Mbowe na siasa zake za "I am the only negro incharge in here"

Mbowe na siasa zake za "I am the only negro incharge in here"

Si ulisema hakuna mgogoro unakuzwa na watu? Tena ukasema suluhu ni kupoteza muda? Sasa haya ya uliyoandika hapa ya Nini Tena?

..Mbowe amesema hana nongwa na Dr.Slaa na wenzake ndio maana nikasema hakuna mgogoro.

..sasa Adv.Mwabukusi naye aonyeshe utu uzima kwa kuacha kushambulia vyama vya upinzani na ku focus kwenye harakati zake.

..kuna mabandiko kadhaa hapa JF ya kumuasa Adv.Mwabukusi na wanaharakati kuepuka kuzua malumbano na wapinzani kwani kufanya hivyo kutampotezea muda na nguvu zake na kuharibu malengo ya harakati zake.

..hata sisi hapa siku nzima tunabishana wenyewe kwa wenyewe badala ya kuchochea moto wa Katiba Mpya na kulinda rasilimali zetu.
 
..Mbowe amesema hana nongwa na Dr.Slaa na wenzake ndio maana nikasema hakuna mgogoro.

..sasa Adv.Mwabukusi naye aonyeshe utu uzima kwa kuacha kushambulia vyama vya upinzani na ku focus kwenye harakati zake.

..kuna mabandiko kadhaa hapa JF ya kumuasa Adv.Mwabukusi na wanaharakati kuepuka kuzua malumbano na wapinzani kwani kufanya hivyo kutampotezea muda na nguvu zake na kuharibu malengo ya harakati zake.

..hata sisi hapa siku nzima tunabishana wenyewe kwa wenyewe badala ya kuchochea moto wa Katiba Mpya na kulinda rasilimali zetu.
Mwabukusi hajataja jina la chama chochote, bali anazungumzia wanasiasa wenye akili za ubunge kuliko picha pana ya mabadiliko nchini. Na anachosema ni sahihi!
 
..Mbowe amesema hana nongwa na Dr.Slaa na wenzake ndio maana nikasema hakuna mgogoro.

..sasa Adv.Mwabukusi naye aonyeshe utu uzima kwa kuacha kushambulia vyama vya upinzani na ku focus kwenye harakati zake.

..kuna mabandiko kadhaa hapa JF ya kumuasa Adv.Mwabukusi na wanaharakati kuepuka kuzua malumbano na wapinzani kwani kufanya hivyo kutampotezea muda na nguvu zake na kuharibu malengo ya harakati zake.

..hata sisi hapa siku nzima tunabishana wenyewe kwa wenyewe badala ya kuchochea moto wa Katiba Mpya na kulinda rasilimali zetu.

Si ulishasema hakuna mgogoro? Si tufanye haupo ndugu?
 
Hebu fikirieni hili suala:
Umma wa Tanzania umeanza kuamka, unakataa udalali wa rasilimali zao, unaanza polepole kukataa chapa waliyopigwa kwa muda mrefu kimkakati ya uoga, unaanza kuchukua hatua ya kupeleka Struggle katika hatua ya pili ya matendo badala ya maneno. Cha kusikitisha anatokea kiongozi mmoja wa Taasisi muhimu ya wananchi, ambaye kwa nafasi yake, na mizizi ya taasisi yake angeweza kusaidia pakubwa kuwatoa wananchi kutoka katika kongwa hili la kutochukua hatua yoyote ya kuiadabisha serikali yao kutokana na madudu makubwa inayofanya yeye anarudi nyuma, na matokeo yake kuisaidia CCM kuzima cheche ambazo zingesaidia kutengeneza moto mkubwa wa mabadiliko huko mbele. Ni ajabu sana!

1. Mbowe na siasa zake za ki "Uncle Tom"
Kipindi cha utumwa huko Marekani na Jim Crow, walikuwepo wamarekani weusi ambao kwa kuwa wao walikuwa na vijinafasinafasi katika mfumo wa Marekani, walikuwa wakipenda kujitapa kwa kauli za "I am the only negro working as an engineer here", "I am the first black clerk in here". Leo hii Huwezi kushangaa kumsikia Mbowe akijitapa na kauli yake maarufu ya siasa za nchi hii ni ya Farasi wawili, CCM na Chadema. Na hii Mentality ndiyo inayomsukuma kutaka alambwe miguu pale wananchi wanapotaka kusogeza struggle kwenda next level, Ili kuitia kibano serikali ya CCM katika suala la bandari na katiba mpya. Ndiyo maana Juzi huko Zanzibar, huku akisimama kwa kujitapa mbele ya wazee wa chama anahoji eti Chadema haikushirikishwa katika maandalizi ya mikutano na maandamano ya kuibana serikali ya CCM katika suala la katiba mpya na Bandari. Yaani anataka apigiwe magoti na wananchi kwenye struggle za kuitia kibano serikali, yeye nani, na kwa nini?!.

2. Mbowe amesaliti struggle za Watanzania kupeleka struggle next level
Sijui kama Mbowe na chawa wake ndani ya Chadema wanatambua athari za walichokifanya dhidi ya struggle za Watanzania katika kujikomboa kutoka katika minyororo ya Siasa chafu na uongozi mbovu wa CCM. Badala ya kuweka ego ya Kiuenyekiti, na ego ya uchama mbele, Mbowe alipaswa aangalie picha pana ya movement ya wananchi ya kutaka kuitia kibano Serikali ya CCM zaidi katika suala la bandari. Infact struggle hii inacompliment kabisa jitihada za chama cha Chadema za kudai katiba mpya. Badala ya Mbowe kuwapiga Rungu Sauti ya Watanzania, kama kweli angekuwa anahitaji mabadiliko ya kweli nchini, alipaswa aweke ego yake pembeni na kuwasaidia kadri inavyowezekana. Hii ingesolidify movement ya mabadiliko kutoka pande zote za kijamii na kisiasa za kuleta mabadiliko nchini. Lakini cha ajabu at the critical hour, Mwenyekiti kama kawaida yake ANABADILI GIA angani.

3. Jeuri ya Nyomi mikutanoni na kudhani Chadema haihitaji Sauti za mitandaoni
Inavyoelekea, wingi wa watu katika mikutano ya Chadema umeanza kuwapa kiburi viongozi wa Chadema na kudhani kuwa nyomi hilo linamaanisha kushinda chaguzi na labda eti hiyo ndiyo force pekee inayoweza kuipeleka Chadema mbele. Nataka nimwambie Mwenyekiti Mbowe na Chawa wake ndani ya Chama kuwa kudhani hivyo ni very naive, Maana hata kama hilo nyomi lote litaichagua Chadema, kama hakuna katiba mpya, tume huru ya uchaguzi ni kazi bure. Ndiyo maana ni ujinga mtupu kubeza cheche za struggle ambazo zitazaa moto wa mabadiliko ya kisiasa na kijamii nchini yatakayoisaidia hata Chadema yenyewe. Na mtu yeyote anayedharau kundi la wananchi ambalo liko "Enlightened" basi huyo hajielewi.

