Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Anamkera je Jo🤔,nguja tumalizane na jambo letu nyeti tutaridi kwake.Acha uchuro wa kibundi bundi wewe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anamkera je Jo🤔,nguja tumalizane na jambo letu nyeti tutaridi kwake.Acha uchuro wa kibundi bundi wewe!
tena unanyimwa uhuru bila kosaIla ukumbuke pia hao watuhumiwa wana familia, lakini pia wana shughuli zao za kila siku za kujiingizia kipato.
Mbaya zaidi hakuna jambo gumu kwa mwanadamu kama lile la kunyimwa uhuru.
KESI yenyewe inasemakana itaanza saa 8 mchana, mbona mbali sanaIle siku iliyosubiriwa ya kutolewa maamuzi kesi Mbowe na wenzake 3 kama wana kesi ya kujibu au hawana ni leo 18 Februari 2022 ambapo Jaji Tiganga anatarajiwa kutoa maamuzi hayo katika mahakama kuu ya Uhujumu Uchumi na Rushwa.
Kujua kesi ilipoishia fungua kiunganishi hiki: Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na Wenzake. Tumaini Swila amaliza ushahidi. Mawikili wa Serikali wafunga Ushahidi. Jaji kutoa uamuzi 18/02/2022
=========
UPDATES
Mama hotuba yake ya jana inarushwa leo kuhamisha magoliNchi imesimama; watu tunasuburi kwa hamu kuu uamuzi wa Jaji.
Kuna mawili hapoKESI yenyewe inasemakana itaanza saa 8 mchana, mbona mbali sana
yote ni majibu sahihiKuna mawili hapo
1. Wanasubiri watu kimuhemuhe kipungue.. Watu wachoke kusubiri.. Hukumu isomwe late..maamuzi yatoke jioni halafu wawaachie kimyakimya
2. Inatafutwa sababu genuine lakini ya mchongo kesi iahirishwe mpaka next week ili kutoa nafasi ya kupima joto la jamii na kufanya assessment
Mama hotuba yake ya jana inarushwa leo kuhamisha magoli
Anasoma maelezo tu masaa manne😅😅😅Jaji atakuja na story ya ajabu sana leo.
Hadi sasa Hakuna shahidi aliyeonyesha Mbowe anayo kesi ya kujibu
Track record ya kesi ndio tunaaminiSijui kwanini wanachadema wanamuamini Jaji.
"Anaemlipa mpiga zumari ndiye anaechagua wimbo"
Sina imani na Jaji Tiganga.
Respect those in power? sio tena To stop terrorismbehaviour??Let the truth, justice and equality prevails,Freeman we live once and we die once,live your life and respect those who are in powers, that's the word from God