Uchaguzi 2020 Mbowe: Ndani ya saa 72 nitakuwa Waziri Mkuu

"tutachukua nchi saa 4 asubuhi" lowassa 2015 mpaka naandika hapa sasa hivi ni saa 5 mchana 2020 🤣🤣🤣🤣
 
Mwanasiasa ni kiumbe muongo na msahaulifu sana,

Hata kama Lissu ndo anaibuka mshindi, Mbowe hawezi kuwa Waziri Mkuu hata kwa sekunde mbili tu labda kama katiba itakuwa suspended mara tu Tundu Lisu kuapishwa.
 
Akimaliza kuota ataamka then maisha mengine yataendelea
 
Elfu themanini sio nane.
 
Mbowe akumbuke Waziri Mkuu ni negotiated post kati ya Executive na Parliament.... siuwaziri wa kawaida wa mtu kuamua tu na mkewe au chama chake... Na sasa ndio ieleweke kauli ya Mama Samia aliposema "CCM lazima itaunda Serikali", alikuwa amepiga mahesabu ya kuwa na majority seats Bungeni.
 
na mna uchu balaa !

ila bahati mbaya sasa ikulu mtaitazama kwenye video nchi sio mke kwa unakabidhiwa tu
 
Aendelee kuota na makengeza yake hayo , nchiii tunakabidhi JPM kwa kura za kishindo

sent from HUAWEI
 
Kuna watu wanaongea utafikiri Tz ni ya kipekee sana kwa hiyo machafuko hayawezi kutokea na kwamba huko yanakotokea labda hawana mungu au ni wakosaji.Kumbe kuna waliokua na utulivu na (amani??) kuliko sisi lakin muda uliongea.
 
Alikosea kuongea hivyo,Hiyo ilimuonyesha kuwa anagombea kwa ajili ya madaraka
 
Tumkumbushe tu bwana Freeman Yeye sasa ni mtu huru kama Jina lake halafu pia Ili uwe waziri mkuu lazima uwe mbunge wa kuchaguliwa na wananachi
 
Hivi ni mchawi gani aliyempigia ramli ya uchonganishi kijana alosto Mbowe? Ubunge kakosa na sasa anataka kulazimisha ujinga mwingine? Tumpige mawe huyu.
 
Uchaguzi sio porojo za Twitter na mihemko ya vijana ambao wengi sio wapiga kura..

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…