Na labda tu nimwambie Mbowe, kuwa pengine Nyomi la mikutano linamtia kiburi na kuamini kuwa Hakuna haja ya kuwaengage Watanzania wa mitandaoni. Asubiri aone kama CCM nao watapita katika kata hizohizo anazopita leo watu walewale waliojitokeza kumsikiliza kama hawatakwenda kuwasikiliza CCM pia. Ni Ujinga kudharau movement ya kundi dogo wenye uelewa ktk society

4. Akili za kuwaza ubunge, wingi wa ruzuku na kuendelea kuwa Mwenyekiti
Siyo siri, viongozi wengi ndani ya Chadema ya leo wanawaza ubunge tu mwaka 2025. Ni wachache sana miongoni mwao wanaowaza beyond ubunge. Na hii sauti ya waota ubunge ndani ya chama ni kubwa zaidi kuliko wale ambao Genuinely kabisa wanawaza mabadiliko ya kweli ya kimfumo nchini. Ukisikiliza kauli za viongozi wengi wa Chadema wako more worried na uchaguzi mkuu ujao, na ndiyo maana sasa wanazungumza habari za mabadiliko ya katiba kuelekea uchaguzi. Hoja zilezile ambazo miaka mitatu iliyopita walikuwa wakiwatukana ACT kwazo, ndiyo hizohizo leo wanazileta kwetu kama eti ni maono ya hekima ya chama. Kama hekima zinapatika ndani ya miaka mitatu, basi maana yake huko nyuma hakuwa na hekima anyway.

5. Mbowe kama Gatekeeper
It seems Mbowe, hayuko tayari kwa massive action nchini. Yaani anadhani kuwa CCM itatuleta mabadiliko kwa kuombwa, kwa kujitungia sheria za kujidhibiti yenyewe, kwa kuombwa kuleta katiba ya kujimaliza yenyewe. Na CCM kwa kutambua udhaifu wa Mwenyekiti katika mambo makuu matatu, Mosi anautaka uenyekiti tena, Pili ni muoga wa kupush hard na Tatu ana maslahi nchini ambayo wanaweza kumblackmail nayo basi wako Comfortable kuwa Mwamba ataruka na chopa, ataongea rousy speeches lakini itakapokuja muda ambao Watu wanataka kuraise up, basi Mwenyekiti atatumia machinery ya chama chake kujiweka pembeni na kuwaacha wanaotaka kuraise wakiwa marginalized. Ni jukumu la Wanachadema kukifanyia review chama chao waone kuwa The same Old Mwenyekiti ana kipya au sasa ni time ya Change ili kupush mabadiliko ya kweli nchini.

6. Mwisho
Hapa nataka nitoe tahadhari kwa viongozi wa Chadema ambao wameanza kuwa arrogant kwa kudhani Chadema is too big, na hawahitaji kuchangamana na watanzania wengine hasa wa mitandaoni.

Iko hivi, ni sisi wananchi wa Mitandaoni tuliopiga presha mpaka Mbowe akaachiwa. Ni sisi wananchi wengine wengi tu tusio na vyama lakini tuliokuwa tukiichangia Chadema katika operesheni zake. Ni sisi ambao tumeipa moral support, kwa kauli na matendo Na infact ni sisi ndiyo tunaolipa kodi ambayo leo hii Chadema wanapata ruzuku. Hii arrogance ya kijinga ambayo kwa bahati mbaya naona mnayo kuwa Walioko mitandaoni hawana dili, itakuja kuwatokea puani pale sentiment zitakapoanza kuwa negative kwenu na chama chenu. Kama mnabisha kaiulizeni ACT kwa nini haitoboi Tanganyika. Kawaulizeni negative content inawaathiri vipi!. Sasa msitufikishe huko.

Kama kweli Chadema ni chama cha wananchi, basi hiyo Taasisi ifanye kazi ya wananchi. Tungeshukuru sana kama Ingeshirikiana na Sauti ya Watanzani kuibana CCM zaidi, Kuitia kibado zaidi CCM kwenye suala la bandari na katiba. Kinyume cha hapo ni kuipa life support CCM na huo ni usaliti.

Nawasilisha!
It seems bila Chadema mikutano ya sauti ya wantanzania haiwezi kufanyika.Kama ni hivyo basi Chama kiheshimiwe hadi hapa kilipofika.
 
huyu mwamba nakumbuka alisema mwaka huu ataachia madaraka! sijui uchaguzi watafanya lini....

chama kinachotetea demokrasia kuwa na mwenyekiti mmoja kwa miaka zaidi ya 20 sio sawa, mbowe apumzike....

kama anaona hayupo wa kumwachia chama basi cdm wasishiriki uchaguzi mkuu (au wasiwe na mgombea uraisi), maana itakua ajabu ikiwa mbowe anaamini hayupo mtu sahihi wa kuongoza chama ila anakuja kutuambia kuna mtu sahihi toka chadema wa kuongoza nchi......!

baada ya kusema hayo mheshimiwa muanzisha uzi, naunga mkono hoja ulizoleta mezani....!
Imagine jamaa ni mwenyekiti miaka 20+
Hana kiasi.
 
Mbowe ni mnafiki na mrafi iko ndo kinamharibia uzarendo wake wote, Ila Slaa,Mwabukusi na Mdude ni vichaa kabisa Ati wanaipa Serkali 30 days wao ka jesh vile😅
ACT siwazugumzii sina muda wa kuchambua Wapuuzi.
Binadamu ni Lisu tu., Kama Lisu hatokua kwenyekiti wa CDM basi wacha CCM itawale milele hatuwezi wapa nchi wanafik,vichaa na Wapuuzi.
Hebu fikirieni hili suala:
Umma wa Tanzania umeanza kuamka, unakataa udalali wa rasilimali zao, unaanza polepole kukataa chapa waliyopigwa kwa muda mrefu kimkakati ya uoga, unaanza kuchukua hatua ya kupeleka Struggle katika hatua ya pili ya matendo badala ya maneno. Cha kusikitisha anatokea kiongozi mmoja wa Taasisi muhimu ya wananchi, ambaye kwa nafasi yake, na mizizi ya taasisi yake angeweza kusaidia pakubwa kuwatoa wananchi kutoka katika kongwa hili la kutochukua hatua yoyote ya kuiadabisha serikali yao kutokana na madudu makubwa inayofanya yeye anarudi nyuma, na matokeo yake kuisaidia CCM kuzima cheche ambazo zingesaidia kutengeneza moto mkubwa wa mabadiliko huko mbele. Ni ajabu sana!

1. Mbowe na siasa zake za ki "Uncle Tom"
Kipindi cha utumwa huko Marekani na Jim Crow, walikuwepo wamarekani weusi ambao kwa kuwa wao walikuwa na vijinafasinafasi katika mfumo wa Marekani, walikuwa wakipenda kujitapa kwa kauli za "I am the only negro working as an engineer here", "I am the first black clerk in here". Leo hii Huwezi kushangaa kumsikia Mbowe akijitapa na kauli yake maarufu ya siasa za nchi hii ni ya Farasi wawili, CCM na Chadema. Na hii Mentality ndiyo inayomsukuma kutaka alambwe miguu pale wananchi wanapotaka kusogeza struggle kwenda next level, Ili kuitia kibano serikali ya CCM katika suala la bandari na katiba mpya. Ndiyo maana Juzi huko Zanzibar, huku akisimama kwa kujitapa mbele ya wazee wa chama anahoji eti Chadema haikushirikishwa katika maandalizi ya mikutano na maandamano ya kuibana serikali ya CCM katika suala la katiba mpya na Bandari. Yaani anataka apigiwe magoti na wananchi kwenye struggle za kuitia kibano serikali, yeye nani, na kwa nini?!.

2. Mbowe amesaliti struggle za Watanzania kupeleka struggle next level
Sijui kama Mbowe na chawa wake ndani ya Chadema wanatambua athari za walichokifanya dhidi ya struggle za Watanzania katika kujikomboa kutoka katika minyororo ya Siasa chafu na uongozi mbovu wa CCM. Badala ya kuweka ego ya Kiuenyekiti, na ego ya uchama mbele, Mbowe alipaswa aangalie picha pana ya movement ya wananchi ya kutaka kuitia kibano Serikali ya CCM zaidi katika suala la bandari. Infact struggle hii inacompliment kabisa jitihada za chama cha Chadema za kudai katiba mpya. Badala ya Mbowe kuwapiga Rungu Sauti ya Watanzania, kama kweli angekuwa anahitaji mabadiliko ya kweli nchini, alipaswa aweke ego yake pembeni na kuwasaidia kadri inavyowezekana. Hii ingesolidify movement ya mabadiliko kutoka pande zote za kijamii na kisiasa za kuleta mabadiliko nchini. Lakini cha ajabu at the critical hour, Mwenyekiti kama kawaida yake ANABADILI GIA angani.

