Mbowe na Wenzake 3 wakutwa na kesi ya kujibu. Kesi imeahirishwa hadi Machi 04, 2022 watuhumiwa kuanza kujitetea

Mbowe na Wenzake 3 wakutwa na kesi ya kujibu. Kesi imeahirishwa hadi Machi 04, 2022 watuhumiwa kuanza kujitetea

Nyomi Mahakamani

Leo_watu_ni_wengi_sana_hapa_Mahakamani%2C_ila_mpaka_sasa_Mahakama_haijaanza..jpg
 
Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi leo Februari 18, 2022 inatarajiwa kutoa uamuzi kama Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na Washtakiwa wengine watatu wana Kesi ya Kujibu au Hapana

Ile siku iliyosubiriwa ya kutolewa maamuzi kesi Mbowe na wenzake 3 kama wana kesi ya kujibu au hawana ni leo 18 Februari 2022 ambapo Jaji Tiganga anatarajiwa kutoa maamuzi hayo katika mahakama kuu ya Uhujumu Uchumi na Rushwa.

Kujua kesi ilipoishia fungua kiunganishi hiki: Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na Wenzake. Tumaini Swila amaliza ushahidi. Mawikili wa Serikali wafunga Ushahidi. Jaji kutoa uamuzi 18/02/2022

=========

UPDATES


1157hrs: Freeman Mbowe na wenzake, bado hawajafikishwa Mahakamani.
Wamepelekwa shopping Mlimani City
 
Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi leo Februari 18, 2022 inatarajiwa kutoa uamuzi kama Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na Washtakiwa wengine watatu wana Kesi ya Kujibu au Hapana

Ile siku iliyosubiriwa ya kutolewa maamuzi kesi Mbowe na wenzake 3 kama wana kesi ya kujibu au hawana ni leo 18 Februari 2022 ambapo Jaji Tiganga anatarajiwa kutoa maamuzi hayo katika mahakama kuu ya Uhujumu Uchumi na Rushwa.

Kujua kesi ilipoishia fungua kiunganishi hiki: Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na Wenzake. Tumaini Swila amaliza ushahidi. Mawikili wa Serikali wafunga Ushahidi. Jaji kutoa uamuzi 18/02/2022

=========

UPDATES


1157hrs: Freeman Mbowe na wenzake, bado hawajafikishwa Mahakamani. Kesi itaanza kusikilizwa saa nane za Mchana.
Au wameona ni vema watuhumiwa kupelekwa mahakamani baada ya kula cha mchana kabisa
 
....

1157hrs: Freeman Mbowe na wenzake, bado hawajafikishwa Mahakamani. Kesi itaanza kusikilizwa saa nane za Mchana.
... leo hakuna kesi kusikilizwa bali ni siku ya uamuzi kama wahusika wana kesi ya kujibu au la!
 
Tujiandae kisaikolojia. FAM leo hawezi kuwa huru. Watesi wake bado hawajapata wanachokitaka toka kwake. Wanataka FAM awaombe msamaha kama mbinu ya kumuua kisiasa. Jaji tayari ana hukumu yake mfukoni na maelekezo mezani kwake.
Tujiandae kwa utetezi.
Hata mimi sitaki waachiwe kwa sasa. Waachiwe baada ya mashahidi wa utetezi kutoa ushahidi wao. Mashahidi hao ni pamoja na IGP Sirro, DCI Boaz, jambazi Sabaya na wengineo.
 
Baadhi ya wafuasi wa Chadema wakiwa katika Mahakama Kuu Divisheni Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, wakisubiri uamuzi wa mahakama wa kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu.

#KesiMbowe #mwananchiupdates https://t.co/YPQXqEucJs
20220218_123755.jpg

20220218_123750.jpg
20220218_123746.jpg
 
Kuna mawili hapo
1. Wanasubiri watu kimuhemuhe kipungue.. Watu wachoke kusubiri.. Hukumu isomwe late..maamuzi yatoke jioni halafu wawaachie kimyakimya

2. Inatafutwa sababu genuine lakini ya mchongo kesi iahirishwe mpaka next week ili kutoa nafasi ya kupima joto la jamii na kufanya assessment
Mkuu mawazo yako yako sawa kabisa, why ukum yanye kurasa 1500, inaanza kusomwa by saa nane mchana, ila tumejiandaa KWa lolote
 
Back
Top Bottom