile awamu yenu pendwa sema,porojo hatutaki.Angalia vitu wanavyodai ndio utajua wapo kwa maslahi yao binafsi hiv nikuulize lini umewahi kuona Tundu lisu kajitolea kupambana kisheria kwa maslahi ya umma mfano kujitolea kisheria against mwananchi anayodai ardhi yake kuporwa na mengine kama hayo.
Dalili za popoma ni kushindwa kujibu alichoulizwa.Akili zako ziko tenge kama macho ya Mbowe
Ni kwanini unakimbilia kusema kuwa CHADEMA wanamjaribu Rais Samia kwa kumuona ni Dhaifu na hupongezi Hekima, Utu na Busara ya Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inayoheshimu Afya ya Siasa za Demokrasia nchini Tanzania?Punde si punde wataingia mabarabarani na wataanza vurugu za ajabu.
Wataanzisha mikutano isiyo na kibari kisa tu wamebip na kuona we dhaifu.
Yale tuliyoshuhudia awamu ya nne yanakwenda kurudi. Mabomu kulipuka kwenye mikutano, maandamano yanasumbua wananchi kufanya shughuli za maendeleo.
Hiki sio chama chenye nia nzuri na taifa letu, watanzania wanawaza maendeleo. Wao wanawaza maandamano.
My take; Hayati JPM aliona mbali Mbowe na genge lake hawafai hata kidogo.
Wafuasi wa Mbowe mnafurahisha sana kwani raisi kakataa kuwa katiba siyo muhimu? Yaani Mbowe anavyowapelekesha nyie mnataka rais naye afuate upuuzi wake? Mbowe katoa wapi mamlaka ya kuwa msemaji wa Watanzania?Mpumbavu kweli wewe nani alikudanganya nchi ni shwari? Kwa utafiti upi uliofanya na kuhitimisha nchi ni shwari? Lini nchi haikuwa shwari? Na nani alisababisha nchi kutokuwa shwari? Uliandika humu kumpinga huyo aliyesababisha nchi kutokuwa shwari?
Katiba mpya inayoendana na mfumo wa vyama vingi nchini ni HAKI ya vyama vya upinzani na Watanzania kuidai kwa nguvu zote na huyo mama wa kudemka au maccm hakuna popote kwenye Katiba ya nchi au sheria za nchi walipopewa haki ya kuzuia madai hayo. Wewe mpuuzi kama hutaki katiba mpya piga kimya badala ya kuonyesha ujuha wako hadharani.
Wewe punguani kweli nani alikuambia mimi ni CCM? Mimi ni raia mwema sina chama nakubaliana na Rais Samia, unataka fact gani kwa mtu anayempagia rais jinsi ya kufanya majukumu yake.Hv watu wa CCM kwani hatuwezigi kuwajibu hawa jamaa kwa facts?
Kwa nini tuwaite genge, ilhali ni watz kama tulivyo sisi wana CCM?
Kwa nini tutumie vitisho / intimidate (Amiri Jeshi Mkuu) wakati wanazungumza kisiasa, kuna haja gani sisi kujibu ki Jeshi Jeshi?
Wana CCM tubadilike, wapinzani hawajahi kuwa na hoja za kutushinda kuwajibu, lkn majibu mepesi mepesi na ya uoga kama haya ndio yanayowapa biiiiichwa lkn jamaa zetu hawa ni weupe kama karatasi
ni lini mbowe kaomba jambo lenye maslahi ya familia yako?Mnvyoongea ni kama vile Mbowe anadai katiba itakaynufaisha familia yake tu.
Mbona makamu wenu hataki kubanduka kwa amsterdam?Nyie mngekuwa enzi za utumwa... Mngekuwa mshaolewa wote na wazungu..
Fikra zako ni zakitoto sana.. Unafikiria kupitia makalio
Ningewajua wa maana hayo yote mngeyafanya mwaka mmoja uliopita lakini mlitulia kama MNA maji mdomoSikiliza uonevu tulioshuhudia no sababu tosha yakuitaka katiba mpya
BINAFSI namdharau sababu angekuwa na Nia thabiti hayo angeyafanya kipindi cha JPMMnvyoongea ni kama vile Mbowe anadai katiba itakaynufaisha familia yake tu.