3. Jeuri ya Nyomi mikutanoni na kudhani Chadema haihitaji Sauti za mitandaoni
Inavyoelekea, wingi wa watu katika mikutano ya Chadema umeanza kuwapa kiburi viongozi wa Chadema na kudhani kuwa nyomi hilo linamaanisha kushinda chaguzi na labda eti hiyo ndiyo force pekee inayoweza kuipeleka Chadema mbele. Nataka nimwambie Mwenyekiti Mbowe na Chawa wake ndani ya Chama kuwa kudhani hivyo ni very naive, Maana hata kama hilo nyomi lote litaichagua Chadema, kama hakuna katiba mpya, tume huru ya uchaguzi ni kazi bure. Ndiyo maana ni ujinga mtupu kubeza cheche za struggle ambazo zitazaa moto wa mabadiliko ya kisiasa na kijamii nchini yatakayoisaidia hata Chadema yenyewe. Na mtu yeyote anayedharau kundi la wananchi ambalo liko "Enlightened" basi huyo hajielewi.

Na labda tu nimwambie Mbowe, kuwa pengine Nyomi la mikutano linamtia kiburi na kuamini kuwa Hakuna haja ya kuwaengage Watanzania wa mitandaoni. Asubiri aone kama CCM nao watapita katika kata hizohizo anazopita leo watu walewale waliojitokeza kumsikiliza kama hawatakwenda kuwasikiliza CCM pia. Ni Ujinga kudharau movement ya kundi dogo wenye uelewa ktk society

4. Akili za kuwaza ubunge, wingi wa ruzuku na kuendelea kuwa Mwenyekiti
Siyo siri, viongozi wengi ndani ya Chadema ya leo wanawaza ubunge tu mwaka 2025. Ni wachache sana miongoni mwao wanaowaza beyond ubunge. Na hii sauti ya waota ubunge ndani ya chama ni kubwa zaidi kuliko wale ambao Genuinely kabisa wanawaza mabadiliko ya kweli ya kimfumo nchini. Ukisikiliza kauli za viongozi wengi wa Chadema wako more worried na uchaguzi mkuu ujao, na ndiyo maana sasa wanazungumza habari za mabadiliko ya katiba kuelekea uchaguzi. Hoja zilezile ambazo miaka mitatu iliyopita walikuwa wakiwatukana ACT kwazo, ndiyo hizohizo leo wanazileta kwetu kama eti ni maono ya hekima ya chama. Kama hekima zinapatika ndani ya miaka mitatu, basi maana yake huko nyuma hakuwa na hekima anyway.

5. Mbowe kama Gatekeeper
It seems Mbowe, hayuko tayari kwa massive action nchini. Yaani anadhani kuwa CCM itatuleta mabadiliko kwa kuombwa, kwa kujitungia sheria za kujidhibiti yenyewe, kwa kuombwa kuleta katiba ya kujimaliza yenyewe. Na CCM kwa kutambua udhaifu wa Mwenyekiti katika mambo makuu matatu, Mosi anautaka uenyekiti tena, Pili ni muoga wa kupush hard na Tatu ana maslahi nchini ambayo wanaweza kumblackmail nayo basi wako Comfortable kuwa Mwamba ataruka na chopa, ataongea rousy speeches lakini itakapokuja muda ambao Watu wanataka kuraise up, basi Mwenyekiti atatumia machinery ya chama chake kujiweka pembeni na kuwaacha wanaotaka kuraise wakiwa marginalized. Ni jukumu la Wanachadema kukifanyia review chama chao waone kuwa The same Old Mwenyekiti ana kipya au sasa ni time ya Change ili kupush mabadiliko ya kweli nchini.

6. Mwisho
Hapa nataka nitoe tahadhari kwa viongozi wa Chadema ambao wameanza kuwa arrogant kwa kudhani Chadema is too big, na hawahitaji kuchangamana na watanzania wengine hasa wa mitandaoni.

Iko hivi, ni sisi wananchi wa Mitandaoni tuliopiga presha mpaka Mbowe akaachiwa. Ni sisi wananchi wengine wengi tu tusio na vyama lakini tuliokuwa tukiichangia Chadema katika operesheni zake. Ni sisi ambao tumeipa moral support, kwa kauli na matendo Na infact ni sisi ndiyo tunaolipa kodi ambayo leo hii Chadema wanapata ruzuku. Hii arrogance ya kijinga ambayo kwa bahati mbaya naona mnayo kuwa Walioko mitandaoni hawana dili, itakuja kuwatokea puani pale sentiment zitakapoanza kuwa negative kwenu na chama chenu. Kama mnabisha kaiulizeni ACT kwa nini haitoboi Tanganyika. Kawaulizeni negative content inawaathiri vipi!. Sasa msitufikishe huko.

Kama kweli Chadema ni chama cha wananchi, basi hiyo Taasisi ifanye kazi ya wananchi. Tungeshukuru sana kama Ingeshirikiana na Sauti ya Watanzani kuibana CCM zaidi, Kuitia kibado zaidi CCM kwenye suala la bandari na katiba. Kinyume cha hapo ni kuipa life support CCM na huo ni usaliti.

Nawasilisha!
 
Si ulishasema hakuna mgogoro? Si tufanye haupo ndugu?

..yaani mna mgogoro na Cdm badala ya kuwa na mgogoro na Ccm.

..Je, unaona hiyo ni sahihi, na mnazitendea haki harakati za kudai katiba?
 
Hebu fikirieni hili suala:
Umma wa Tanzania umeanza kuamka, unakataa udalali wa rasilimali zao, unaanza polepole kukataa chapa waliyopigwa kwa muda mrefu kimkakati ya uoga, unaanza kuchukua hatua ya kupeleka Struggle katika hatua ya pili ya matendo badala ya maneno. Cha kusikitisha anatokea kiongozi mmoja wa Taasisi muhimu ya wananchi, ambaye kwa nafasi yake, na mizizi ya taasisi yake angeweza kusaidia pakubwa kuwatoa wananchi kutoka katika kongwa hili la kutochukua hatua yoyote ya kuiadabisha serikali yao kutokana na madudu makubwa inayofanya yeye anarudi nyuma, na matokeo yake kuisaidia CCM kuzima cheche ambazo zingesaidia kutengeneza moto mkubwa wa mabadiliko huko mbele. Ni ajabu sana!

1. Mbowe na siasa zake za ki "Uncle Tom"
Kipindi cha utumwa huko Marekani na Jim Crow, walikuwepo wamarekani weusi ambao kwa kuwa wao walikuwa na vijinafasinafasi katika mfumo wa Marekani, walikuwa wakipenda kujitapa kwa kauli za "I am the only negro working as an engineer here", "I am the first black clerk in here". Leo hii Huwezi kushangaa kumsikia Mbowe akijitapa na kauli yake maarufu ya siasa za nchi hii ni ya Farasi wawili, CCM na Chadema. Na hii Mentality ndiyo inayomsukuma kutaka alambwe miguu pale wananchi wanapotaka kusogeza struggle kwenda next level, Ili kuitia kibano serikali ya CCM katika suala la bandari na katiba mpya. Ndiyo maana Juzi huko Zanzibar, huku akisimama kwa kujitapa mbele ya wazee wa chama anahoji eti Chadema haikushirikishwa katika maandalizi ya mikutano na maandamano ya kuibana serikali ya CCM katika suala la katiba mpya na Bandari. Yaani anataka apigiwe magoti na wananchi kwenye struggle za kuitia kibano serikali, yeye nani, na kwa nini?!.

