Mbowe: Natamani mrithi wangu kama Mwenyekiti Taifa atoke BAWACHA

Mbowe: Natamani mrithi wangu kama Mwenyekiti Taifa atoke BAWACHA

Kwa ujumla wanastahili. Baraza hilo la CHADEMA, ni taasisi imara kuliko zote. Na ukiona kitu kinafanikiwa, ujue uongozi ni imara na wenye maono.
Ndio maana huwa hamfanikiwi kwakua mnategemea wanawake.
 
Ni kweli kabisa, chadema ina wanawake ambao wako very strong kuliko wanaume!
 
Ni kauli inayohitaji tafakari ya ndani sana.
1. Ipo siku Freeman Aikaeli Mbowe hatagombea tena nafasi ya Uenyekiti - CHADEMA inapaswa kuandaa viongozi
2. Mwenyekiti ana maono ya kuiona CHADEMA ikiiongozwa na Mwanamke; linaweza kuwa wazo gumu kukubalika kwa wengi kwa sababu kadhaa ikiwemo (i) Je kuna mwanamke anayeweza kukidhi uwezo wa kuwa Mwenyekiti CDM - Taifa (ii) Kauli hii inamaanisha nini kwa viongozi wanaume ndani ya CHADEMA ambao wana njozi za kuwania cheo cha Uenyekiti Taifa?

Ni suala la muda tu; Freeman Mbowe bado ana miaka mitano katika cheo cha Uenyekiti.
Mimi naunga mkono, sababu mpaka sasa wanao ondoka CHADEMA kwenda CCM ni wanaume tu, wanawake wapo very comited.
 
Kiukweli hii saccos hakuna kidume atakayekubali tena kuiongoza kwani haina mvuto tena,sana sana hilo zigo atakabidhiwa mwanamama afe nalo huku akiwa remoted na DJ Makengeza
Una laana ya wazazi wewe. Unatukana na kuzodoa makengeza? Kweli wewe una watoto au huwezi kuzaa mtu mlemavu? Mungu anaweza kukubariki ukazaa kituko kutokana na dharau zako
 
Kwa ujumla wanastahili. Baraza hilo la CHADEMA, ni taasisi imara kuliko zote. Na ukiona kitu kinafanikiwa, ujue uongozi ni imara na wenye maono.
Umefikiri kwa nyayo mkuu.
 
Ni kauli inayohitaji tafakari ya ndani sana.
1. Ipo siku Freeman Aikaeli Mbowe hatagombea tena nafasi ya Uenyekiti - CHADEMA inapaswa kuandaa viongozi
2. Mwenyekiti ana maono ya kuiona CHADEMA ikiiongozwa na Mwanamke; linaweza kuwa wazo gumu kukubalika kwa wengi kwa sababu kadhaa ikiwemo (i) Je kuna mwanamke anayeweza kukidhi uwezo wa kuwa Mwenyekiti CDM - Taifa (ii) Kauli hii inamaanisha nini kwa viongozi wanaume ndani ya CHADEMA ambao wana njozi za kuwania cheo cha Uenyekiti Taifa?

Ni suala la muda tu; Freeman Mbowe bado ana miaka mitano katika cheo cha Uenyekiti.
Mwenyekiti ajaye mtapewa na Mbowe siyo kuchagua ninyi. Ndo maana anasema atatoka BAVICHA. Ameshamuandaa.
 
Sijajua kwa Waislamu ila Kwetu Sisi Wakristo katika Kitabu Kitakatifu kabisa cha Biblia Mwenyezi Mungu japo alijua kabisa kuwa hawa hawa Wanawake ndiyo Mama zetu, Shangazi zetu, Dada zetu, Shemeji zetu na Wake au Wapenzi wetu ila alitusisitiza sana Wanaume kuwa tuwe nao makini na hasa hasa tuishi nao kwa Akili kwani Kukupeleka Motoni Kwao ni Jambo la Sekunde tu.

Kwa mfano ukibahatika Kuishi labda kwa miaka Mitano katika Kambi yoyote ile na Wanawake kisha na wao wakiwa huko wakaweza Kujidhatiti kabisa hasa kwa kuwa na Waume wengine hasa Mahawara au labda nao Wakatokea Kuwapenda Wanaume wa Kambi nyingine ukija baadae Kuwazuia wasiende (wasirejee) hawatakuelewa na badala yake wataenda tu kwenye Asali yao.

Na kamwe usije Kuthubutu Kumzuia Mwanamke labda kutojumuika na Watu fulani wakati huenda kuwepo Kwake karibu nao (hao Watu) labda alikuwa akipata Connection ya Pesa (hasa za Mikopo) au anaweza akawa anatembea (analala na Wanaume) kadhaa wa huko ili aweze Kujikusanyia Pesa za Kumuwezesha Kucheza Vicoba au hata Kusamehewa Madeni ambayo yanawaelemea.

Hata hivyo njia sahihi kabisa ukiona pengine Wewe Mwanaume ulikuwa Kiongozi wa Wanawake katika Umoja fulani Kijijini na wakakudharau au kukupuuza katika Amri zako na kuamua kufanya wanachoweza Wao suluhisho Kwako ni kuwa tu Mpole na ukiweza badala ya Kuwachukia sasa nawe Jenga nao ukaribu chochote wakiwa wanakipata huko waliko nawe wawe wanakugawia.

Na mwisho kabisa tukubaliane hili haliko tu kwa Wanawake bali hata Kwetu Sisi Wanaume Njaa ikituzidi nasi huwa ni Wasaliti wazuri katika Maisha.
 
Wakati akifunga mkutano mkuu wa Bawacha pale Mlimani City mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe alisema wanawake ni jeshi kubwa na anatamani sana mwenyekiti ajaye wa Chadema baada ya yeye kustaafu atoke Bawacha.

Nautafakari wosia huu wa Freeman Mbowe na kuuona kama unabii unaoenda kutimia soon.

Na ninamuona Tundu Lisu akielekea ACT wazalendo.

Maendeleo hayana vyama!
 
Sijajua kwa Waislamu ila Kwetu Sisi Wakristo katika Kitabu Kitakatifu kabisa cha Biblia Mwenyezi Mungu japo alijua kabisa kuwa hawa hawa Wanawake ndiyo Mama zetu, Shangazi zetu, Dada zetu, Shemeji zetu na Wake au Wapenzi wetu ila alitusisitiza sana Wanaume kuwa tuwe nao makini na hasa hasa tuishi nao kwa Akili kwani Kukupeleka Motoni Kwao ni Jambo la Sekunde tu...

Sasa kuandamana hamtaki, changeni hela hamtaki, basi wacha watumie njia zingine! alafu mbna kuna watu wamefanikiwa kwa sababu ya wanawake walionao tu, mbna wakina obama wanadunda, sasa viti maaalumu tu ushatoka povu
 
Hivi wao si wamefuata sheria za bunge zinavyotaka
Haya Maswala ya Njaa Njaa Njaa yanatoka wapi?

Kuna nafasi kadhaa za viti maalum zilitakiwa Bungeni kutoka Chadema wao wamepeleka majina

Haya Maswala ya Njaa yanakujaje hapo?
 
Back
Top Bottom