2. Mbowe amesaliti struggle za Watanzania kupeleka struggle next level
Sijui kama Mbowe na chawa wake ndani ya Chadema wanatambua athari za walichokifanya dhidi ya struggle za Watanzania katika kujikomboa kutoka katika minyororo ya Siasa chafu na uongozi mbovu wa CCM. Badala ya kuweka ego ya Kiuenyekiti, na ego ya uchama mbele, Mbowe alipaswa aangalie picha pana ya movement ya wananchi ya kutaka kuitia kibano Serikali ya CCM zaidi katika suala la bandari. Infact struggle hii inacompliment kabisa jitihada za chama cha Chadema za kudai katiba mpya. Badala ya Mbowe kuwapiga Rungu Sauti ya Watanzania, kama kweli angekuwa anahitaji mabadiliko ya kweli nchini, alipaswa aweke ego yake pembeni na kuwasaidia kadri inavyowezekana. Hii ingesolidify movement ya mabadiliko kutoka pande zote za kijamii na kisiasa za kuleta mabadiliko nchini. Lakini cha ajabu at the critical hour, Mwenyekiti kama kawaida yake ANABADILI GIA angani.

3. Jeuri ya Nyomi mikutanoni na kudhani Chadema haihitaji Sauti za mitandaoni
Inavyoelekea, wingi wa watu katika mikutano ya Chadema umeanza kuwapa kiburi viongozi wa Chadema na kudhani kuwa nyomi hilo linamaanisha kushinda chaguzi na labda eti hiyo ndiyo force pekee inayoweza kuipeleka Chadema mbele. Nataka nimwambie Mwenyekiti Mbowe na Chawa wake ndani ya Chama kuwa kudhani hivyo ni very naive, Maana hata kama hilo nyomi lote litaichagua Chadema, kama hakuna katiba mpya, tume huru ya uchaguzi ni kazi bure. Ndiyo maana ni ujinga mtupu kubeza cheche za struggle ambazo zitazaa moto wa mabadiliko ya kisiasa na kijamii nchini yatakayoisaidia hata Chadema yenyewe. Na mtu yeyote anayedharau kundi la wananchi ambalo liko "Enlightened" basi huyo hajielewi.

Na labda tu nimwambie Mbowe, kuwa pengine Nyomi la mikutano linamtia kiburi na kuamini kuwa Hakuna haja ya kuwaengage Watanzania wa mitandaoni. Asubiri aone kama CCM nao watapita katika kata hizohizo anazopita leo watu walewale waliojitokeza kumsikiliza kama hawatakwenda kuwasikiliza CCM pia. Ni Ujinga kudharau movement ya kundi dogo wenye uelewa ktk society

4. Akili za kuwaza ubunge, wingi wa ruzuku na kuendelea kuwa Mwenyekiti
Siyo siri, viongozi wengi ndani ya Chadema ya leo wanawaza ubunge tu mwaka 2025. Ni wachache sana miongoni mwao wanaowaza beyond ubunge. Na hii sauti ya waota ubunge ndani ya chama ni kubwa zaidi kuliko wale ambao Genuinely kabisa wanawaza mabadiliko ya kweli ya kimfumo nchini. Ukisikiliza kauli za viongozi wengi wa Chadema wako more worried na uchaguzi mkuu ujao, na ndiyo maana sasa wanazungumza habari za mabadiliko ya katiba kuelekea uchaguzi. Hoja zilezile ambazo miaka mitatu iliyopita walikuwa wakiwatukana ACT kwazo, ndiyo hizohizo leo wanazileta kwetu kama eti ni maono ya hekima ya chama. Kama hekima zinapatika ndani ya miaka mitatu, basi maana yake huko nyuma hakuwa na hekima anyway.

5. Mbowe kama Gatekeeper
It seems Mbowe, hayuko tayari kwa massive action nchini. Yaani anadhani kuwa CCM itatuleta mabadiliko kwa kuombwa, kwa kujitungia sheria za kujidhibiti yenyewe, kwa kuombwa kuleta katiba ya kujimaliza yenyewe. Na CCM kwa kutambua udhaifu wa Mwenyekiti katika mambo makuu matatu, Mosi anautaka uenyekiti tena, Pili ni muoga wa kupush hard na Tatu ana maslahi nchini ambayo wanaweza kumblackmail nayo basi wako Comfortable kuwa Mwamba ataruka na chopa, ataongea rousy speeches lakini itakapokuja muda ambao Watu wanataka kuraise up, basi Mwenyekiti atatumia machinery ya chama chake kujiweka pembeni na kuwaacha wanaotaka kuraise wakiwa marginalized. Ni jukumu la Wanachadema kukifanyia review chama chao waone kuwa The same Old Mwenyekiti ana kipya au sasa ni time ya Change ili kupush mabadiliko ya kweli nchini.

6. Mwisho
Hapa nataka nitoe tahadhari kwa viongozi wa Chadema ambao wameanza kuwa arrogant kwa kudhani Chadema is too big, na hawahitaji kuchangamana na watanzania wengine hasa wa mitandaoni.

Iko hivi, ni sisi wananchi wa Mitandaoni tuliopiga presha mpaka Mbowe akaachiwa. Ni sisi wananchi wengine wengi tu tusio na vyama lakini tuliokuwa tukiichangia Chadema katika operesheni zake. Ni sisi ambao tumeipa moral support, kwa kauli na matendo Na infact ni sisi ndiyo tunaolipa kodi ambayo leo hii Chadema wanapata ruzuku. Hii arrogance ya kijinga ambayo kwa bahati mbaya naona mnayo kuwa Walioko mitandaoni hawana dili, itakuja kuwatokea puani pale sentiment zitakapoanza kuwa negative kwenu na chama chenu. Kama mnabisha kaiulizeni ACT kwa nini haitoboi Tanganyika. Kawaulizeni negative content inawaathiri vipi!. Sasa msitufikishe huko.

Kama kweli Chadema ni chama cha wananchi, basi hiyo Taasisi ifanye kazi ya wananchi. Tungeshukuru sana kama Ingeshirikiana na Sauti ya Watanzani kuibana CCM zaidi, Kuitia kibado zaidi CCM kwenye suala la bandari na katiba. Kinyume cha hapo ni kuipa life support CCM na huo ni usaliti.

Nawasilisha!
Mbowe ni mpumbavu haswaa. Natamani Lissu apate Chama cha kweli afanye siasa za kweli.

Slaa + Lissu naamini ukombozi utapatikana
 
..kama Mbowe anaonekana hafai basi wajitokeze wengine wenye uwezo na mbinu mpya.

..kwanini nguvu kubwa inaelekeza kumlaumu Mbowe kuliko kudai katiba mpya?

..Nadhani tumepoteza muelekeo hivi karibuni.
Mkuu

Kuna sehemu mbili za watu. Kwanza, huenda CCM wanataka aondoke

Pili, kuna frustration miongoni mwa Wanachama wa Chama chake kwasababu nyingi , na nina waelewa;

1. Akiwa magereza harakati za kudai Katiba mpya ziliendelea tena bila uongozi wa juu. Kuna video inaonyesha watu huko vijijini wanaimba '' Samia muachie Mbowe kiongozi wetu siyo gaidi'' wakitokea katika mkutano wa kudai katiba. Watu walitumia kifungo cha Mbowe in positive way.

Kisutu watu walikuwa wanadai Katiba mpya wala si kumlilia Mbowe kwasababu waliamini Katiba ndio jibu la Wates.

2. Alipotoka akafanya fyongo ya kwenda Ikulu siku ile akijua SSH alitaka kuzima nguvu ya Katiba.
Ilikuwa kumbana Mbowe asiendelee na harakati SSH akipanga kumhujumu! Ikalipa kwa kupoteza muda

Maridhiano aliyoanzisha na SSH yakadhoofisha jitihada za kudai Katiba, wengi wakitaraji matokeo mazuri.

Watu walijua SSH na CCM hawana nia njema. Mbowe hakujifunza kwa JPM pale Mwanza alipoomba maridhiano

Mbowe alioonywa sana kwamba hii ni mbinu ya kupoteza muda, CCM haijawahi kuwa na nia njema

Baada ya kupoteza muda kama CCM walivyotaka, Mbowe anarudi kusema maridhiano yameshindika.

Kibaya zaidi anadai Katiba na Tume huru. Hivi Tume huru inapatikanaje bila Katiba mpya. haelezi

Kuna frustration, akiwa kiongozi wa Chama kikuu cha upinzani kilichoaminiwa kubeba agenda kama mbadala wa CCM amedhoofisha jitihada za kupatikana Katiba kwasababu ya kuwa ' compromised ' na maridhiano.

Kuibuka kwa kundi la Sauti ya Tanzania ni katika kuziba Ombwe la Upinzani ! nitty gritty.
 
Hebu fikirieni hili suala:
Umma wa Tanzania umeanza kuamka, unakataa udalali wa rasilimali zao, unaanza polepole kukataa chapa waliyopigwa kwa muda mrefu kimkakati ya uoga, unaanza kuchukua hatua ya kupeleka Struggle katika hatua ya pili ya matendo badala ya maneno. Cha kusikitisha anatokea kiongozi mmoja wa Taasisi muhimu ya wananchi, ambaye kwa nafasi yake, na mizizi ya taasisi yake angeweza kusaidia pakubwa kuwatoa wananchi kutoka katika kongwa hili la kutochukua hatua yoyote ya kuiadabisha serikali yao kutokana na madudu makubwa inayofanya yeye anarudi nyuma, na matokeo yake kuisaidia CCM kuzima cheche ambazo zingesaidia kutengeneza moto mkubwa wa mabadiliko huko mbele. Ni ajabu sana!

1. Mbowe na siasa zake za ki "Uncle Tom"
Kipindi cha utumwa huko Marekani na Jim Crow, walikuwepo wamarekani weusi ambao kwa kuwa wao walikuwa na vijinafasinafasi katika mfumo wa Marekani, walikuwa wakipenda kujitapa kwa kauli za "I am the only negro working as an engineer here", "I am the first black clerk in here". Leo hii Huwezi kushangaa kumsikia Mbowe akijitapa na kauli yake maarufu ya siasa za nchi hii ni ya Farasi wawili, CCM na Chadema. Na hii Mentality ndiyo inayomsukuma kutaka alambwe miguu pale wananchi wanapotaka kusogeza struggle kwenda next level, Ili kuitia kibano serikali ya CCM katika suala la bandari na katiba mpya. Ndiyo maana Juzi huko Zanzibar, huku akisimama kwa kujitapa mbele ya wazee wa chama anahoji eti Chadema haikushirikishwa katika maandalizi ya mikutano na maandamano ya kuibana serikali ya CCM katika suala la katiba mpya na Bandari. Yaani anataka apigiwe magoti na wananchi kwenye struggle za kuitia kibano serikali, yeye nani, na kwa nini?!.

2. Mbowe amesaliti struggle za Watanzania kupeleka struggle next level
Sijui kama Mbowe na chawa wake ndani ya Chadema wanatambua athari za walichokifanya dhidi ya struggle za Watanzania katika kujikomboa kutoka katika minyororo ya Siasa chafu na uongozi mbovu wa CCM. Badala ya kuweka ego ya Kiuenyekiti, na ego ya uchama mbele, Mbowe alipaswa aangalie picha pana ya movement ya wananchi ya kutaka kuitia kibano Serikali ya CCM zaidi katika suala la bandari. Infact struggle hii inacompliment kabisa jitihada za chama cha Chadema za kudai katiba mpya. Badala ya Mbowe kuwapiga Rungu Sauti ya Watanzania, kama kweli angekuwa anahitaji mabadiliko ya kweli nchini, alipaswa aweke ego yake pembeni na kuwasaidia kadri inavyowezekana. Hii ingesolidify movement ya mabadiliko kutoka pande zote za kijamii na kisiasa za kuleta mabadiliko nchini. Lakini cha ajabu at the critical hour, Mwenyekiti kama kawaida yake ANABADILI GIA angani.

3. Jeuri ya Nyomi mikutanoni na kudhani Chadema haihitaji Sauti za mitandaoni
Inavyoelekea, wingi wa watu katika mikutano ya Chadema umeanza kuwapa kiburi viongozi wa Chadema na kudhani kuwa nyomi hilo linamaanisha kushinda chaguzi na labda eti hiyo ndiyo force pekee inayoweza kuipeleka Chadema mbele. Nataka nimwambie Mwenyekiti Mbowe na Chawa wake ndani ya Chama kuwa kudhani hivyo ni very naive, Maana hata kama hilo nyomi lote litaichagua Chadema, kama hakuna katiba mpya, tume huru ya uchaguzi ni kazi bure. Ndiyo maana ni ujinga mtupu kubeza cheche za struggle ambazo zitazaa moto wa mabadiliko ya kisiasa na kijamii nchini yatakayoisaidia hata Chadema yenyewe. Na mtu yeyote anayedharau kundi la wananchi ambalo liko "Enlightened" basi huyo hajielewi.

Na labda tu nimwambie Mbowe, kuwa pengine Nyomi la mikutano linamtia kiburi na kuamini kuwa Hakuna haja ya kuwaengage Watanzania wa mitandaoni. Asubiri aone kama CCM nao watapita katika kata hizohizo anazopita leo watu walewale waliojitokeza kumsikiliza kama hawatakwenda kuwasikiliza CCM pia. Ni Ujinga kudharau movement ya kundi dogo wenye uelewa ktk society

4. Akili za kuwaza ubunge, wingi wa ruzuku na kuendelea kuwa Mwenyekiti
Siyo siri, viongozi wengi ndani ya Chadema ya leo wanawaza ubunge tu mwaka 2025. Ni wachache sana miongoni mwao wanaowaza beyond ubunge. Na hii sauti ya waota ubunge ndani ya chama ni kubwa zaidi kuliko wale ambao Genuinely kabisa wanawaza mabadiliko ya kweli ya kimfumo nchini. Ukisikiliza kauli za viongozi wengi wa Chadema wako more worried na uchaguzi mkuu ujao, na ndiyo maana sasa wanazungumza habari za mabadiliko ya katiba kuelekea uchaguzi. Hoja zilezile ambazo miaka mitatu iliyopita walikuwa wakiwatukana ACT kwazo, ndiyo hizohizo leo wanazileta kwetu kama eti ni maono ya hekima ya chama. Kama hekima zinapatika ndani ya miaka mitatu, basi maana yake huko nyuma hakuwa na hekima anyway.

5. Mbowe kama Gatekeeper
It seems Mbowe, hayuko tayari kwa massive action nchini. Yaani anadhani kuwa CCM itatuleta mabadiliko kwa kuombwa, kwa kujitungia sheria za kujidhibiti yenyewe, kwa kuombwa kuleta katiba ya kujimaliza yenyewe. Na CCM kwa kutambua udhaifu wa Mwenyekiti katika mambo makuu matatu, Mosi anautaka uenyekiti tena, Pili ni muoga wa kupush hard na Tatu ana maslahi nchini ambayo wanaweza kumblackmail nayo basi wako Comfortable kuwa Mwamba ataruka na chopa, ataongea rousy speeches lakini itakapokuja muda ambao Watu wanataka kuraise up, basi Mwenyekiti atatumia machinery ya chama chake kujiweka pembeni na kuwaacha wanaotaka kuraise wakiwa marginalized. Ni jukumu la Wanachadema kukifanyia review chama chao waone kuwa The same Old Mwenyekiti ana kipya au sasa ni time ya Change ili kupush mabadiliko ya kweli nchini.

6. Mwisho
Hapa nataka nitoe tahadhari kwa viongozi wa Chadema ambao wameanza kuwa arrogant kwa kudhani Chadema is too big, na hawahitaji kuchangamana na watanzania wengine hasa wa mitandaoni.

Iko hivi, ni sisi wananchi wa Mitandaoni tuliopiga presha mpaka Mbowe akaachiwa. Ni sisi wananchi wengine wengi tu tusio na vyama lakini tuliokuwa tukiichangia Chadema katika operesheni zake. Ni sisi ambao tumeipa moral support, kwa kauli na matendo Na infact ni sisi ndiyo tunaolipa kodi ambayo leo hii Chadema wanapata ruzuku. Hii arrogance ya kijinga ambayo kwa bahati mbaya naona mnayo kuwa Walioko mitandaoni hawana dili, itakuja kuwatokea puani pale sentiment zitakapoanza kuwa negative kwenu na chama chenu. Kama mnabisha kaiulizeni ACT kwa nini haitoboi Tanganyika. Kawaulizeni negative content inawaathiri vipi!. Sasa msitufikishe huko.

Kama kweli Chadema ni chama cha wananchi, basi hiyo Taasisi ifanye kazi ya wananchi. Tungeshukuru sana kama Ingeshirikiana na Sauti ya Watanzani kuibana CCM zaidi, Kuitia kibado zaidi CCM kwenye suala la bandari na katiba. Kinyume cha hapo ni kuipa life support CCM na huo ni usaliti.

Nawasilisha!
All these points do nothing else than making Mbowe really great and important in Tanzanian politics. He’s the pioneer of katiba mpya movement and any words claiming that Mbowe has abandoned the katiba move make him look tactful and confusing to his political enemies, which is what any politician dreams to achieve.
 
Mimi wapinzani wote siwaamini, lakini Mbowe kidogo ana afadhali kuliko Slaa

Mbowe na wenzake walipokuwa wanakabiliwa na kesi kibao na kufungwa kipindi cha Magufuli, Slaa alikuwa anasemaje? Slaa alisema wazi wazi kuwa mikutano ya hadhara kuzuiwa ni sawa, Katiba mpya haina umuhimu, hata kesi walizobambikiwa wapinzani ni haki yao

Leo hii Slaa baada ya kupokonywa tonge anajidai kurudi? Na mnamuamini? Hivi kwa akili zenu mnadhani Samia akimpa cheo Slaa, ataendelea na hizi harakati zake uchwara?

Mdude naye ni mtu wa kuaminika kweli kwenye mkakati wowote?

Yaani kikundi cha Mdude, Slaa na Mwakubusi ndio mnakiamini kupanga maandamano eti kuitoa serikali? 😂😂😂
Wakati wa JPM ukimtoa Lissu hamna mtu alimpa shida kama Mdude anaweza asiwe na mkakati lakini siyo mwoga kama Mbowe. Halafu usiniambie Mbowe ana mikakati wakati kwa miaka 30 anafeli.
 
Amekuwa na soft speech sana mwenyekiti sijui kipi kimemkuta? CCM wanahitaji nginjangija kama ya TL tofauti na hapo ni kupoteza muda tu.
Wajinga wanasema siyo siasa ni harakati. Ni watu wa ajabu.
 
Hebu fikirieni hili suala:
Umma wa Tanzania umeanza kuamka, unakataa udalali wa rasilimali zao, unaanza polepole kukataa chapa waliyopigwa kwa muda mrefu kimkakati ya uoga, unaanza kuchukua hatua ya kupeleka Struggle katika hatua ya pili ya matendo badala ya maneno. Cha kusikitisha anatokea kiongozi mmoja wa Taasisi muhimu ya wananchi, ambaye kwa nafasi yake, na mizizi ya taasisi yake angeweza kusaidia pakubwa kuwatoa wananchi kutoka katika kongwa hili la kutochukua hatua yoyote ya kuiadabisha serikali yao kutokana na madudu makubwa inayofanya yeye anarudi nyuma, na matokeo yake kuisaidia CCM kuzima cheche ambazo zingesaidia kutengeneza moto mkubwa wa mabadiliko huko mbele. Ni ajabu sana!

1. Mbowe na siasa zake za ki "Uncle Tom"
Kipindi cha utumwa huko Marekani na Jim Crow, walikuwepo wamarekani weusi ambao kwa kuwa wao walikuwa na vijinafasinafasi katika mfumo wa Marekani, walikuwa wakipenda kujitapa kwa kauli za "I am the only negro working as an engineer here", "I am the first black clerk in here". Leo hii Huwezi kushangaa kumsikia Mbowe akijitapa na kauli yake maarufu ya siasa za nchi hii ni ya Farasi wawili, CCM na Chadema. Na hii Mentality ndiyo inayomsukuma kutaka alambwe miguu pale wananchi wanapotaka kusogeza struggle kwenda next level, Ili kuitia kibano serikali ya CCM katika suala la bandari na katiba mpya. Ndiyo maana Juzi huko Zanzibar, huku akisimama kwa kujitapa mbele ya wazee wa chama anahoji eti Chadema haikushirikishwa katika maandalizi ya mikutano na maandamano ya kuibana serikali ya CCM katika suala la katiba mpya na Bandari. Yaani anataka apigiwe magoti na wananchi kwenye struggle za kuitia kibano serikali, yeye nani, na kwa nini?!.

2. Mbowe amesaliti struggle za Watanzania kupeleka struggle next level
Sijui kama Mbowe na chawa wake ndani ya Chadema wanatambua athari za walichokifanya dhidi ya struggle za Watanzania katika kujikomboa kutoka katika minyororo ya Siasa chafu na uongozi mbovu wa CCM. Badala ya kuweka ego ya Kiuenyekiti, na ego ya uchama mbele, Mbowe alipaswa aangalie picha pana ya movement ya wananchi ya kutaka kuitia kibano Serikali ya CCM zaidi katika suala la bandari. Infact struggle hii inacompliment kabisa jitihada za chama cha Chadema za kudai katiba mpya. Badala ya Mbowe kuwapiga Rungu Sauti ya Watanzania, kama kweli angekuwa anahitaji mabadiliko ya kweli nchini, alipaswa aweke ego yake pembeni na kuwasaidia kadri inavyowezekana. Hii ingesolidify movement ya mabadiliko kutoka pande zote za kijamii na kisiasa za kuleta mabadiliko nchini. Lakini cha ajabu at the critical hour, Mwenyekiti kama kawaida yake ANABADILI GIA angani.

3. Jeuri ya Nyomi mikutanoni na kudhani Chadema haihitaji Sauti za mitandaoni
Inavyoelekea, wingi wa watu katika mikutano ya Chadema umeanza kuwapa kiburi viongozi wa Chadema na kudhani kuwa nyomi hilo linamaanisha kushinda chaguzi na labda eti hiyo ndiyo force pekee inayoweza kuipeleka Chadema mbele. Nataka nimwambie Mwenyekiti Mbowe na Chawa wake ndani ya Chama kuwa kudhani hivyo ni very naive, Maana hata kama hilo nyomi lote litaichagua Chadema, kama hakuna katiba mpya, tume huru ya uchaguzi ni kazi bure. Ndiyo maana ni ujinga mtupu kubeza cheche za struggle ambazo zitazaa moto wa mabadiliko ya kisiasa na kijamii nchini yatakayoisaidia hata Chadema yenyewe. Na mtu yeyote anayedharau kundi la wananchi ambalo liko "Enlightened" basi huyo hajielewi.

Na labda tu nimwambie Mbowe, kuwa pengine Nyomi la mikutano linamtia kiburi na kuamini kuwa Hakuna haja ya kuwaengage Watanzania wa mitandaoni. Asubiri aone kama CCM nao watapita katika kata hizohizo anazopita leo watu walewale waliojitokeza kumsikiliza kama hawatakwenda kuwasikiliza CCM pia. Ni Ujinga kudharau movement ya kundi dogo wenye uelewa ktk society

4. Akili za kuwaza ubunge, wingi wa ruzuku na kuendelea kuwa Mwenyekiti
Siyo siri, viongozi wengi ndani ya Chadema ya leo wanawaza ubunge tu mwaka 2025. Ni wachache sana miongoni mwao wanaowaza beyond ubunge. Na hii sauti ya waota ubunge ndani ya chama ni kubwa zaidi kuliko wale ambao Genuinely kabisa wanawaza mabadiliko ya kweli ya kimfumo nchini. Ukisikiliza kauli za viongozi wengi wa Chadema wako more worried na uchaguzi mkuu ujao, na ndiyo maana sasa wanazungumza habari za mabadiliko ya katiba kuelekea uchaguzi. Hoja zilezile ambazo miaka mitatu iliyopita walikuwa wakiwatukana ACT kwazo, ndiyo hizohizo leo wanazileta kwetu kama eti ni maono ya hekima ya chama. Kama hekima zinapatika ndani ya miaka mitatu, basi maana yake huko nyuma hakuwa na hekima anyway.

5. Mbowe kama Gatekeeper
It seems Mbowe, hayuko tayari kwa massive action nchini. Yaani anadhani kuwa CCM itatuleta mabadiliko kwa kuombwa, kwa kujitungia sheria za kujidhibiti yenyewe, kwa kuombwa kuleta katiba ya kujimaliza yenyewe. Na CCM kwa kutambua udhaifu wa Mwenyekiti katika mambo makuu matatu, Mosi anautaka uenyekiti tena, Pili ni muoga wa kupush hard na Tatu ana maslahi nchini ambayo wanaweza kumblackmail nayo basi wako Comfortable kuwa Mwamba ataruka na chopa, ataongea rousy speeches lakini itakapokuja muda ambao Watu wanataka kuraise up, basi Mwenyekiti atatumia machinery ya chama chake kujiweka pembeni na kuwaacha wanaotaka kuraise wakiwa marginalized. Ni jukumu la Wanachadema kukifanyia review chama chao waone kuwa The same Old Mwenyekiti ana kipya au sasa ni time ya Change ili kupush mabadiliko ya kweli nchini.

6. Mwisho
Hapa nataka nitoe tahadhari kwa viongozi wa Chadema ambao wameanza kuwa arrogant kwa kudhani Chadema is too big, na hawahitaji kuchangamana na watanzania wengine hasa wa mitandaoni.

Iko hivi, ni sisi wananchi wa Mitandaoni tuliopiga presha mpaka Mbowe akaachiwa. Ni sisi wananchi wengine wengi tu tusio na vyama lakini tuliokuwa tukiichangia Chadema katika operesheni zake. Ni sisi ambao tumeipa moral support, kwa kauli na matendo Na infact ni sisi ndiyo tunaolipa kodi ambayo leo hii Chadema wanapata ruzuku. Hii arrogance ya kijinga ambayo kwa bahati mbaya naona mnayo kuwa Walioko mitandaoni hawana dili, itakuja kuwatokea puani pale sentiment zitakapoanza kuwa negative kwenu na chama chenu. Kama mnabisha kaiulizeni ACT kwa nini haitoboi Tanganyika. Kawaulizeni negative content inawaathiri vipi!. Sasa msitufikishe huko.

Kama kweli Chadema ni chama cha wananchi, basi hiyo Taasisi ifanye kazi ya wananchi. Tungeshukuru sana kama Ingeshirikiana na Sauti ya Watanzani kuibana CCM zaidi, Kuitia kibado zaidi CCM kwenye suala la bandari na katiba. Kinyume cha hapo ni kuipa life support CCM na huo ni usaliti.

Nawasilisha!
Mbowe ni kiongozi mwenye akili sana hata Nelson Mandela aliiaacha siasa za vurugu na ANC ikaweza kutawala South Africa.
 
Hebu fikirieni hili suala:
Umma wa Tanzania umeanza kuamka, unakataa udalali wa rasilimali zao, unaanza polepole kukataa chapa waliyopigwa kwa muda mrefu kimkakati ya uoga, unaanza kuchukua hatua ya kupeleka Struggle katika hatua ya pili ya matendo badala ya maneno. Cha kusikitisha anatokea kiongozi mmoja wa Taasisi muhimu ya wananchi, ambaye kwa nafasi yake, na mizizi ya taasisi yake angeweza kusaidia pakubwa kuwatoa wananchi kutoka katika kongwa hili la kutochukua hatua yoyote ya kuiadabisha serikali yao kutokana na madudu makubwa inayofanya yeye anarudi nyuma, na matokeo yake kuisaidia CCM kuzima cheche ambazo zingesaidia kutengeneza moto mkubwa wa mabadiliko huko mbele. Ni ajabu sana!

1. Mbowe na siasa zake za ki "Uncle Tom"
Kipindi cha utumwa huko Marekani na Jim Crow, walikuwepo wamarekani weusi ambao kwa kuwa wao walikuwa na vijinafasinafasi katika mfumo wa Marekani, walikuwa wakipenda kujitapa kwa kauli za "I am the only negro working as an engineer here", "I am the first black clerk in here". Leo hii Huwezi kushangaa kumsikia Mbowe akijitapa na kauli yake maarufu ya siasa za nchi hii ni ya Farasi wawili, CCM na Chadema. Na hii Mentality ndiyo inayomsukuma kutaka alambwe miguu pale wananchi wanapotaka kusogeza struggle kwenda next level, Ili kuitia kibano serikali ya CCM katika suala la bandari na katiba mpya. Ndiyo maana Juzi huko Zanzibar, huku akisimama kwa kujitapa mbele ya wazee wa chama anahoji eti Chadema haikushirikishwa katika maandalizi ya mikutano na maandamano ya kuibana serikali ya CCM katika suala la katiba mpya na Bandari. Yaani anataka apigiwe magoti na wananchi kwenye struggle za kuitia kibano serikali, yeye nani, na kwa nini?!.

2. Mbowe amesaliti struggle za Watanzania kupeleka struggle next level
Sijui kama Mbowe na chawa wake ndani ya Chadema wanatambua athari za walichokifanya dhidi ya struggle za Watanzania katika kujikomboa kutoka katika minyororo ya Siasa chafu na uongozi mbovu wa CCM. Badala ya kuweka ego ya Kiuenyekiti, na ego ya uchama mbele, Mbowe alipaswa aangalie picha pana ya movement ya wananchi ya kutaka kuitia kibano Serikali ya CCM zaidi katika suala la bandari. Infact struggle hii inacompliment kabisa jitihada za chama cha Chadema za kudai katiba mpya. Badala ya Mbowe kuwapiga Rungu Sauti ya Watanzania, kama kweli angekuwa anahitaji mabadiliko ya kweli nchini, alipaswa aweke ego yake pembeni na kuwasaidia kadri inavyowezekana. Hii ingesolidify movement ya mabadiliko kutoka pande zote za kijamii na kisiasa za kuleta mabadiliko nchini. Lakini cha ajabu at the critical hour, Mwenyekiti kama kawaida yake ANABADILI GIA angani.

3. Jeuri ya Nyomi mikutanoni na kudhani Chadema haihitaji Sauti za mitandaoni
Inavyoelekea, wingi wa watu katika mikutano ya Chadema umeanza kuwapa kiburi viongozi wa Chadema na kudhani kuwa nyomi hilo linamaanisha kushinda chaguzi na labda eti hiyo ndiyo force pekee inayoweza kuipeleka Chadema mbele. Nataka nimwambie Mwenyekiti Mbowe na Chawa wake ndani ya Chama kuwa kudhani hivyo ni very naive, Maana hata kama hilo nyomi lote litaichagua Chadema, kama hakuna katiba mpya, tume huru ya uchaguzi ni kazi bure. Ndiyo maana ni ujinga mtupu kubeza cheche za struggle ambazo zitazaa moto wa mabadiliko ya kisiasa na kijamii nchini yatakayoisaidia hata Chadema yenyewe. Na mtu yeyote anayedharau kundi la wananchi ambalo liko "Enlightened" basi huyo hajielewi.

Na labda tu nimwambie Mbowe, kuwa pengine Nyomi la mikutano linamtia kiburi na kuamini kuwa Hakuna haja ya kuwaengage Watanzania wa mitandaoni. Asubiri aone kama CCM nao watapita katika kata hizohizo anazopita leo watu walewale waliojitokeza kumsikiliza kama hawatakwenda kuwasikiliza CCM pia. Ni Ujinga kudharau movement ya kundi dogo wenye uelewa ktk society

4. Akili za kuwaza ubunge, wingi wa ruzuku na kuendelea kuwa Mwenyekiti
Siyo siri, viongozi wengi ndani ya Chadema ya leo wanawaza ubunge tu mwaka 2025. Ni wachache sana miongoni mwao wanaowaza beyond ubunge. Na hii sauti ya waota ubunge ndani ya chama ni kubwa zaidi kuliko wale ambao Genuinely kabisa wanawaza mabadiliko ya kweli ya kimfumo nchini. Ukisikiliza kauli za viongozi wengi wa Chadema wako more worried na uchaguzi mkuu ujao, na ndiyo maana sasa wanazungumza habari za mabadiliko ya katiba kuelekea uchaguzi. Hoja zilezile ambazo miaka mitatu iliyopita walikuwa wakiwatukana ACT kwazo, ndiyo hizohizo leo wanazileta kwetu kama eti ni maono ya hekima ya chama. Kama hekima zinapatika ndani ya miaka mitatu, basi maana yake huko nyuma hakuwa na hekima anyway.

5. Mbowe kama Gatekeeper
It seems Mbowe, hayuko tayari kwa massive action nchini. Yaani anadhani kuwa CCM itatuleta mabadiliko kwa kuombwa, kwa kujitungia sheria za kujidhibiti yenyewe, kwa kuombwa kuleta katiba ya kujimaliza yenyewe. Na CCM kwa kutambua udhaifu wa Mwenyekiti katika mambo makuu matatu, Mosi anautaka uenyekiti tena, Pili ni muoga wa kupush hard na Tatu ana maslahi nchini ambayo wanaweza kumblackmail nayo basi wako Comfortable kuwa Mwamba ataruka na chopa, ataongea rousy speeches lakini itakapokuja muda ambao Watu wanataka kuraise up, basi Mwenyekiti atatumia machinery ya chama chake kujiweka pembeni na kuwaacha wanaotaka kuraise wakiwa marginalized. Ni jukumu la Wanachadema kukifanyia review chama chao waone kuwa The same Old Mwenyekiti ana kipya au sasa ni time ya Change ili kupush mabadiliko ya kweli nchini.

6. Mwisho
Hapa nataka nitoe tahadhari kwa viongozi wa Chadema ambao wameanza kuwa arrogant kwa kudhani Chadema is too big, na hawahitaji kuchangamana na watanzania wengine hasa wa mitandaoni.

Iko hivi, ni sisi wananchi wa Mitandaoni tuliopiga presha mpaka Mbowe akaachiwa. Ni sisi wananchi wengine wengi tu tusio na vyama lakini tuliokuwa tukiichangia Chadema katika operesheni zake. Ni sisi ambao tumeipa moral support, kwa kauli na matendo Na infact ni sisi ndiyo tunaolipa kodi ambayo leo hii Chadema wanapata ruzuku. Hii arrogance ya kijinga ambayo kwa bahati mbaya naona mnayo kuwa Walioko mitandaoni hawana dili, itakuja kuwatokea puani pale sentiment zitakapoanza kuwa negative kwenu na chama chenu. Kama mnabisha kaiulizeni ACT kwa nini haitoboi Tanganyika. Kawaulizeni negative content inawaathiri vipi!. Sasa msitufikishe huko.

Kama kweli Chadema ni chama cha wananchi, basi hiyo Taasisi ifanye kazi ya wananchi. Tungeshukuru sana kama Ingeshirikiana na Sauti ya Watanzani kuibana CCM zaidi, Kuitia kibado zaidi CCM kwenye suala la bandari na katiba. Kinyume cha hapo ni kuipa life support CCM na huo ni usaliti.

Nawasilisha!
Daah yaan umemchakata Mbowe hadi basi.

Je ana mazuri yake pia? Tujuze
 
Daah yaan umemchakata Mbowe hadi basi.

Je ana mazuri yake pia? Tujuze

Mwamba tumeshamzoea na Speeches zake nzuri nzuri za hamasa. Ni kweli kipaji cha kuzungumza anacho, anavutia kusikiliza. Lakini utamu wa speeches zake hautupi katiba mpya, tume huru ya uchaguzi wala kuzuia bandari zetu kwenda kwa mwarabu. Tunataka chama kiunge mkono next level ya struggle ambayo ni mass action,

Miaka 20 ya kukaa kwenye uwenyekiti wewe unaongea tu, unaongea tu, unaongea tu. Sasa leo wananchi wanataka kuraise stake juu, beef up the ante, kubonyeza kitufe cha kuongeza joto kwa CCM, na katika kuwezesha hilo tunahitaji kushirikiana na Taasisi ya Chadema ambayo na sisi kuna jasho letu humo wewe unakuja na blahblah za oooh, hamkunishirikisha, ooooh sisi siyo pressure group, kama siyo pressure nyie ni nani, ni kundi la wacheza singeli na vigodoro au kitu gani?

Hii naivety ya Mwenyekiti ya namna ya kudeal na CCM inaturudisha nyuma sana.
 
Nimshangaa anavyojitapa kukwamisha jitihada za wananchi kuitia kibano serikali ya CCM kwenye ishu ya katiba mpya na bandari.

Badala awaone Sauti ya watanzania kama natural allies, yeye anaweka mbele ego yake tu ya uwenyekiti mbele.

OK sawa, wewe ni mwenyekiti so what?
Sauti ya watanzania ni genge la wahuni
 
Mbowe amekuwa nguzo ya CDM kwa mrefu sasa, na kila mafanikio ya chama yana nguvu yake kwasababu amekuwa imara.

Ila lazima tukubali nguvu na ari ya mabadiliko inaongezeka na Mbowe hayuko tena kwenye speed hiyo, zaidi kwa maoni yangu naona anakuwa kizuizi cha ukuaji na ari ya kuleta mabadiliko.

CDM bado wako kwenye 'zidumu fikra za mwenyekiti' mawazo mapya, ubunifu mpya unapungua kila siku. Kwa miaka 20 ya uongozi wa Mbowe, wanahitaji mtu mwingine wenye fikra mpya.
 
Kuna jambo wengi hawawezi kulifafanua
The guy anatuchezea akili na vile wadanganyika wameruhusu basi safari ya ukombozi ni ndoto
Mkulu anafanya teuzi nje ya nchi, anavunja Katiba left right n center anatembea kila siku kwa shughuli hazieleweki opposition wapo kimya
Inafikirisha sana
Hii mbaya sana, upinzani kwa ujumla inatakiwa wawe active mda wote ili Serikali isilale, lakini wako kimya sana.

Nakumbuka wakati wa Magu, Lissu alikuwa vocal kwenye kila jambo mpaka Magu akasikia.
 
Back
Top Bottom